Jaji: Ni kweli Kwamba hajaeleza ametoa wapi, Ni kweli Kwamba Kielelezo Kipo Kwenye Kumbukumbu ya Shauri Lingine, Ili Mahakama ione kama kilifuata Utaratibu kilipaswa kionekane kwamba ni kweli Kilifuata Utaratibu wa kiutawala kutoka Mahakamani.
Na Kwa namna hiyo Kielelezo kinajifuta Chenyewe kwa sababu Shahidi hakuonyesha namna gani kilimfikia, Assumption ni kwamba Kielelezo Kipo Kwenye Chumba cha Mtunza Kielelezo Cha a Mahakama, Hakuna Ushahidi Kwamba Shahidi alikipataje kuja Mahakamani.
Jaji: Kwa sababu hiyo mahakama inakikataaaaa kielelezo hiki natoa amri.