Kesi ya Mahalu: Nani kilaza hapa?

Diplomatic immunity ingeapply kama angekuwa anashitakiwa na Italy, hapa naona tunapigwa changa la macho!
 
LOL! what a joke. Now they are just throwing out any garbage hoping something will stick.
 
nahisi jamaa yupo mbioni kukimbia nje ya nchi ili akapate hiyo Diplomatic immunity, mambo ya Tanzania ni ya ajabu kwelikweli, hiyo kesi ya jamaa hipo wazi kabisa na ushahidi wote upo sasa kwa nini sijuhi hukumu haitolewi?
 
- Haya ni masuala ya sheria sio siasa za ufisadi, mnaojua sheria zaidi hebu tuambieni sheria inasema nini maana hapo juu ninachokiona ni sheria at work na sio majungu? Hii kesi itaishia kuwa yale yale ya kukurupuka na siasa kumbe ni cheap popularity sheria wala haiko karibu!

Respect.

FMEs!
 
Kuhusu technicalities ni kweli wanasheria wetu wanatumia kama kichaka cha kujificha ili issue ya msingi isiongelewe. Kuhusu kesi ya Dito sio tu kwamba Mungu alimchukua ila aliichukua na kesi yenyewe ambayo hukumu yake ilikuwa ni kifo baada ya kuona wanadamu wanapindisha ukweli.

Mahakama ndio ilitakiwa iseme kama ni murder case au manslaughter na sio polisi!
 
Hata tukatae au tukubali, lakini vyombo vya habari vya ThisDay na Kulikoni vimesaidia sana kuibua ufisadi ndani na nje ya nchi.

Tatizo ni namna ambavyo serikali inavyoshughulikia hizi kesi. Hawa Advocates (private) wana ujanja sana, kama kesi has a lucrative pay, hawalali!!!! ni kupekua vitabu kutafuta technical failures tu. Sasa je hawa wetu wa serikali wana muda wa kukaa na kupitia vifungu vyote muhimu ili wawe competent kubishana kisheria??

Kuna kesi moja nilihudhuria for interest tu, yaani wanasheria wa serikali waligaragazwa kama kibaka, hadi unaona kabisa anataka kutamka tu nimeshindwa mzee. Nilishangaa sana , their competence!!!. Kesi nyingi za msingi hawataziweza, zitawashinda.

Wajiandae tu kuja kujibu za fidia.
 
Mkimsoma "Hidaya" katika Raia Mwema mutaelewa maana yake nini. Kwa faida ya JF na kwa hisani ya Raia Mwema, nawawekea Hidaya hapa chini baada ya maelezo yangu.

Ila kuhusu kibali cha DPP kilitolewa na ndiye aliyeandaa mashitaka yaliyowasilishwa Kisutu. LAkini jambo la msingi ni kwamba, hivi kwanini kama anajiamini hajatenda kosa akimbie usikilizwaji wa kesi na sasa atake kuzuia isisikilizwe? Siku zote alikuwa wapi?


 
Diplomatic immunity ingeapply kama angekuwa anashitakiwa na Italy, hapa naona tunapigwa changa la macho!


Kuna Barozi wa Poland Nchini Marekani aligonga mtu na kuua akiwa amelewa, Marekani ilichofanya ni kuondoa hiyo immunity mara moja na kusweka Lupango, bado yuko jela toka 1999.
 
Hawa wanataka kuendelea kuivuta hii case sijui mpaka lini?

 
Hakika mimi mpaka sasa najiuliza kwanini kesi hii isimamiwe na PCCB? kwani kesi hii ni ya rushwa?

Nikisoma vizuri naona kesi hii inaangukia kwenye KUGHUSHI.

Sasa iweje ichukuliwe kama ya rushwa.

Labda wanasharia mnifafanulie hapo.

Dr Hamza (Barubaru)
 
suala ni kwamba kama mahakama itamtia hatiani hizo kelele zitabakia za chura tuuu..

ni kweli viongozi wengi serikalini wamechafuka na rushwaa ila bado kutiwa hatiani na huwezi kulazimisha nao wakamatwe kisa wewe umefunguliwa kesiii!!!! tehe tehe tehe..

na kwa sasa wajijue hawako pamoja kiasi hicho kwani wanaviziana tuu ni masuala ya muda.

naingojea kesi ya RICHMOND 2016....new people in power looking for their enemies in attaining power and creating popularity for next election...
 
Akina Balozi Mahalu kuanza kutoa utetezi Februari 24

Saturday, 29 January 2011
Tausi Ally

BALOZI wa zamani wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Ricky Mahalu na aliyekuwa Ofisa utawala wa ubalozi huo, Grace Martin, Februari 24, mwaka huu wataanza kutoa utetezi wao dhidi ya kesi ya uhujumu uchumi na kusababishia hasara serikali ya zaidi ya Sh2 bilioni inayowakabili.

Hayo yalisemwa jana na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam, Ilvin Mgeta, wakati kesi hiyo ilipotajwa.

Kabla ya hakimu Mgeta kusema hayo, Wakili wa Serikali, Zuber Mkakatu, alidai kuwa kesi ilikuja kwa ajili ya kutajwa na kuomba mahakama kupanga tarehe ya kuanza kusikilizwa kwa ushahidi wa upande wa utetezi.

