Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Warudi tu lakini mkiendelea na ugaidi wenu mtakionasi uende mahakamani ukatoe ushahidi
shipa limekutoka kwelikweli
soon mashekh wetu tutawapokea mtaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warudi tu lakini mkiendelea na ugaidi wenu mtakionasi uende mahakamani ukatoe ushahidi
shipa limekutoka kwelikweli
soon mashekh wetu tutawapokea mtaani
Walihoji nini katika muungano? Hebu nitajie tu nakusubiriugaidi upi?
kuhoji muungano nao ni ugaidi?
Wale wa kibiti walikuwa wahuni wachache waliovimbirwa marage, kilichowapata nenda kibiti kawaulize watakuadisia, walikuwa hawajavuka levo za ugaidi ,Wale wa kibiti wa "hapa chuma tu" walikuwa wanahubiri kilimo Cha mbaazi?
Una ushahidi wowote ndugu?Hawa ni MAGAIDI
kwasababu:-
•Waliwamwagia Watalii tindikali huko Zenji
•Waliuwa Watalii watatu Mombasa
•Walimmwagia Padri tindikali kule Zanzibar
•Wanataka kusimamisha dola inayopingana na BAKWATA na BALUKTA, Dola ya kiislam chinja chinja itakayoua makafiri endapo hawatasilimu, dola itakayoleta Mahakama ya kadhi
•Walipishana mpaka na Waislam wenzao
•Wanajifanya wanapigana jihad kumbe Jihad Ugoro, jihad ya sasa ni ya Nafsi tu
Wasiachiwe Hawa ni hatari kwa Amani ya nchi yetu.
Amani ikipotea sio kazi rahisi kuirudisha, wasianzishe vikundi vya kigaidi kama huko Malawi, Somalia n.k
Magaidi Matupu.
Unaroho ngumu mkuu, Mungu angekuwa hasamehi nani angesima mbele ya haki.Hawa ni MAGAIDI
kwasababu:-
•Waliwamwagia Watalii tindikali huko Zenji
•Waliuwa Watalii watatu Mombasa
•Walimmwagia Padri tindikali kule Zanzibar
•Wanataka kusimamisha dola inayopingana na BAKWATA na BALUKTA, Dola ya kiislam chinja chinja itakayoua makafiri endapo hawatasilimu, dola itakayoleta Mahakama ya kadhi
•Walipishana mpaka na Waislam wenzao
•Wanajifanya wanapigana jihad kumbe Jihad Ugoro, jihad ya sasa ni ya Nafsi tu
Wasiachiwe Hawa ni hatari kwa Amani ya nchi yetu.
Amani ikipotea sio kazi rahisi kuirudisha, wasianzishe vikundi vya kigaidi kama huko Malawi, Somalia n.k
Magaidi Matupu.
mzazi ni kwako ila kwangu ni hawara tu.Eeeeeeeh wewe, adabu za wapi hizo?! Mama yake ameingia vipi hapa katika majadiliano yenu?!
Hebu muwe na mipaka ya adabu na heshima. Heshimu wazazi, heshima ni kitu muhimu sana.
Walioachwa wajane ni Bi Khadija, Aisha na wengine 7 wake wa Mtume Mwamedi (S.A.W)We inaonekana ni mjane
Bismillahir Rahmanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH WAITWA MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA
Habari njema. Baada ya Jamhuri kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu wa kuyafuta mashitaka 14, kati ya 25, na kufanya kesi dhidi ya Masheikh ibaki na mashitaka 11, Mahakama ya Rufani leo tarehe 30. 04. 20021, imewasilisha hati ya wito kwa Mawakili wanaowatetea Masheikh.
Kwa mujibu wa hati hiyo ya wito Mahakama ya Rufani imepanga kuisikiza rufaa hiyo tarehe 07. 05. 2021, siku ya Ijumaa saa 3, asubuhi mbele ya Majaji wa Rufaa watatu.
Hatua hii ya haraka ya Mahakama inaashiria kuwepo kwa dhamira ya mapinduzi katika utendaji wa Mahakama Tanzania na tunaimani mwendo huo utakuwa endelevu.
Shura ya Maimamu Tanzania tunawaomba wananchi kuwa karibu na kesi hizi za ugaidi zilizofunguliwa na serikali dhidi ya Waislamu takriban nchi nzima.
Ust. Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji wa Shura.
0713118812
Hawa ni magaidi wasitolewe huko kabisa! Ni watu hatari kwa muungano!.Hakuna Rais yupo tayari Tanzania imfie mikononi MWAKE! Hao kutoka huko sio Leo wala kesho!
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Walioachwa wajane ni Bi Khadija, Aisha na wengine 7 wake wa Mtume Mwamedi (S.A.W)
View attachment 1770209
Bi khadija (r.a) hakuwahi kuachwa mjane...Walioachwa wajane ni Bi Khadija, Aisha na wengine 7 wake wa Mtume Mwamedi (S.A.W)
View attachment 1770209
WMefanya makosa.mkubwa mno
Nyie endeleeni kutaka damu za watu huko Msumbiji na sisi tutaamua kujilinda wenyewe, sheikh gani anafundisha watu kuchinja?Bismillahir Rahmanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH WAITWA MAHAKAMA YA RUFAA TANZANIA
Habari njema. Baada ya Jamhuri kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu wa kuyafuta mashitaka 14, kati ya 25, na kufanya kesi dhidi ya Masheikh ibaki na mashitaka 11, Mahakama ya Rufani leo tarehe 30. 04. 20021, imewasilisha hati ya wito kwa Mawakili wanaowatetea Masheikh.
Kwa mujibu wa hati hiyo ya wito Mahakama ya Rufani imepanga kuisikiza rufaa hiyo tarehe 07. 05. 2021, siku ya Ijumaa saa 3, asubuhi mbele ya Majaji wa Rufaa watatu.
Hatua hii ya haraka ya Mahakama inaashiria kuwepo kwa dhamira ya mapinduzi katika utendaji wa Mahakama Tanzania na tunaimani mwendo huo utakuwa endelevu.
Shura ya Maimamu Tanzania tunawaomba wananchi kuwa karibu na kesi hizi za ugaidi zilizofunguliwa na serikali dhidi ya Waislamu takriban nchi nzima.
Ust. Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji wa Shura.
0713118812
una pumuliwa.Hawa ni MAGAIDI
kwasababu:-
•Waliwamwagia Watalii tindikali huko Zenji
•Waliuwa Watalii watatu Mombasa
•Walimmwagia Padri tindikali kule Zanzibar
•Wanataka kusimamisha dola inayopingana na BAKWATA na BALUKTA, Dola ya kiislam chinja chinja itakayoua makafiri endapo hawatasilimu, dola itakayoleta Mahakama ya kadhi
•Walipishana mpaka na Waislam wenzao
•Wanajifanya wanapigana jihad kumbe Jihad Ugoro, jihad ya sasa ni ya Nafsi tu
Wasiachiwe Hawa ni hatari kwa Amani ya nchi yetu.
Amani ikipotea sio kazi rahisi kuirudisha, wasianzishe vikundi vya kigaidi kama huko Malawi, Somalia n.k
Magaidi Matupu.