Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ningekuwa Sabaya yale mabilion yote niliyoiba naenda kuzichimbia zizini Longido ndani ndani huko karibu na kina Stroke. Halafu baada ya hii hukumu namuita maza na mshua kuwaomba wa nisamehe na kuwanong'onezea pesa zilipo. Baada ya hapo natembea kisongo gerezani uchi siku tatu mfululizo kulaani mamlaka za juu kwa kunisababishia hizi zahama halafu najiua.
Hakuna haja ya kuendelea kuishi tena bila Mbususu, wali na wine.
Coach Slamah Hamad Chaliifrancisco Stroke
Lile ni butwaa stelingi anakufa nyuma ya mauwaNaomba kuuliza. Hivi jamaa mbona anatabasamu licha yakupigwa miaka 30?
Longdo wangekuja kuchimbua labda uko ketumbeine uko ndan mwisho wa tanzania mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama ningekuwa Sabaya yale mabilion yote niliyoiba naenda kuzichimbia zizini Longido ndani ndani huko karibu na kina Stroke. Halafu baada ya hii hukumu namuita maza na mshua kuwaomba wa nisamehe na kuwanong'onezea pesa zilipo. Baada ya hapo natembea kisongo gerezani uchi siku tatu mfululizo kulaani mamlaka za juu kwa kunisababishia hizi zahama halafu najiua.
Hakuna haja ya kuendelea kuishi tena bila Mbususu, wali na wine.
Coach Slamah Hamad Chaliifrancisco Stroke
Hahahahah Mwendazake alikuwa kanyongorota yani😂!!! Kavu haswaaa hawa madogo wanaiga tuHao madogo ni cha mtoto sana kwa mwendazake, yule jamaa alikuwa kapinda haswaa
... Keshakatiwa 30 hana sababu ya kuendelea kulipa mawakili aghali.Hela zote alizopora watu zitaishia kuendeshea hizi kesi,mannnnina.
Sent using Jamii Forums mobile app.
Bado kesi za Hai, kule ndio usiseme.
Haka kajamaa wawe makini nako sana huko jela maana kanaweza kakajinyonga.
Maliyamungu na Idd no kesi tofauti. Fanya utafiti na utajua ukweli wake.Hakuna hiyo ni kawaida ya Madikteta kuwa na chawa kama hawa wanaojitoa ufahamu,refer to Maliayamungu wa Idi Amini Dada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabasam bandia lile mkuu,,nyuma ya pale majutoNaomba kuuliza. Hivi jamaa mbona anatabasamu licha yakupigwa miaka 30?