Kesi ya Google: Hatimaye waanza kurecommend browser nyingine mbali na chrome, Je Kuna haja Serikali yetu ikaondoa monopoly inayofanywa na Bakhresa ?

Kesi ya Google: Hatimaye waanza kurecommend browser nyingine mbali na chrome, Je Kuna haja Serikali yetu ikaondoa monopoly inayofanywa na Bakhresa ?

Hio inawezekana tu kama huyo mwengine anai value ligi kama main broadcaster, Azam ameivalue kwa Bilioni 200, kama mtu anataka Asilimia 10 ama 20 za Mechi basi atatakiwa kutoa asilimia 10 ama 20 za hicho kiasi, it's that simple.

Africa Kusini mwa jangwa la Sahara yupo Multichoice (dstv) yeye ndio ananunua hali za EPL na Uefa, wakaja G sport wakabid kama yeye haki zikagawanywa, G sport wakafilisika sasa hivi 100% ni Dstv.

So hakuna mtu anaezuia mtu mwengine kuonesha ligi ya Tanzania kama wapo tayari kuithamini ligi yetu na kutoa pesa nyingi.

Tukumbushane tu walipa haki za TV waliopita
-miaka ya 2009 walikuwa ni hao GTV (G Sport) walilipa milioni 300
-walipofilisika Star tv aka chukua ligi ikamshinda
-Alipotoka star tv Dstv akaichukua, akawa anaonesha mechi kubwa tu naye akaicha kwa kejeli kwamba ligi ya Tanzania hailipi bora kenya na Uganda
-Azam akaichukua Deal la kwanza lilikuwa Bilioni 5 na amekuja ame renew kwa dola $100M karibia Bilioni 280

Hilo ni deal la 3 kwa ukubwa Africa tumepitwa na South na Nigeria tu, nchi zilizobakia zote tumezipita.

Kama kuna mtu kweli anaona Azam anafaidi Atoe Bilioni 300 ama 400 anunue ligi, otherwise ni ujinga ku entertain upinzani na watu wa sio na uwezo.

Source
N wajinga tuu ndio hawatokuelewa.

Na kingine n kwamba, hapa Africa n nchi kama tano hv ndio wanaorusha mechi zote za ligi live ikiwemo Tanzania/Azam Tv.

Hapa bongo kutoa Azam na TBC (hawa TBC n kwa sababu tuu n ya serikali) hizo Media zingine kulipana tuu mishahara ya laki nne nne wanashikana mashati ndio waje waweze kutoa zaidi ya 20B kwa mwaka kwa ajili ya kuonyesha mechi 😂 na hapo n nje ya Production ya hizo mechi.

Tatizo la sisi Wabongo tukiona mzigo umesimama wanadhani umesimama wnyw wakati kuna watu wamewekeza parefu hapo.
 
Hio inawezekana tu kama huyo mwengine anai value ligi kama main broadcaster, Azam ameivalue kwa Bilioni 200, kama mtu anataka Asilimia 10 ama 20 za Mechi basi atatakiwa kutoa asilimia 10 ama 20 za hicho kiasi, it's that simple.

Africa Kusini mwa jangwa la Sahara yupo Multichoice (dstv) yeye ndio ananunua hali za EPL na Uefa, wakaja G sport wakabid kama yeye haki zikagawanywa, G sport wakafilisika sasa hivi 100% ni Dstv.

So hakuna mtu anaezuia mtu mwengine kuonesha ligi ya Tanzania kama wapo tayari kuithamini ligi yetu na kutoa pesa nyingi.

Tukumbushane tu walipa haki za TV waliopita
-miaka ya 2009 walikuwa ni hao GTV (G Sport) walilipa milioni 300
-walipofilisika Star tv aka chukua ligi ikamshinda
-Alipotoka star tv Dstv akaichukua, akawa anaonesha mechi kubwa tu naye akaicha kwa kejeli kwamba ligi ya Tanzania hailipi bora kenya na Uganda
-Azam akaichukua Deal la kwanza lilikuwa Bilioni 5 na amekuja ame renew kwa dola $100M karibia Bilioni 280

Hilo ni deal la 3 kwa ukubwa Africa tumepitwa na South na Nigeria tu, nchi zilizobakia zote tumezipita.

Kama kuna mtu kweli anaona Azam anafaidi Atoe Bilioni 300 ama 400 anunue ligi, otherwise ni ujinga ku entertain upinzani na watu wa sio na uwezo.

Source
Na tena watu wakae wakijua kuwa hizo 20B za kila mwaka za azam zinaendesha wizara hata zaidi ya tatu huko Zanzibar 😂
 
DStv walitoa sh ngap kuonyesha mechi za simba na Yanga tuu?

Kuna kampuni ipi hapa Bongo itatoa zaidi ya hiyo?
Sijui

Pia sijui kama kuna kampuni nyingine inaweza toa hiyo hela.

Lakini ni kweli bakhresa ameteka soko la kuonesha mpira.

Wateja hawana machaguo mengine zaidi yake

Sema mimi naamini monopoly ni mpaka wateja wahisi wanaumizwa, kama ilivyo kwenye makampuni ya internet
ila kwenye football broadcasting hapa tz hamna mtu anayehisi gharama ni ghali zinamnyonya.
 
Sijui

Pia sijui kama kuna kampuni nyingine inaweza toa hiyo hela.

Lakini ni kweli bakhresa ameteka soko la kuonesha mpira.

Wateja hawana machaguo mengine zaidi yake

Sema mimi naamini monopoly ni mpaka wateja wahisi wanaumizwa, kama ilivyo kwenye makampuni ya internet
ila kwenye football broadcasting hapa tz hamna mtu anayehisi gharama ni ghali zinamnyonya.
Sasa ht wateja wakihisi kuumizwa bado hawatokuwa na la kufanya mana bado hakuna kampuni yenye Kuweza kugharamikia Production za ligi kuu labla serikali iingilie kati na kuipa nguvu TBC jambo ambalo naona haliwezekani na bado kuna vitu tutavikosa ambavyo tunavipata kutoka Azam Tv
 
Sasa ht wateja wakihisi kuumizwa bado hawatokuwa na la kufanya mana bado hakuna kampuni yenye Kuweza kugharamikia Production za ligi kuu labla serikali iingilie kati na kuipa nguvu TBC jambo ambalo naona haliwezekani na bado kuna vitu tutavikosa ambavyo tunavipata kutoka Azam Tv
na monopolies haziishi milele, mabadiliko ya teknolojia na mifumo ya biashara inaua monopolies

mfano sgr kwa abood
 
Anhaa 👍🏽
Screenshot_20240909-124302.png


Browser nyingine wanazorecommend hizo hapo, utaona duckduckgo ipo
 
Naunga mkono hoja...Japo nakumbuka Mkataba wa Azam Una miaka 10 mbele...Alafu moja ya mashart ya Mkataba maudhui ya Mpira yatarushwa na Azam pekee...
Huku Azam ikijinasibu kuwapa Tim za Mpira Pesa za Madaf ikiwa kama Bingwa kulipwa 500Mill...
 
Back
Top Bottom