Kesi ya kupinga uwekezaji wa DP; Mahakama sasa ithibitishe yale maneno ya Rostam yalikuwa ya ukweli au uongo!

Kesi ya kupinga uwekezaji wa DP; Mahakama sasa ithibitishe yale maneno ya Rostam yalikuwa ya ukweli au uongo!

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Mwezi mmoja uliopita ROSTAM AZIZ Alitangazia Umma kwamba mahakama zetu hazifai kwamba eti zinaingiliwa kwa maelekezo!

Maneno hayo mazito kutoka kwa Rostam hayakuwa ya burebure! Bali ni maneno ambayo yalitoka kwenye kinywa cha mtu anaemaanisha wala siyo kuteleza!

Pamoja na Rostam kuombwa kukanusha kauli hiyo au kueleza ni namna gani mahakama zinaingiliwa ambapo alifanya hivyo na mjadala ukaisha!

Nashauri mahakama ithibitishie Umma kupitia kesi iliyofunguliwa mbeya kwamba ...mahakama hazipokei maelekezo yoyote kwenye maamuzi yao kama ilivyodaiwa na ROSTAM
 
Mwezi mmoja uliopita ROSTAM AZIZ Alitangazia Umma kwamba mahakama zetu hazifai kwamba eti zinaingiliwa kwa maelekezo!

Maneno hayo mazito kutoka kwa Rostam hayakuwa ya burebure! Bali ni maneno ambayo yalitoka kwenye kinywa cha mtu anaemaanisha wala siyo kuteleza!

Pamoja na Rostam kuombwa kukanusha kauli hiyo au kueleza ni namna gani mahakama zinaingiliwa ambapo alifanya hivyo na mjadala ukaisha!

Nashauri mahakama ithibitishie Umma kupitia kesi iliyofunguliwa mbeya kwamba ...mahakama hazipokei maelekezo yoyote kwenye maamuzi yao kama ilivyodaiwa na ROSTAM
Ngoja tuone
 
Kwahiyo unataka kusema inaweza tupiliwa mbali au mahakimu kujitoa ili kubye tyme au niaje niaje! Mbona mambo meusi
Mimi matarajio yangu ni hayo, sidhani kama mhimili ulojichimbia chini zaidi utakubali kuingia kwenye fedhewa ya kushindwa kwenye kesi ile, nazani rost tamu alikuwa sahihi kwa matamshi yake,kukanusha kwake baade ni kufunika kombe tuu mwanaharam apite
 
Mwezi mmoja uliopita ROSTAM AZIZ Alitangazia Umma kwamba mahakama zetu hazifai kwamba eti zinaingiliwa kwa maelekezo!

Maneno hayo mazito kutoka kwa Rostam hayakuwa ya burebure! Bali ni maneno ambayo yalitoka kwenye kinywa cha mtu anaemaanisha wala siyo kuteleza!

Pamoja na Rostam kuombwa kukanusha kauli hiyo au kueleza ni namna gani mahakama zinaingiliwa ambapo alifanya hivyo na mjadala ukaisha!

Nashauri mahakama ithibitishie Umma kupitia kesi iliyofunguliwa mbeya kwamba ...mahakama hazipokei maelekezo yoyote kwenye maamuzi yao kama ilivyodaiwa na ROSTAM
Hukumu iliahirishwa kupisha sherehe za leo huko huko Mbeya! Hawakutaka disco liingie yero Masai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwezi mmoja uliopita ROSTAM AZIZ Alitangazia Umma kwamba mahakama zetu hazifai kwamba eti zinaingiliwa kwa maelekezo!

Maneno hayo mazito kutoka kwa Rostam hayakuwa ya burebure! Bali ni maneno ambayo yalitoka kwenye kinywa cha mtu anaemaanisha wala siyo kuteleza!

Pamoja na Rostam kuombwa kukanusha kauli hiyo au kueleza ni namna gani mahakama zinaingiliwa ambapo alifanya hivyo na mjadala ukaisha!

