Hii kesi mm iliniacha hoi vitu viwili tu
1. Walihukumiwa wote wakitiwa hatiani kufanya makosa ya ubakaji aka ulawiti lkn cha ajabu moja ya vijana wa mzee Nguza aliyekuja achiwa baadae sana ni hanithi ss sijui mahakama walintia hatiani vipi?
2. Upimwaji wa wale watoto wakili wa utetezi hakupewa ushirikiano wowote na kuzuiliwa kujua taratizo zile,je walikua wanaficha nini??
3. Nadharia nyepesi si rahisi eti familia nzima waovu kiasi kile tena kwa aina moja ya uovu yaani baba lawiti na vijana wote lawiti hpn Nadharia inagoma!
Kuna jambo nyuma ya pazia