whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,432
Dawa ni moja tu, iwapo akitaka kubaki salama sharti aje madhabahuni kwa ajili ya TOBA. Hakuna dhambi isiosameheka!!! Mungu huwa anasamehe dhambi/uovu wa wanadamu. Akishatubu kwa Mungu aanze kumtumikia Mungu katika maisha yake yote.!
Tofauti na hivyo, ataomba kurudishwa kule gerezani alikokuwa.
JESUS IS LORD !
Mkuu unawapangia tena ratiba zao na Mungu. Wanadamu wana njia zao za kuongea na Mungu wao katika kuomba kusamehewa.
I stand to be corrected