Hakimu Mgeta alikubaliana na ombi hilo na kuahirisha kesi hiyo hadi Februari 24, mwaka huu itakapokuja kwa ajili ya washtakiwa kuanza kujitetea dhidi ya mashtaka yanayowakabili.

Katika kesi hiyo, tayari upande wa mashtaka umefunga ushahidi baada ya mashahidi wao saba kumaliza kutoa ushahidi.

Mahalu na Martin wanadaiwa kuwa, Septemba 23, 2002 katika ubalozi wa Tanzania jijini Roma, wakiwa waajiriwa wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, walisababishia hasara serikali ya Euro 2,065,827.60.

Washtakiwa hao wanadaiwa kusaini vocha yenye namba D2/9/23/9/02 ikionyesha kuwa, bei ya ununuzi wa jengo la ubalozi ni Euro 3,098,741.58 maelezo ambayo yalikuwa ni ya uongo na yenye nia ya kumdanganya mwajiri wao.

Pia, washtakiwa hao wanadaiwa kuwa, Oktoba Mosi, 2002 walitumia hati ya malipo ya Euro 3,098,741.58 wakionyesha kuwa, muuzaji wa jengo hilo alipokea fedha hizo huku wakijua ni uongo.
 
Tatizo la kesi hii ni.....................selective justice.........................wako wapi katibu mkuu Bw. Philemon Luhanjo na Waziri wa Mambao ya nje JK kuwepo kwenye hii kesi.....................kwa sababu ulaji huu ulipojitokeza wakati wao ndiyo viongozi pale........................sasa iwaje wao wakae kando huku ndiyo walikuwa wahimili wa mwisho katika wizara tajwa?
 

kesi hii ni magumashi tupu hakuna la maana pale
 
Check ur facts..huyo wala hakuwepo
 

You are thinking like a layman! Umeambiwa akina Mahalu walisaini Vocha na kuisababishia hasara serikali, sasa hapa Luhanjo na JK wanaingiaje hapa? Kama wanawajibika ni kisiasa (which is discretionary) na kamwe si kisheria!
 
This is just one of those very embarassing aspects about Tanzania's legal system. It is a shame. Theft occured in 2002 and nine years later the case is still in our courts. There might be some reasons, but the most important ones might include corruption (most likely), negligence of all those involved in the case-prosecutors and magistrates, intefrence from higher authorities.

Mind you, this is not the only case which is going at a snail's pace. The Mramba and co., the Patels of EPA, other EPA cases, etc. If I compare what is happening in Tanznaia's legal system with what is happening elsewhere in the world, I tend to believe that maybe there is no need for a legal system in our country as it serves to punish the down-trodden.
 
By JULIUS BWAHAMA,
5th May 2011

THE defence in a corruption case against former Tanzanian ambassador to Italy Prof Costa Ricky Mahalu and counsellor Grace Martin has sent a letter to President Jakaya Kikwete requesting him to appear before the Kisutu Resident Magistrate's court as a witness.

The accused are charged with causing the government of Tanzania a loss of 2m Euros during the purchase of an embassy building in Italy.

Defence lawyer Mr Mabere Marando told the 'Daily News' that he had sent a letter on May 2 this year to ask the President to appear as a witness.

He said according to the Presidential Affairs Act, if one wishes to have the president appear in court as a witness he or she does so through the Chief Secretary to the cabinet and if the president finds it impossible to appear he can submit an affidavit.

Mr Marando said after submitting in court the affidavit, the advocate can ask the magistrate to use it as evidence and in case the prosecution objects then the advocate can ask the witness to appear physically.

"In case the prosecution objects the use of the affidavit as evidence then I will have to ask the witness to appear physically," Marando told the 'Daily News' on Thursday.

The advocate added that there would be a total of ten witnesses in Mahalu's defence among them former president Mr Benjamin Mkapa, the current President, Mr Jakaya Kikwete, former Finance Minister Mr Basil Mramba and Mahalu himself.

Meanwhile, Mr Marando on Tuesday submitted an affidavit of former president Benjamin Mkapa at the court.

The affidavit was submitted in reply to a letter which was requesting Mr Mkapa to appear as a witness for the defence.

In the affidavit Mr Mkapa made an oath and stated among other things that the embassy building in Rome was purchased during his term as executive president of the United Republic of Tanzania.

He states that through the process of government machinery, he was made aware of the fact that the government's valuation reports for the building identified for purchase by government was established by the Ministry of Works at USD 3.0m and Ministry for Lands and Urban Development at Euro 5.5m.

Mr Mkapa states that through the process of government machinery, he was made aware of the fact that the embassy building was purchased at USD 3m then equivalent to Euros 3,098,741.40.

He also states that through the process of government machinery, he was made aware of the fact that the Ambassador of Tanzania in Rome was given full authority to oversee and execute the process which led to the purchase of the embassy building through a government's power of attorney and that he inaugurated the building in Rome on February 23, 2003.

Lastly he states that for the entire period he has worked with the ambassador in his various capacities in government service, Mahalu depicted a strong character of sincerity, honesty, obedience and worked hard, qualities which led to his being awarded with one of the Highest National Honours by the President of the Republic of Italy on an Italian National Commemoration Day, long after he had left the country.

The case will resume on May 31 this year when the defence witnesses will begin to testify.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…