Hakufungwaga hata mwaka mmoja kudadadeki...aliachiwa huru yaani sa4 asubuhi kweupe,yaani umshike mkono mtoto wa mtu umvushe mibarabara umpeleke akagongwe nyama kisha utoke salama?Mwalimu aliyekuwa anawapeleka hakukutwa na hatia. Unaelewa?
Tatizo sio machoz tstizo niwewe kutoa machozi bila sababu zamsingiNimejikuta natoka machozi ya uchungu wa mzazi
Naona suala la kulawiti watoto ni jambo tamu sana kwakoTatizo sio machoz tstizo niwewe kutoa machozi bila sababu zamsingi
The last sentence ' the anus appeared normal " Ina justify hilo2010 mmoja wa vibinti hivyo nilimuona Mt. Vernon,NY nikiambiwa baadae kuwa alifika huko baada ya kuwa sehemu ya mashahidi na kutenda vyema!!!
Siyo majina halisi! Hii ni Kwa ajili ya kuwalinda watoto!Hayo Majina ya watoto nitayafuatilia Facebook na Instagram
Pongezi kwako kwa kupangilia maneno yenye hekima mkuuNaomba mjadala huu ufungwe Kwa maslahi ya familia ya babu Seya ili wapate nafasi ya kupumzika na kufurahia msamaha! Tusiirudishe familia hii kwenye kwenye "kesi katika mitandao ya kijamii"
Kama walikuwa wamekosa basi wamesamehewa kisheria na jamii iwasamehe pia. Kama walikuwa wameonewa basi na wao wawasamehe kabisa waliowaonea ili wajisikie huru! Ukisamehe unakuwa huru! Hii itasaidia maisha kuendelea! Naomba mods wasaidie kufunga hii mijadala hapa jf Kwa manufaa ya familia husika inayohitaji kupumzika!
Hapana ... hawakupakaziwa ... hawa watu walicheza mkanda wa mambo hayo na watoto .. mkanda ukauzwa nje ya nchi .. some foreign ambassodor to tanzania had gone back home on an errand ... akaufuma huu mkanda ambayo aliletewa akaambia see what is happening in Tanzania ... the ambassodor who knew the culprits came back to TZ ... called top officials and showed them the mkada ... luckily the guys were easily identified ... and the only thing to do was to pin them down ...wakatumia hizo mbinu as wale watoto waliyowachezea wasingepatikana .. this is why hii kesi no one could tamper with with it as there was recorded evidence ....
They are paying for their sins
Nine girls from different families..you need to do a lot to do a fabrication. Any way wanaomshangilia Shika wanafikiri kama wewe. Ndio tulipofikia kama taifa. Kuaminini tunachokitaka. UjuhaPW5 evidence is fabricated! Tangia lini binti wa 5_7 years akawa na breasts? Inakuwaje amwambie amnyonye dudu lake wakati yeye anamnyonya (breasts)?
Ulitakiwa utoe taarifako kabla hawajatolewa kuitoa wakiwa out ni ukosefu wa kazi ya kufanya
Hii kesi mm iliniacha hoi vitu viwili tu
1. Walihukumiwa wote wakitiwa hatiani kufanya makosa ya ubakaji aka ulawiti lkn cha ajabu moja ya vijana wa mzee Nguza aliyekuja achiwa baadae sana ni hanithi ss sijui mahakama walintia hatiani vipi?
2. Upimwaji wa wale watoto wakili wa utetezi hakupewa ushirikiano wowote na kuzuiliwa kujua taratizo zile,je walikua wanaficha nini??
3. Nadharia nyepesi si rahisi eti familia nzima waovu kiasi kile tena kwa aina moja ya uovu yaani baba lawiti na vijana wote lawiti hpn Nadharia inagoma!
Kuna jambo nyuma ya pazia
Waswahili husema ukipenda chongo itaita kengeza anachoongea mleta mada ni vitendo vya kinyama walivyofanya watuhumiwaUlitakiwa utoe taarifako kabla hawajatolewa kuitoa wakiwa out ni ukosefu wa kazi ya kufanya
Kwanza asingetembea constipation tu unamwacha mtu achanike ashindwe kukaahaya maelezo ya kupangwa kabisa 7yrs nyuma hapawezi himili mtanange wa mtu mzima ingegundulika siku 2 kwa ukaaji wao.
hii kesi tangu mwanzo huwa siiamini hasa baada ya kufungwa wale majanki na wakakutwa hawana hatia. (akiye plani tukio alitaka familia nzima iozee jela)
ntakuwa wa 3 kutoka mwisho kuamini hili