Kesi ya Agnes Doris Liundi - Nini hasa kilitokea?

Kesi ya Agnes Doris Liundi - Nini hasa kilitokea?

well said petcash,wanaume muache kuongozwa na hisia.ni vizuri kuthibitisha jambo kabla ya kutoa maamuzi.swali la kizushi hivi mtambuzi wewe mwanasheria?

Joj usiseme wanaume bana,sema binadamu maana na nyie mna vituko.
 
Too SAD, unajua sisi wanaume tuna tatizo kubwa sana la kutowaelewa wake zetu. Tukae chini na kuwasoma tutaacha kuwatesa.Maana kwa mwanamke maisha ya ndoa ndio baasi keshamaliza. Happy Mother's Day
 
Thanks Mtambuzi!kesi hii ni moja ya kesi zilizowahi kutikisa jiji la Dar,kamakesi ilivyofuata kwenye miaka ya 80 mwanzoni kesi iliyomuhusu Dr huyu huyu kwenye kesi hii.Jambo kubwa hapa,kesi zote zilihusisha mambo ya mapenzi,tena kwa vijana wasomi wa kipindi hicho!na zote zilipelekea mauaji ya kutisha!!!Jamo moja kubwa la kujifunza hapa kwetu sote,pamoja na madhaifu yetu kama binadamu,hakuna jambo linaloweza kuumiza nafsi ya mwenzio kama usaliti wa mapenzi.Na basi tunapoamua kuingia katika ndoa ni lazima uamuzi huo uwe umefanyika kwa dhati!!Leo mzee Liundi pamoja na heshima yake katika jamii nadhani ni jambo linalomuumiza mpaka siku mauti yatakampomkuta!!!TUPENDANE KWA DHATI!!!!NDOA SIO MAIGIZO AU MAKARATASI YA MAKANISANI,MSIKITINI AU KWA MKUU WA WILAYA!!

Well said mkuu...watu hawajui hilo. Matatizo kidogo yakitokea badala ya kushirikiana kama wana ndoa kuyatatua kila excuse inatumika kuhalalisha mambo tofauti yaendelee
 
Kweli kila siku tunajifunza kitu kipya...sikuwahi kujua wala kusikia hii kitu. But it is so painful na hata hiyo familia yenyewe nayo baada ya haya mambo kutokea sidhani kama iliendelea kuwa familia...mhh! Mungu apishe mbali
 
haya Bana...............

Mkuu unatisha...ukiendelea kutuletea hizi za kibongo bongo tutajifunza mambo mengi sana. Ulaya achana nao..wanagombea uhalali au sio halali jinsia moja kufunga ndoa. Inatuhusu nini sisi kama wameamua hilo??
 
Doris alikuwa na state of mind which would be subjected to defence of diminishing responsibility. This defence is given when an accused mind was 'impaired' at the time of committing a crime. However it was not in our laws at the time. The judge could not read it in our laws or at invoke it as a new law

Mkuu hivi ukiwa 'impaired' unachukua hela na kwenda kununua thiodan (thats what she used) kwenye duka la dawa za mimea? I wonder.....tuyaache lakini yashapita.
 
Mkuu umetoa darasa tosha kabisa tuwe makini kwenye family zetu; kwanza tujifunze kumjua mwenzi wako na back ground yake!! Kila tunapotoa tamko tuwe tunalipima tuache mfumo dume wa vitisho tutapata hasara kwenye miji yetu, kweli hiyo inatisha!!!!


Hivi wewe ku quote story lote ili iweje? Ungekuwa unaweka ref. Eeh ningekuelewa just click reply inatosha as hii ni story ya kwanza. Na wote tunaisoma na ukijibu tunajua unajibia hii, labda ktk zingine ukiquote kinaeleweka.
 
o "Mahakama haifungwi kukubaliana na ushahidi wa hospitalini (Medical Testimony) kama/endapo kuna sababu madhubuti ya kutofanya hivyo. mwisho wa siku ni kazi ya mahakama kutafuta ushahidi na viambatanisho katika kufanya hivyo, ni wajibu wangu kuangalia na kulipima na ushahidi uliotolewa kabla na ikiwemo utaalam wa Daktari.
hii inaitwa expert opinion in legal terms.Naendelea kukukubali mkuu unaelimisha ile mbaya tusiwe tunakurupuka kufanya maamuzi.
 
Mtambuzi shukurani kwa kutujuza tena ya mahakamani. Nyerere alitenda wema kumnusuru.

Kesi bi kesi wandugu, lazima kuna kesi itakuhusu au haitakuhusu hapa duniani.

Kama hautaki kujadili na kujifunza huna haja ya ku komenti humu.

