Kesi ndogo ya Freeman Mbowe: Shahidi akamilisha ushahidi wake, Shahidi mwingine kuendelea tarehe 12/11/2021

Kesi ndogo ya Freeman Mbowe: Shahidi akamilisha ushahidi wake, Shahidi mwingine kuendelea tarehe 12/11/2021

Pini ya wapi wahabarishaji wako biased, huoni hata wakiwa wanahabarisha taarifa za upande wa mashitaka huwa zinakatishwa na kuandikwa "hovyo"...ukiona kimya jua wahabarishaji hawajapata wanachopenda kukisikia.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ili kujiepusha na upendeleo katika uhabarishaji hii kesi ingeliwekwa spika nje ya ukumbi au irushwe mubashara na TV zetu ili tupate mbivu na mbichi
 
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi yakikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano mzee wa “what is tourism ” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Ungeacha wajadili watu wenye uelewa.
 
Pingamizi halina mashiko, tupilia mbali huko. Mawakili wa Mbowe wanapoteza muda bure na usumbufu kibao usio wa maana.
Waache kesi ya msingi ingurumee, mbona wana sua sua sana! Kwani wanaogopa nini? Si walisema hakuna ushahidi? Mbona sasa wanapapatua sana?! Ina maana kuna ushahidi mzito.
Mhemko mara nyingine ni hatari kwa Afya yako
 
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi yakikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano mzee wa “what is tourism ” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Kielelezo kimesha tupwa kwenye dust bin kule, Kwa hiyo na wewe toka kwenye kichaka chako cha ujinga!
 
Naona pingamizi limekuwa la moto sana jaji kalitema ile kufunika kombe mwanaharamu apite.
Baada ya kuihusisha mahakama kushiriakiana na upande wa mashtaka isivyo halali
Na leo ndiyo angeachiwa Mahakama yake na Mawakili wa upande wa Utetezi.
 
Makelele yamekuwa mengi sana kwenye mitandao hasa huko twitwer ameona watu wameanza kulalamika mahakama kutozingatia sheria akaona ngoja aepuke hii aibu
Ni kweli asingefuata sheria kwa hili legacy yake ingepotelea mbali.
Watu wanasoma vzr hii kesi huko mtaani na ingewashangaza km isinhekuwa.
 
Mhemko mara nyingine ni hatari kwa Afya yako

Changa la macho hilo wewe... huyu jaji anajua anachokifanya!
Imagine nyaraka iliyokuwa imekwisha pelekwa stoo ilinyofolewa na ikaletwa tena mahakamani bila utaratibu unaoeleweka, huko nyuma ya pazia kuna mengi yanaendelea, kwenye mojawapo ya pingamizi lililotupiliwa mbali na jaji linahusisha nyaraka iliyoeditiwa! Hapa jaji anajaribu kubalance ili ionekane anatenda haki!
Mapingamizi mengine yatakayowekwa anaweza akayatupilia mbali yote...
 
Jaji: Ni kweli Kwamba hajaeleza ametoa wapi, Ni kweli Kwamba Kielelezo Kipo Kwenye Kumbukumbu ya Shauri Lingine, Ili Mahakama ione kama kilifuata Utaratibu kilipaswa kionekane kwamba ni kweli Kilifuata Utaratibu wa kiutawala kutoka Mahakamani.

Na Kwa namna hiyo Kielelezo kinajifuta Chenyewe kwa sababu Shahidi hakuonyesha namna gani kilimfikia, Assumption ni kwamba Kielelezo Kipo Kwenye Chumba cha Mtunza Kielelezo Cha a Mahakama, Hakuna Ushahidi Kwamba Shahidi alikipataje kuja Mahakamani.

Jaji: Kwa sababu hiyo mahakama inakikataaaaa kielelezo hiki natoa amri.
hatuna Police wa kimahakama tuanze kumsaka huyu jamaa aliyechomoa documents kutoka chumba cha mtunza kumbukumbu na kuileta kizimbani kumpa shahidi ? maana pamoja na maamuzi ya Jaji kufanyika, ila huyu jamaa ni vizuri tukamchomoa humo kwanza tukahangaika naye maana huenda hii ndiyo imekuwa kazi yake ya kuchomoa documents za mahakama na kuzifanyia deal. Natoa hoja.
 
Back
Top Bottom