KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,476
- 2,371
Angekuwa amebakwa mwanao sijui kama hii post ungeweka hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huo ni msamiati mpya?
Asante kwa kuuliza. Kwa kweli Kiswahili wanachoandika watu kadhaa kwenye huu mtandao kinakwaruza sana hasa wanapoacha kuweka "h"au kuingiza "h" pasipotakiwa:
akika badala ya hakika
amna badala ya hamna
hacha badala ya acha
n.k.
mambo ya babu seya,serikali iawezi kuepuka lawama
Tulipofikia sidhani kama kuna haja yakusumbua watu, hebu waacheni kila mtu afe nalwake. Hivi ushoga unaruhusiwa tena kisheria halafu muwakataze wakina Dada kukutana na wanaume????? Mnatakaje sasa nyie polisi mbona hatuwasomi????
Una binti unataka umuozeshe??Una umri gani?
Nina Shabab anataka kuoa mke wa piliUna binti unataka umuozeshe??