Na pia rais na mamlaka ya kikatika kumpa kesi mtu yoyote yule.CASE CLOSED ndugu!
Rais kwa mamlaka aliyopewa kikatiba, kawasamehe!!
Maskini Augustine Mrema hapati credit yoyote ktk hili wakati paroles zote zinaanzishwa nae na kupendekeza kwa rais.
Weka hicho kifungu tukione hapa.Na pia rais na mamlaka ya kikatika kumpa kesi mtu yoyote yule.
HUENDA ILITENGENEZWA NA MAMLAKA YAKE.Sasa kama Rais anaweza kufuta hukumu zilizotolewa na mahakama inakuaje basi tunasema mahakama ni mhimili wa dola ulio ulio huru?
Sio Tz tu, hata states rais ana constitutional rights to pardon convicts. Ila HAFUTI HUKUMU, anatoa msamaha kwa aliyehukumiwa.Sasa kama Rais anaweza kufuta hukumu zilizotolewa na mahakama inakuaje basi tunasema mahakama ni mhimili wa dola ulio ulio huru?
kwani kani kakwambia rais wako anafata sheriaWeka hicho kifungu tukione hapa.
Hajafuta hukumuSasa kama Rais anaweza kufuta hukumu zilizotolewa na mahakama inakuaje basi tunasema mahakama ni mhimili wa dola ulio ulio huru?
Ooooh, kumbe hujui ulichokiandika. Ok, poa.kwani kani kakwambia rais wako anafata sheria
Hakuna maana nyingine zaidi ya hiyoUchochezi
Uko sahihi kiongozi, kama walitenda hili, litawatafuma sana wakiwa hai.Babu sea kama ni kwl alifanya hyo baasi laana itamtafuna mpaka atakopokufa kuwa huru kwake huenda ikawa adhabu kubwa sana