Kesi namba 457: Mahakama yasema Maxence Melo na Micke William hawana Kesi ya kujibu! Yawaachia huru


Hivyo hivyo Boss Max.

So, now ni ruhusa kutiririka au?
 
Hii ni habari njema. Lakini hizi lugha zenu za kisheria wakati mwingine ngumu kuzielewa.

Walishtakiwa kwa makosa mangapi? Na hii hukumu inamaanisha hawana tena kesi yeyote na mahakamani?
Ndio maana ya kuachiwa huru ina maana kesi imefutwa na file limechomwa moto
 
Poleni waungwana Melo na Mike na hongereni kwa kupata haki yenu.tunawatakia kila la heri katika mengine yote, ili tuendelee kujenga nchi yetu kwa mawazo tofauti tofauti.
 
Kwi! Kwi! Kwi! Imegonga mfupa hiyo kudadeki ! Ifike wakati tuweke ukweli hata kama mchungu , nyinyi wanaccm mnaitumia jf lakini wakati huohuo chama chenu kinapambana kuimaliza na huku mnaangalia tu , tuwaeleweje ?
Ni wanafiki sana hawa watu.
 



This is sweetest gift of the new month.

Thanks judiciary for doing your responsibility!
 
Yaani hiyo kesi haina mashiko kabisa toka mwanzo ilionekana ni ya kumfurahisha mtu tuu yaani anaetumia JF katoa uozo wa bandari kuhusu mafuta na Mh na Waziri Mkuu ni mashahidi kuhusu huko leo anaetoa taarifa anatafutwa kwa kushtakiwa tena...yaani wezi wanakumbatiwa ilitakiwa Takukuru kama ipo ndio waanzie hapo kujua kinachoendelea huko...
 
Big up. Nchi ya matamko acheni kutupiga ban tuwararue nchi wanaifanya kama kibanda cha biashara zao. hawajui kuwa nchi inaendeshwa kwa katiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…