Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tenda kosa la jinai na wewe upate msamaha kabla ya kuhukumiwa.Kwani wanaomwambia Mbowe na Lissu kuwa HAWANA SHUKRANI KWA MAMA, WAMESAMEHEWA KESI ZAO LAKINI HAWAONYESHI SHUKRANI, hujawaelewa..!???
HahaahaaNiko Mbeya na siondoki hapa Hadi hukumu isomwe
View attachment 2711585
Hayo ni maoni yako! Mada mezani iko wazi kwamba mahakama ithibitishe kwamba wako imara kutafsiri sheriaKwahiyo mleta mada unataka Mahakama itoe hukumu ambayo itakufurahisha wewe? wakitoa hukumu kinyume na matarajio yako ndio utaona kua hawapo sawa?
Nijuavyo mimi,Mahakamani kabla ya kusomwa hukumu,husomwa maelezo ya mwenendo wa kesi na vifungu vya sheria vilivyosababisha hukumu hiyo kutolewa.
Umeandika kwa uchungu sana kuhusu mustakabari wa haki katika nchi husika.Ndugu Rostam Aziz ALIKOSEA...
Na kwa sababu ALIKOSEA na kutambua KOSA lake ,haraka akaomba RADHI....
Kama ilivyo MIHIMILI yote....ndani yake kuna binadamu....yako makosa ya baadhi yao lakini kamwe haifanyi MIHIMILI hiyo kustahili kushambuliwa kwani ni MISHIPA YA DAMU ya taifa.....
Watanzania tunakimbilia mahakamani kutafuta HAKI ZETU na huwa tunazipata....
Mahakamani ni sehemu ya MWISHO ya kutafsiri sheria zetu....hapawezi kuwa sehemu inayostahili kurushiwa mawe hovyo......
#Mwenyezi Mungu Aendelee Kulilinda Dola La Tanzania na Mihimili yake
Zomba Zomba Zomba!Wewe kama nani wa kuiamuru mahakama?
Hivi nyie mnamfaham Rostam au mnamsikia na kumuona tu kwenye vyombo vya habari?
Nikudokeze kidogo?mFikiri kabla hujajibu. Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Asante sana kwa uzalendo. Nyie ndio hazina iliyobaki.[emoji120][emoji120]
Ndugu yangu sina taifa jengine isipokuwa nyumbani kwetu Tanzania...
Ndugu yangu sioni taifa jengine bora duniani isipokuwa taifa langu Tanzania.....
Sioni PEMA pa kukimbilia isipokuwa nyumbani hapa....
Taifa letu ni la mfano na la kipekee....hatufanani na wengi watuzungukao.....
Mapungufu ya baadhi yetu watanzania ni ya kibinadamu na tuna haki na ulazima wa kuyarekebisha kuwa bora lakini sababu hizo si za kufanya TULICHUKIE TAIFA LETU ,TUCHUKIANE NA KUSAHAU MAZURI YAKE NA YA WATU WAKE [emoji120]
Hapo wamecapitalise, otherwise ungesikia katumwa waziri wa kilimo au PMSherehe za 8/8 ziko ndani ya ALMANAC toka januari mosi....je akina Mwambukusi nao walipangiwa kusikiliza hiyo kesi januari mosi ?!![emoji15]
ndiyo maana halisi ya kauli ya Rostam kuwa simu moja tu matakwa ya mpiga simu yanafuatwaTenda kosa la jinai na wewe upate msamaha kabla ya kuhukumiwa.
Nakuelewa sanaHapo wamecapitalise, otherwise ungesikia katumwa waziri wa kilimo au PM
Siku mbona zipo siku zote, hazijaanza leo na hazotaisha leo, zitaendelea kuja na kuondoka, wewe na mimi tutaondoka tutaziacha.Zomba Zomba Zomba!
Jifunze kusoma mstari kwa mstari na kumuelewa mwandishi usikurupuke.
Pia usiendeshwe na mihemuko na hisia kama kijana akiwa ame balehe au kuvunja ungo. Huyo mume wenu na bwana wenu Rostam yeye ni kama punje ya mchanga katika Taifa hili. Amini usiamini siku inakuja na wakati umekaribia.
Nakukumbusha tu soma alama za nyakati, hao miungu watu mnaowategemea anguko lao limekaribia.
Acha kukurupuka kama umepaliwa na gongo, kama hujaelewa pita kimya kimya kama unaaga maitiKuandika tu hujui.."tayali"....
Utajua kufikiri vyema ?!![emoji15][emoji1787][emoji1787]
Kusogezwa mbele kesi kunaingiliaje maamuzi ya kesi ?!!!
Je ASILAUMIWE aliyepanga kusikilizwa hiyo kesi kipindi cha sherehe za 8/8 bali ilaumiwe KALENDA ya matukio ya kitaifa ambayo ilianza JANUARI MOSI ?!!!