jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Jmunsh1,
Mkuu ebu nambie wewe ulitaka Kikwete afanye nini na mafisadi?.. sikumbuki kama kuna mtu hata mmoja aliyetaka watu hawa wasifikishwe ktk sheria ila Kikwete afanye kitu tofauti!.. sikumbuki hata kuona maandishi yako wewe mwenyewe ukipnga watu hawa kufikishwa mahakamani..
Sasa tukirudi kwangu mimi issue nzima ya support kuhusiana na Kikwete, ni kukomesha Ufisadi na kitu gani anachotakiwa kufanya kama rais...Amekifanya na ndipo nilipompa support pamoja na kwamba ni sehemu ndogo sana ya zoezi zima.. lakini kulingana na record ya nchi yetu hakuna kionmgozi ambaye amewahi kufanya alofanya Kikwete - Kuwapeleka mawaziri na viongozi wa ngazi za juu ktk sheria...
Sasa upande wa sheria nilitegemea hawa watu wangeoza jela, mali zao kutaififishwa..
Ni katika hatua ya kurudisha utawala bora lazima kuwepo na mwanzo lakini pia ni lazima tuwe makini na zoezi zima tukizingatia watu na mazingira yetu ambayo hujenga hulka au tamaduni..
Bado nitamsifia Kikwete pamoja na kwamba sii kazi yake inapofikia maamuzi ya sheria.. as a fact ndio mapenzi ya raia wengi kuwa na rais anayefuata sheria wakati mimi nataka sana Kikwete awe Dikteta kuweza kukomesha kabisa MAFISADI... why?.. sababu ni ile ile - WATU na MAZINGIRA huwezi kufanikiwa kwa wadanganyia ambao walipuuza kuwa adui yetu mkubwa ni - UJINGA na UMASKINI .
Mkandara tulisema ni usanii toka awali kwani wale samaki wadogo ambao wangewakosti samaki wakubwa zaidi either wamepotea ama kutoweka.
Kina Mramba is NOTHING...Mkapa is SOMETHING...Unaweza kuona wanazunguka mbuyu kwasababu walibanwa sana na ndio maana wanakimbilia uchina...Uchina nao wanawapa kiduchu maana uchina wenyewe walishauwa mafisadi walioiba pesa ambazo hata hazifikii hizo za mafisadi wetu.
Tuliposema ni changa la macho toka awali hatukukusea...Ndio pointi yangu ilipo.
Sasa chini ya serikali ya JK passport iliyokwisha muda imemtowa mtuhumiwa wa mabilioni lupango...Only in TZ....Only under JK....Trully only under JK' law.