Kesi nyingine ya Lengai Ole Sabaya kuanza hivi karibuni

Kesi nyingine ya Lengai Ole Sabaya kuanza hivi karibuni

Kama ningekuwa Sabaya yale mabilion yote niliyoiba naenda kuzichimbia zizini Longido ndani ndani huko karibu na kina Stroke. Halafu baada ya hii hukumu namuita maza na mshua kuwaomba wa nisamehe na kuwanong'onezea pesa zilipo. Baada ya hapo natembea kisongo gerezani uchi siku tatu mfululizo kulaani mamlaka za juu kwa kunisababishia hizi zahama halafu najiua.

Hakuna haja ya kuendelea kuishi tena bila Mbususu, wali na wine.

Coach Slamah Hamad Chaliifrancisco Stroke
 
Ile kesi ya uhujumu uchumi na rushwa bado inafukuta chinichini. Huyu 7 ya anakazi maana ile nayo sinzuri alikuwa anakula marushwa waziwazi kamavile anakinga ya kutoshtakiwa!

Hizo ni chuga zahai zikianza kijana atazima kwa presha!!
 
Kama ningekuwa Sabaya yale mabilion yote niliyoiba naenda kuzichimbia zizini Longido ndani ndani huko karibu na kina Stroke. Halafu baada ya hii hukumu namuita maza na mshua kuwaomba wa nisamehe na kuwanong'onezea pesa zilipo. Baada ya hapo natembea kisongo gerezani uchi siku tatu mfululizo kulaani mamlaka za juu kwa kunisababishia hizi zahama halafu najiua.

Hakuna haja ya kuendelea kuishi tena bila Mbususu, wali na wine.

Coach Slamah Hamad Chaliifrancisco Stroke

Ndugu yake Stroke akikusikia huna bahati,muda huu kajifungia ndani anakunywa Mbinyoo macho yanazidi kumtoka.
 
Kama ningekuwa Sabaya yale mabilion yote niliyoiba naenda kuzichimbia zizini Longido ndani ndani huko karibu na kina Stroke. Halafu baada ya hii hukumu namuita maza na mshua kuwaomba wa nisamehe na kuwanong'onezea pesa zilipo. Baada ya hapo natembea kisongo gerezani uchi siku tatu mfululizo kulaani mamlaka za juu kwa kunisababishia hizi zahama halafu najiua.

Hakuna haja ya kuendelea kuishi tena bila Mbususu, wali na wine.

Coach Slamah Hamad Chaliifrancisco Stroke
Longdo wangekuja kuchimbua labda uko ketumbeine uko ndan mwisho wa tanzania mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Mahakama imemkuta Ole na hatia na hukumu ya kumpa haki yake imetolewa

Tunaodhania tumesimama tuangalie tusianguke, kwa sasa tunaweza kusherekea Ole kufungwa jela ila ikawa ndio mpango wa Mungu wake kumnusuru kwenye jela baada ya ulimwengu huu

Sauli na matendo yake yote maovu, aliuwa hadi mitume wa Yesu lakini alipokutana nae kila kitu kilibadilika. Jipeni moyo mkuu familia ya Ole Sabaya na mumshukuru Mungu kwa hili pia

Tujiulize sisi kwa matendo yetu tunayofanya sirini tunatakiwa kupewa hukumu gani??
 
Back
Top Bottom