Haya Mtambuzi endelea kuchambua.
 
aisee story ndefu sana nimeshindwa kuisoma yote...so kwa walioisoma yote huyo mama alifanywa nini na mahakama??


Ndio maana Tanzania inabaki ilipo, kweli habari ya kurasa chache hivi umeshindwa kuisoma yote, ukija kuwa kiongozi ukapewa mkataba mfano wa Richmond for review si utasoma tu ile karatasi ya mwisho tu yenye kuonesha mahali pa kusaini?. Nchi isiyo na wasomaji ni nchi liyojifia.
 
Mkuu hivi ukiwa 'impaired' unachukua hela na kwenda kununua thiodan (thats what she used) kwenye duka la dawa za mimea? I wonder.....tuyaache lakini yashapita.

Its fairly possible mkuu! Kilichofanyika kwa huyu mama ni piling up of bitter and negative issues in her life. Chukulia historia yake ya utoto, halafu akabakwa, kisha mateso daily toka kwa mtu unayempenda na kumtegemea in everything. In that situation unaona kama umebakia peke yako in the whole world, upweke usio na maelezo. Akili yako inakuwa haina alternative na chochote kile unaona ni sawa. Hapo unaweza kuua, ukafanya maandalizi yote ukifahamu unaua, lakini akili yako, kutokana na mlundikano wa bitterness, inaona its a right thing! There you are impaired!
 
Its fairly possible mkuu! Kilichofanyika kwa huyu mama ni piling up of bitter and negative issues in her life. Chukulia historia yake ya utoto, halafu akabakwa, kisha mateso daily toka kwa mtu unayempenda na kumtegemea in everything. In that situation unaona kama umebakia peke yako in the whole world, upweke usio na maelezo. Akili yako inakuwa haina alternative na chochote kile unaona ni sawa. Hapo unaweza kuua, ukafanya maandalizi yote ukifahamu unaua, lakini akili yako, kutokana na mlundikano wa bitterness, inaona its a right thing! There you are impaired!
Wanasheria bana,hamkosagi maneno.Haya bana.
 
Ndio maana Tanzania inabaki ilipo, kweli habari ya kurasa chache hivi umeshindwa kuisoma yote, ukija kuwa kiongozi ukapewa mkataba mfano wa Richmond for review si utasoma tu ile karatasi ya mwisho tu yenye kuonesha mahali pa kusaini?. Nchi isiyo na wasomaji ni nchi liyojifia.

Mtoto wa mjini huyo! Lol
 
Wanasheria bana,hamkosagi maneno.Haya bana.

Sio swala la maneno. There is a difference between law and justice. Not all laws leads to justice. Huyu mama, strictly according to law, she is murderer! But according to justice unaona kabisa she doesnt deserve death but special treatment as a human being! Thats where these principles are introduced in law so that justice is fairly done. Even Makame said he would love to acquit her but was tied by the law! Thats why she was later left free! Kuna kesi ukisoma utatamani ulie, na ukifuata sheria, kitanzi ndo only alternative! Rules of justice and fairness have to be invoked in
 
Thanks Gustavo you made my friday!
Mh kwa kweli it is so sad,

Mama alitegemea angeondoka na wanawe lakini akabaki na wanawe wakaenda najua niuchungu kiasi gani aliupata baada ya kupata akili timamu.

Mungu awalaze pema peponi malaika wale.

Hiki kisa kimenifundisha vitu vingi sana
Je yule mbakaji alijisikiaje baada ya haya yote kutokea?

Na huyu mzazi mwenzie wa Doris alijisikiaje na alijutaje?

Na pia nadhani kipindi hiki nikile wanawake wengi walikuwa tegemezi au waliona maisha bila kuolewa ni hakuna.
Laiti kama hiyo fukuza ingetokea leo miaka hii nadhani huyu mama angebeba wanawe na kuenda kuanza maisha.

Pole zake nyingi kwani uwezo wake wakutatua jambo uliishia pale.

Hivyo nyie watu wa inf. angalieni sana madhara yatokanayo na kuingilia ndoa za watu.

Nanyi wanaume wapendeni wake zenu na kuwahurumia.

Ingekuwa ni Mume kabaka I am very sure kwamba Doris angemsamehe na kumstili .

Playboy and prostute hawa si wote sawa?

But playboy inaonekana sifa wakati prostute ni aibu na uchafu!
 
Mmm! inasikitisha sana jaman,pole sana TL,

Tumuomben mungu atupe hekima na busara za kuishi maisha ya ndoa,na tupate ujasiri wa kubebeana mapungufu yetu.
 
Inasikitisha sana jamani,kwa hiyo baada ya huyo mama kuachiwa waliendelea kuishi kama mke na mume??
 
Hiki kisa kinasikitisha aisee, haya mambo ya mapenzi yanahitaji umakini...
 
Back
Top Bottom