Kesi ndogo ya Freeman Mbowe: Shahidi akamilisha ushahidi wake, Shahidi mwingine kuendelea tarehe 12/11/2021

Kesi ndogo ya Freeman Mbowe: Shahidi akamilisha ushahidi wake, Shahidi mwingine kuendelea tarehe 12/11/2021

pingamizi halina mashiko, tupilia mbali huko.
mawakili wa Mbowe wanapoteza muda bure na usumbufu kibao usio wa maana.
waache kesi ya msingi ingurumee, mbona wana sua sua sana! kwani wanaogopa nini? siwalisema hakuna ushahidi? mbona sasa wanapapatua sana?! inamaana kuna ushahidi mzito.
Sema kuna ubambikiaji mzito🏋️.
 
Baba Askofu Mwamakula ndani ya Nyumba

Katibu_Mkuu_wa_Chadema_Mhe_John_Mnyika__akiteta_jambo_na_Emmaus_Bandekile_Mwamakula_ndani_ya_u...jpg
 
pingamizi halina mashiko, tupilia mbali huko.
mawakili wa Mbowe wanapoteza muda bure na usumbufu kibao usio wa maana.
waache kesi ya msingi ingurumee, mbona wana sua sua sana! kwani wanaogopa nini? siwalisema hakuna ushahidi? mbona sasa wanapapatua sana?! inamaana kuna ushahidi mzito.
Ya.leo.ushaipata au

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano mzee wa “what is tourism ” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Kijana wa hovyo haya ushindi wa jaji kwa mtazamo wake au kuna kingine
 
pingamizi halina mashiko, tupilia mbali huko.
mawakili wa Mbowe wanapoteza muda bure na usumbufu kibao usio wa maana.
waache kesi ya msingi ingurumee, mbona wana sua sua sana! kwani wanaogopa nini? siwalisema hakuna ushahidi? mbona sasa wanapapatua sana?! inamaana kuna ushahidi mzito.
ulizaliwa ktk upuuzi, unaishi ktk upuuzi na hata andika yako ni upuuzi
 
Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.

Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.

Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.

Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.

Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano mzee wa “what is tourism ” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
Hoja ya kwamba jamhuri inabebwa, wapinzani wamefanya kichaka cha kujifichia
Kwa kuwa unafuatilia hii kesi kiitikadi za kisiasa lazima uone kama hivyo, ila nikuambie tu haya yanayoendelea kwenye kesi ya Mbowe ni mwiba mbaya sana kisheria huko tuendako. Kuna msemo unaosema hivi kwenye maandiko matakatifu "Kwa maana kama wamefanya hivi kwa mti mbichi, kwa mti mkavu itakuwaje?”
Mwenye masikio na asikie
 
Hivyo upande wa mashtaka walipaswa kufanya taratibu za kukiomba tena lakini hakuna ushahidi kwamba upande wa mashtaka ulikiomba ili kitumike kwenye shauri hili bali kimejikuta tu mkononi mwa shahidi.
#KesiMbowe #MwananchiUpdates
Impact yake ni ipi kwenye hii case mkuu?
 
Tunajua ni ngumu kukataliwa kwa kielelezo hicho sbb mashahidi wengi wa serikali huwa wanatengenezwa.
Kazi ipo mwaka huu

 
Pingamizi halina mashiko, tupilia mbali huko. Mawakili wa Mbowe wanapoteza muda bure na usumbufu kibao usio wa maana.
Waache kesi ya msingi ingurumee, mbona wana sua sua sana! Kwani wanaogopa nini? Si walisema hakuna ushahidi? Mbona sasa wanapapatua sana?! Ina maana kuna ushahidi mzito.


Kina Mbowe washinda pingamizi kwa mara ya kwanza

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imepokea pingamizi la kwanza la kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu.
mbowe3
 
Back
Top Bottom