Nashauri mahakama ithibitishie Umma kupitia kesi iliyofunguliwa mbeya kwamba ...mahakama hazipokei maelekezo yoyote kwenye maamuzi yao kama ilivyodaiwa na ROSTAM
Wewe kama nani wa kuiamuru mahakama?

Hivi nyie mnamfaham Rostam au mnamsikia na kumuona tu kwenye vyombo vya habari?

Nikudokeze kidogo?mFikiri kabla hujajibu. Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
 
Mwezi mmoja uliopita ROSTAM AZIZ Alitangazia Umma kwamba mahakama zetu hazifai kwamba eti zinaingiliwa kwa maelekezo!

Maneno hayo mazito kutoka kwa Rostam hayakuwa ya burebure! Bali ni maneno ambayo yalitoka kwenye kinywa cha mtu anaemaanisha wala siyo kuteleza!

Pamoja na Rostam kuombwa kukanusha kauli hiyo au kueleza ni namna gani mahakama zinaingiliwa ambapo alifanya hivyo na mjadala ukaisha!

Nashauri mahakama ithibitishie Umma kupitia kesi iliyofunguliwa mbeya kwamba ...mahakama hazipokei maelekezo yoyote kwenye maamuzi yao kama ilivyodaiwa na ROSTAM
Kwani wanaomwambia Mbowe na Lissu kuwa HAWANA SHUKRANI KWA MAMA, WAMESAMEHEWA KESI ZAO LAKINI HAWAONYESHI SHUKRANI, hujawaelewa..!???
 
Niko Mbeya na siondoki hapa Hadi hukumu isomwe
IMG_20230807_113955.jpg
 
tuone kama hii doctrine ya "separation of powers" ipo japo kidogo au ni blaah blaaah tu
 
Mwezi mmoja uliopita ROSTAM AZIZ Alitangazia Umma kwamba mahakama zetu hazifai kwamba eti zinaingiliwa kwa maelekezo!

Maneno hayo mazito kutoka kwa Rostam hayakuwa ya burebure! Bali ni maneno ambayo yalitoka kwenye kinywa cha mtu anaemaanisha wala siyo kuteleza!

Pamoja na Rostam kuombwa kukanusha kauli hiyo au kueleza ni namna gani mahakama zinaingiliwa ambapo alifanya hivyo na mjadala ukaisha!

Nashauri mahakama ithibitishie Umma kupitia kesi iliyofunguliwa mbeya kwamba ...mahakama hazipokei maelekezo yoyote kwenye maamuzi yao kama ilivyodaiwa na ROSTAM
Ina maana tayari umeshajua hukumu itakuwaje au kuna namna wewe unataka uamuzi uwe upande flani
 
Mwezi mmoja uliopita ROSTAM AZIZ Alitangazia Umma kwamba mahakama zetu hazifai kwamba eti zinaingiliwa kwa maelekezo!

Maneno hayo mazito kutoka kwa Rostam hayakuwa ya burebure! Bali ni maneno ambayo yalitoka kwenye kinywa cha mtu anaemaanisha wala siyo kuteleza!

Pamoja na Rostam kuombwa kukanusha kauli hiyo au kueleza ni namna gani mahakama zinaingiliwa ambapo alifanya hivyo na mjadala ukaisha!

Nashauri mahakama ithibitishie Umma kupitia kesi iliyofunguliwa mbeya kwamba ...mahakama hazipokei maelekezo yoyote kwenye maamuzi yao kama ilivyodaiwa na ROSTAM
Nami nasubiri sana nione km Rostam Aziz alituongopea ama alisema ukweli?

Mahakama na majaji kazi kwenu.
Nazani umesikia bi mkubwa yupo mbeya ,kimtazamo wangu nazani amekwenda kwa sababu maalum hivyo usitarajie kipya kwenye ile kesi
98%
 
Back
Top Bottom