The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Sasa serikali inatakiwa ilete ushahidiKama ni wao waliotekeleza hayo mambo hawastahili kutoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa serikali inatakiwa ilete ushahidiKama ni wao waliotekeleza hayo mambo hawastahili kutoka.
Walioachwa wajane ni Bi Khadija, Aisha na wengine 7 wake wa Mtume Mwamedi (S.A.W)
View attachment 1770209
Mbona Gwajima alitukana waisilamu na nyumba zao za ibada,alichukuliwa hatua gani
Hawa ni MAGAIDI
kwasababu:-
•Waliwamwagia Watalii tindikali huko Zenji
•Waliuwa Watalii watatu Mombasa
•Walimmwagia Padri tindikali kule Zanzibar
•Wanataka kusimamisha dola inayopingana na BAKWATA na BALUKTA, Dola ya kiislam chinja chinja itakayoua makafiri endapo hawatasilimu, dola itakayoleta Mahakama ya kadhi
•Walipishana mpaka na Waislam wenzao
• Walichoma Kanisa
• Walitrain vijana kujifunza karate, kutumia jambia na bunduki katika kufanya ugaidi na mfano mzuri ni RASHIDI CHARLES MBERESERO, ambaye naye alishtakiwa huko Kenya na akajiua hivi majuzi.
•Wanajifanya wanapigana jihad kumbe Jihad Ugoro, jihad ya sasa ni ya Nafsi tu
Wasiachiwe Hawa ni hatari kwa Amani ya nchi yetu.
Amani ikipotea sio kazi rahisi kuirudisha, wasianzishe vikundi vya kigaidi kama huko Msumbiji, Somalia, Kenya n.k
Magaidi Matupu.
Wewe unayejua ungeandika maana yake, vinginevyo umeleta tu upambe na ukudaMzee unajua Nini maana ya ugaid? Au apo ndo mwisho wako wa kufikiri? Asilimia 70% ya Wa Tanzania watakufa na akili bikra akili zilizokuwa hzijatumika! Jarib kutumia akili vzr halaf uje u comment tena
Wewe unayejua ungeandika maana yake, vinginevyo umeleta tu upambe na ukuda
Ujue haya mambo ya masheikh wengi hatujui makosa yao, sasa kama sio hayo kwanini usimwage ukweli tupate elimu....
Hujui chochote unarukaruka tu. Kama umegundua Mimi sijui wewe unayejua si unijuze?Ninachokushaur jarib kuchimba ujue nn maana ya ugaid halaf uje tena hapa naona bado upo na matope kichwan
Kupigwa risasi mapadri,kuchoma makanisa na kumwagiwa watu tindikali yale matukio mbona yalisizi baada ya masheikh kukamatwa?
Huyo jamaa ni Mdini sana we mpuuze tu.ungekuwa na akili usingeweka hii maana haihusiani na mada
Kwahiyo J.M.Kikwete na A.M.Shein waliowakamata Hawa Masheikh hawakuwa wanaujua Uislam?
You guy dont know ndia maana walifungwa na waislam
Nyie endeleeni kutaka damu za watu huko Msumbiji na sisi tutaamua kujilinda wenyewe, sheikh gani anafundisha watu kuchinja?
Watoke tu washajifunzaMatumaini yashaonekana kuwa watatoka. Allah kareem
Watoke tu washajifunza