Kesi ya Masheikh yaitwa Mahakama Kuu

Kesi ya Masheikh yaitwa Mahakama Kuu

Inasemekana wanataka kushinikiza hukumu ifanyike kisha wamwambie mama awasamehe!

Hivi raisi anaruhusiwa kusamehe makosa ya aina zote ? Au ni kwa baadhi tu?.
 
Walio magerezani ambao hukumu hazijafanyika ni wengi sana,
Kwanini msiongelee hii iwe hoja ya jumla kuhusisha na watu wengine?
Kwanini mnaongelea hao mashekhe tu?
Je wengine wao hawastahili hukumu?

Huenda kuna viashiria na harufu ya udini kwenye hili.

Namshauri mama awe makini zaidi.
 
Wale wa kibiti wa "hapa chuma tu" walikuwa wanahubiri kilimo Cha mbaazi?
Wale wa kibiti walikuwa wahuni wachache waliovimbirwa marage, kilichowapata nenda kibiti kawaulize watakuadisia, walikuwa hawajavuka levo za ugaidi ,
 
Hawa ni MAGAIDI

kwasababu:-

•Waliwamwagia Watalii tindikali huko Zenji

•Waliuwa Watalii watatu Mombasa

•Walimmwagia Padri tindikali kule Zanzibar

•Wanataka kusimamisha dola inayopingana na BAKWATA na BALUKTA, Dola ya kiislam chinja chinja itakayoua makafiri endapo hawatasilimu, dola itakayoleta Mahakama ya kadhi

•Walipishana mpaka na Waislam wenzao

•Wanajifanya wanapigana jihad kumbe Jihad Ugoro, jihad ya sasa ni ya Nafsi tu

Wasiachiwe Hawa ni hatari kwa Amani ya nchi yetu.

Amani ikipotea sio kazi rahisi kuirudisha, wasianzishe vikundi vya kigaidi kama huko Malawi, Somalia n.k

Magaidi Matupu.
Una ushahidi wowote ndugu?
Je ulikuwepo walipomwagiwa?
 
Mbona hii kesi sasahivi inaenda mbiombio sana..!!!
 
Tuienzi na kuitunza amani ya Taifa letu.

Tusiruhusu viashiria vyovyote vya machafuko.
 
Hawa ni MAGAIDI

kwasababu:-

•Waliwamwagia Watalii tindikali huko Zenji

•Waliuwa Watalii watatu Mombasa

•Walimmwagia Padri tindikali kule Zanzibar

•Wanataka kusimamisha dola inayopingana na BAKWATA na BALUKTA, Dola ya kiislam chinja chinja itakayoua makafiri endapo hawatasilimu, dola itakayoleta Mahakama ya kadhi

•Walipishana mpaka na Waislam wenzao

•Wanajifanya wanapigana jihad kumbe Jihad Ugoro, jihad ya sasa ni ya Nafsi tu

Wasiachiwe Hawa ni hatari kwa Amani ya nchi yetu.

Amani ikipotea sio kazi rahisi kuirudisha, wasianzishe vikundi vya kigaidi kama huko Malawi, Somalia n.k

Magaidi Matupu.
Unaroho ngumu mkuu, Mungu angekuwa hasamehi nani angesima mbele ya haki.
 
Eeeeeeeh wewe, adabu za wapi hizo?! Mama yake ameingia vipi hapa katika majadiliano yenu?!

Hebu muwe na mipaka ya adabu na heshima. Heshimu wazazi, heshima ni kitu muhimu sana.
mzazi ni kwako ila kwangu ni hawara tu.
 
We inaonekana ni mjane
Walioachwa wajane ni Bi Khadija, Aisha na wengine 7 wake wa Mtume Mwamedi (S.A.W)
images%20-%202021-04-22T203535.891.jpg
 
Bismillahir Rahmanir Rahiim

SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH WAITWA MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA

Habari njema. Baada ya Jamhuri kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu wa kuyafuta mashitaka 14, kati ya 25, na kufanya kesi dhidi ya Masheikh ibaki na mashitaka 11, Mahakama ya Rufani leo tarehe 30. 04. 20021, imewasilisha hati ya wito kwa Mawakili wanaowatetea Masheikh.

Kwa mujibu wa hati hiyo ya wito Mahakama ya Rufani imepanga kuisikiza rufaa hiyo tarehe 07. 05. 2021, siku ya Ijumaa saa 3, asubuhi mbele ya Majaji wa Rufaa watatu.

Hatua hii ya haraka ya Mahakama inaashiria kuwepo kwa dhamira ya mapinduzi katika utendaji wa Mahakama Tanzania na tunaimani mwendo huo utakuwa endelevu.

Shura ya Maimamu Tanzania tunawaomba wananchi kuwa karibu na kesi hizi za ugaidi zilizofunguliwa na serikali dhidi ya Waislamu takriban nchi nzima.

Ust. Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji wa Shura.
0713118812

Afadhali aise, Mungu asaidie watoke huko
 
Bismillahir Rahmanir Rahiim

SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH WAITWA MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA

Habari njema. Baada ya Jamhuri kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu wa kuyafuta mashitaka 14, kati ya 25, na kufanya kesi dhidi ya Masheikh ibaki na mashitaka 11, Mahakama ya Rufani leo tarehe 30. 04. 20021, imewasilisha hati ya wito kwa Mawakili wanaowatetea Masheikh.

Kwa mujibu wa hati hiyo ya wito Mahakama ya Rufani imepanga kuisikiza rufaa hiyo tarehe 07. 05. 2021, siku ya Ijumaa saa 3, asubuhi mbele ya Majaji wa Rufaa watatu.

Hatua hii ya haraka ya Mahakama inaashiria kuwepo kwa dhamira ya mapinduzi katika utendaji wa Mahakama Tanzania na tunaimani mwendo huo utakuwa endelevu.

Shura ya Maimamu Tanzania tunawaomba wananchi kuwa karibu na kesi hizi za ugaidi zilizofunguliwa na serikali dhidi ya Waislamu takriban nchi nzima.

Ust. Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji wa Shura.
0713118812
Nyie endeleeni kutaka damu za watu huko Msumbiji na sisi tutaamua kujilinda wenyewe, sheikh gani anafundisha watu kuchinja?
 
Hawa ni MAGAIDI

kwasababu:-

•Waliwamwagia Watalii tindikali huko Zenji

•Waliuwa Watalii watatu Mombasa

•Walimmwagia Padri tindikali kule Zanzibar

•Wanataka kusimamisha dola inayopingana na BAKWATA na BALUKTA, Dola ya kiislam chinja chinja itakayoua makafiri endapo hawatasilimu, dola itakayoleta Mahakama ya kadhi

•Walipishana mpaka na Waislam wenzao

•Wanajifanya wanapigana jihad kumbe Jihad Ugoro, jihad ya sasa ni ya Nafsi tu

Wasiachiwe Hawa ni hatari kwa Amani ya nchi yetu.

Amani ikipotea sio kazi rahisi kuirudisha, wasianzishe vikundi vya kigaidi kama huko Malawi, Somalia n.k

Magaidi Matupu.
una pumuliwa.
 
Back
Top Bottom