Mkuu na muamini wote Mimi bila kuletewa hivyo video hapa siaminiMimi nitakua wa pili kutoka mwisho.. Yaani ukiamini wewe Mimi ndiyo nitafuatia.
Dawa ni moja tu, iwapo akitaka kubaki salama sharti aje madhabahuni kwa ajili ya TOBA. Hakuna dhambi isiosameheka!!! Mungu huwa anasamehe dhambi/uovu wa wanadamu. Akishatubu kwa Mungu aanze kumtumikia Mungu katika maisha yake yote.!Babu sea kama ni kwl alifanya hyo baasi laana itamtafuna mpaka atakopokufa kuwa huru kwake huenda ikawa adhabu kubwa sana
Mkuu unaambiwa kipengele kilichotumika kuwafunga hata wangekwenda mahakamani gani bado wasingetoka ila kwa msamaha wa Rais tu. Fuatilia hizi nyuzi za hawa watu utakutana na mchangiaji mmoja ameandika hivyo sikumbuki ni ipi ila ipo humu.Walitetewa na jopo la mawakili wasomi wakiongozwa na Wakili Msomi Mabere Marandu wakashindwa kesi.Wakakata rufaa wakashindwa tena.
Kwa hiyo unatakaje sasa kama DPP hana uwezo wa kurudisha? mbambikeni uhujumu uchumi maana ndiyo kesi zenu hizo.I state lnterlia that,whatever reasons thereof,the powers of DPP were graduated when the culprits were convicted and sentenced to life imprisonment and both the conviction and sentence upheld by the court of Appeal.
Ndugu yangu unanionea bure,mm Sina nguvu ya kumfunga hata inzi.Kwa hiyo unatakaje sasa kama DPP hana uwezo wa kurudisha? mbambikeni uhujumu uchumi maana ndiyo kesi zenu hizo.
Kama huna unalalamika nini sasa? mwambie BashiteNdugu yangu unanionea bure,mm Sina nguvu ya kumfunga hata inzi.
Mkuu mbona kama nimekukosea sana vile.Kama huna unalalamika nini sasa? mwambie Bashite
Upo sahihi kiongoziBabu sea kama ni kwl alifanya hyo baasi laana itamtafuna mpaka atakopokufa kuwa huru kwake huenda ikawa adhabu kubwa sana
Mkuu andiko lako halipo sawa, kama Rais ametoa msamaha hakuna sababu ya kuendelea kuhoji mradi hajavunja katiba. Sorry kama hujanielewa.Mkuu mbona kama nimekukosea sana vile.
Mimi nilimjibu Yule aliyesema watarudishwa tena na DPP ndo nikasome kazi ya DPP ilishaisha .Hili swala hali wezi kurudi tena kwenye litigation kwa sababu ya kanuni ya res judicata.Mkuu andiko lako halipo sawa, kama Rais ametoa msamaha hakuna sababu ya kuendelea kuhoji mradi hajavunja katiba. Sorry kama hujanielewa.
Well notedMimi nilimjibu Yule aliyesema watarudishwa tena na DPP ndo nikasome kazi ya DPP ilishaisha .Hili swala hali wezi kurudi tena kwenye litigation kwa sababu ya kanuni ya res judicata.
HayaWell noted
Mkuu unajua Mila za waongo katika ngono? Waulize hao Jirani zako watakuleza hii kitu wanabisha hadi kesho "ati katoto kanasema alipotoka baba kunifanya akaja na fulani akanifanya. Kweli!!?? Huyu mtoto wa miaka saba alinyweshwa viagwa au,halafu anatoka hapo anaingia darasa kama sio yeye aliyetoka kufanywa [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Wakongo ni washenzi sana nyie hamuwajui tu...kama umewahi kuishi nao mtaa mmoja utaelewa nachokisema hapa.
Kwenye uharifu nipo tayari kumtetea mtu yeyote lakini sio mkongo hasa hasa linapokuja swala la ngono.
Wale jamaa walibaka kiukweli sema ndo hivyo tena Katiba inampa nguvu raisi kusamehe kosa lolote.