mtamuu inaonekana unapenda kutabasamu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya ya kuwa huru au kutokuwa huru ni hakimu na hakimu. kuna ambao wako tayari kujiuza kwa fedha, ahadi ya cheo, kofia, fulana, khanga, vitenge, pilau, nk. wengine hata kutishwa tu kidogo basi wananywea. ila wapo mahakimu wenye misimamo. tunachohitaji ni kuwa na mfumo ambao serikali haiwezi kumtisha au kumhonga hakimu.Mahakama zetu japo zinabanwa kuwa HURU ila zinajitahidi kutoa HAKI.
AminaMungu ni mwaminifu, Utukufu na sifa ni kwake daima
Wameamua tuu kuwachia huru no sawa na timu muifunge kumi mkaiachia goli moja LA kufutia machozi..hivyo tumefutwa machozi na goli moja huku tumefungwa kumiMwisho wa madhalimu ni hasara
Mola ashukuriwe
Mmh hii avatar yako ina utata tatanishi, au ndio kutupa burudani?Kudos
Wameamua tuu kuwachia huru no sawa na timu muifunge kumi mkaiachia goli moja LA kufutia machozi..hivyo tumefutwa machozi na goli moja huku tumefungwa kumi