Dada una elimu gani??Alafu mbona ushahidi wa mbowe upo straight kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga..mawakili w mbowe wameamua kuisumbua mahakama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada una elimu gani??Alafu mbona ushahidi wa mbowe upo straight kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga..mawakili w mbowe wameamua kuisumbua mahakama
wanakwenda kupanga madesa hao !!! 🤣🤣🤣🤣 inaonekana hawa mawakili wa serikali wanadekeshwa sana.Ws: mh jaji tunaomba health break
Jaji: health break ya nini wakati hata kesi haijaanza.
Ws: naomba usikilize ombi letu mh jaji.
Jaji: eeehhh.... mhhhhh nawapa dk 90 ..
hahahahah aoze tena?Mshenzi mwili mzima unasitahili kuoza huku unatembea
punguani kama mjombawako mwendazakeNimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano mzee wa “what is tourism ” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Kuna Upuuzi gani unaendelea huko? Amekataa na hii ya leo?Salaam Wakuu,
Leo tarehe 11/11/2021 yanatolewa maamuzi ya kesi ndogo Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe.
Kujua jana kesi ilipoishia, soma: Yaliyojiri Mahakama Kuu kesi ndogo ya Mbowe, Superitendent Jumanne Malangahe atoa Ushahidi
Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.
=====
UPDATES;
======
umahiri wa kuiba nyaraka za mahakama siyo !!Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
MBOWE afungwe ndio maagizo kutoka juuSalaam Wakuu,
Leo tarehe 11/11/2021 yanatolewa maamuzi ya kesi ndogo Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe.
Kujua jana kesi ilipoishia, soma: Yaliyojiri Mahakama Kuu kesi ndogo ya Mbowe, Superitendent Jumanne Malangahe atoa Ushahidi
Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.
=====
UPDATES;
======
Pini ya wapi wahabarishaji wako biased, huoni hata wakiwa wanahabarisha taarifa za upande wa mashitaka huwa zinakatishwa na kuandikwa "hovyo"...ukiona kimya jua wahabarishaji hawajapata wanachopenda kukisikia.Kuna pini imepigwa kwenye hili jukwaa. Mbona tangu jana wanachelewa sana kutupa kile kinachojiri mahakamani
chief Haingaya hana ubavu wa kumfunga Mbowe!! kama anadadangaywa hivyo na wana CCM waroho wa madaraka yatamkuta !! Hii kesi ni mtego wa panya.MBOWE afungwe ndio maagizo kutoka juu
Kufikiria kwa kutumia ‘masaburi’ ni pale unapo ongozwa na mahaba, badala ya hoja, kwenye mambo ya msingi kama haya!pingamizi halina mashiko, tupilia mbali huko.
mawakili wa Mbowe wanapoteza muda bure na usumbufu kibao usio wa maana.
waache kesi ya msingi ingurumee, mbona wana sua sua sana! kwani wanaogopa nini? siwalisema hakuna ushahidi? mbona sasa wanapapatua sana?! inamaana kuna ushahidi mzito.
UNAJIDANGANYA MUDA NDIYO UTASEMAchief Haingaya hana ubavu wa kumfunga Mbowe!! kama anadadangaywa hivyo na wana CCM waroho wa madaraka yatamkuta !! Hii kesi ni mtego wa panya.
Sasa nyie biased upande wa pili wa hii kesi, si muanzisheshe uzi wenu, m-bias kivyenu?!Pini ya wapi wahabarishaji wako biased, huoni hata wakiwa wanahabarisha taarifa za upande wa mashitaka huwa zinakatishwa na kuandikwa "hovyo"...ukiona kimya jua wahabarishaji hawajapata wanachopenda kukisikia.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kichwa majipingamizi halina mashiko, tupilia mbali huko.
mawakili wa Mbowe wanapoteza muda bure na usumbufu kibao usio wa maana.
waache kesi ya msingi ingurumee, mbona wana sua sua sana! kwani wanaogopa nini? siwalisema hakuna ushahidi? mbona sasa wanapapatua sana?! inamaana kuna ushahidi mzito.
Hii kesi jamhuri ilitakiwa ianze na ushahidi wa vitendea kazi ya ugaidi, lakini tunaona ni mizunguruko ya safari za wagawa magazeti! Yule msaaidizi (Manyara) wa Sabaya alisema wazi kuwa hakuwahi kushuhudi vitendo vyovyote vya kigaidi na huyu ndiye aliyeishi nyumbani kwa Sabaya.Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano mzee wa “what is tourism ” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Mkuu, unahangaika na huyu mwana-apolo aliyefilisika mfukoni, na kichwani ameathirika na moshi wa baruti na wa bangi?! Haya mazezeta haya angalii sheria, yapo kishabiki tu! Hata hajui kwamba sheria ikipindishwa inaweza kuwa reference ya kumwathiri yeye siku za usoni! Lakini ni kawaida ya kenge, mpaka damu ziwatoke masikioni!Umesema umekuwa unafatilia hii kesi kwa muda mrefu, embu tuambia ni viashiria gani mpaka sasa umeviona vinaashiria ugaidi wa mheshimiwa mbowe na wenzake?