Its fairly possible mkuu! Kilichofanyika kwa huyu mama ni piling up of bitter and negative issues in her life. Chukulia historia yake ya utoto, halafu akabakwa, kisha mateso daily toka kwa mtu unayempenda na kumtegemea in everything. In that situation unaona kama umebakia peke yako in the whole world, upweke usio na maelezo. Akili yako inakuwa haina alternative na chochote kile unaona ni sawa. Hapo unaweza kuua, ukafanya maandalizi yote ukifahamu unaua, lakini akili yako, kutokana na mlundikano wa bitterness, inaona its a right thing! There you are impaired!