digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mama Hana shida na wateule wa JPM,tusimvishe tuhuma za bure,Ila tambua utawala wa sheria Ni muhimu Sana,natamani wale viongizi waliokuwa wanajichukulia mamlaka ya kucharaza raia bakora wachukuliwe hatua pia,huo ndo utawala wa sheria.Huyu Mama Samia ndo anawatuma kufungua kesi dhidi ya waliokuwa wateule wa JPM nini? Mbona sielewi elewi?
Nafikiri ni zaidi ya hayawani.Wewe nyundo2017 ni mke wa Makonda? Kwani wewe ni mgeni na uovu wa huyu hayawani?
Kumbe kuna watu mliwafahamu wakiwa hawajabalehe!, jee wakija watu wakakutajia watu walikozaliwa, walizaliwa wapi, waliingia nchini mwaka gani, walipoingia walifikia wapi?, na walitumia majina gani kabla!.Mkuu, kwa sie tuliomfahamu akiwa hajabalehe, maneno yako si sahihi. Alikuwa ni Nsukuma Getegete na alipambania usukuma tangu awali. Naomba niishie hapo.
Vipi kuhusu kesi ya Mbowe mkuu,Naamini utakuwa umesikiliza mashahidi wote ingawa ata bila kuwasikia lazima ungeweza tu kutoa maoni yakoHii inaitwa sensationalism, na imesababishwa na gazeti la Raia Mwema kudanganya watu kuna kesi. Ukweli ni kuwa, hakuna kesi yoyote, iliyofunguliwa mahakama yoyote, kumhusu Paul Makonda!.
Kilichopo ni Kubenea anaomba kibali cha mahakama, imruhusu kufungua kesi ya jinai ya Makonda dhidi ya uvamizi wa Clouds media.
Nasema hakuna kesi yoyote hapo kwasababu kuathirika na uvamizi huo, Clouds hajalalamika popote, hivyo who is Kubenea?. What has uvamizi wa Makonda Clouds Media got to do with Kubenea?. Hili ombi la Kubenea, limekosa kitu cha kisheria kinachoitwa "locus stand".
Kubenea angeonekana wa maana, na wengi wangemuunga mkono kama angeomba kuendesha kesi ya shambulio la Lissu.
Hapa kwa Makonda, Kube is just wasting his time, money and resources, ila kwa vile lengo lake halisi la sio kumshitaki Makonda, bali ni attention seeking, hii ataipata.
P
Naogopa kutoa ushuhuda hapa maana hata katekista ambaye alikuwa ni baba yake namjua kabla hajafariki. Mkuu huyo mhaya britanicca ni mwongo mkubwa kama alivyodanganya kuhusu Dr Shika. Nakuhakikishia alikuwa nsukuma pure, mengine ngonjera. Tunajuana kabla hajamaliza la Saba ujueKumbe kuna watu mliwafahamu wakiwa hawajabalehe!, jee wakija watu wakakutajia watu walikozaliwa, walizaliwa wapi, waliingia nchini mwaka gani, walipoingia walifikia wapi?, na walitumia majina gani kabla!.
Tafute Mkuu britanicca in box, mwambie akuelezee kuhusu Blaza.
Kuna watu wana info, ila wame zi hold kwasababu hazina maslahi kwa taifa.
PSwali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Wanabodi. Kama kawaida yangu, leo naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Mada ya leo ni swali la kitu kinachoitwa "morality": "Jee ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia?. Na tukija kwenye medani za siasa, kabla ya kuusema ukweli wowote tunaousikia, je ni lazima tuseme...www.jamiiforums.com
Hizo roho za visasi mnazozishobokea zitawatokea puani.Leo tarehe 3/12/2021 inaweza kuwa siku nzuri kwa wapenda haki duniani , baada ya mmoja wa Wasiginaji wa kubwa wa haki hizo kuburuzwa Mahakamani kwa tuhuma kadhaa ikiwemo uvamizi wa kutumia silaha na ulevi wa Madaraka .
Kesi hii iliyofunguliwa na Mbunge wa zamani wa Ubungo Mh Saed Kubenea kwa niaba ya watu wote , inatajwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni .
Bado hatujafahamu kama Mtuhumiwa huyo ataletwa akiwa na Pingu mkononi au la .
Usikae mbali .
View attachment 2031229
=======
Hekima Mwasipu ambaye ni Wakili wa Kubenea amesema kesi hiyo imeondolewa na itawasilishwa tena wiki ijayo baada ya kufanyiwa Marekebisho mazito kwenye maeneo fulani ili kukidhi vigezo vya kisheria .
Kama hauna kosa Mahakama si itakuachia tu mkuu , hofu iko wapi sasa ?Hizo roho za visasi mnazozishobokea zitawatokea puani.
Huyo aliyeko madarakani akitoka ndio atakuwa kiongozi wa kwanza mkuu wa mhimili kunyang'anywa kinga na kushitakiwa pamoja na ninyi washirika. Weka posti hii kwa rejea. Dhuluma haikomeshwi kwa visasi..............kulia na kusaga meno kwaja kwa upesi sana
Unajiharibia bure kutokana na bidii yako iliyotukuka kwa mambo yamsingi kujichomeka kwenye kesi zenye sura ya visasi kwa kudhibiti waouvu walioshindikana huku mkijitanabaisha kutafuta haki dhidi ya matendo ya jinai.Kama hauna kosa Mahakama si itakuachia tu mkuu , hofu iko wapi sasa ?
Kuliko watu wote Duniani et ee?Mwacheni Makonda ale bataaa
Maadam umemjulia shule, inamaana umemjua baada ya kuja Tanzania na kupewa jina la Kitanzania. Kwa heshima yake na mazuri aliyolitendea taifa hili, naomba nisiendelee na hii topic, ila nilishauri for future, ili kuzuia same case scenario isijirudie...Naogopa kutoa ushuhuda hapa maana hata katekista ambaye alikuwa ni baba yake namjua kabla hajafariki. Mkuu huyo mhaya britanicca ni mwongo mkubwa kama alivyodanganya kuhusu Dr Shika. Nakuhakikishia alikuwa nsukuma pure, mengine ngonjera. Tunajuana kabla hajamaliza la Saba ujue
Mbona haijamchia Mbowe ?Kama hauna kosa Mahakama si itakuachia tu mkuu , hofu iko wapi sasa ?
Sisi wengine hatutoi maoni kwa kesi zilizo mahakamani.Vipi kuhusu kesi ya Mbowe mkuu,Naamini utakuwa umesikiliza mashahidi wote ingawa ata bila kuwasikia lazima ungeweza tu kutoa maoni yako
Ndio vizuri maana yuko mahakamani, nenda katoe ushahidi maana wenzio wanaoongea ukhanithi tu mpaka saa hivi.Ni sawa kabisa kama inavyotakiwa gaidi afungwe
Mzee ndoto za uteuzi bado zinakusumbua?Hii inaitwa sensationalism, na imesababishwa na gazeti la Raia Mwema kudanganya watu kuna kesi. Ukweli ni kuwa, hakuna kesi yoyote, iliyofunguliwa mahakama yoyote, kumhusu Paul Makonda!.
Kilichopo ni Kubenea anaomba kibali cha mahakama, imruhusu kufungua kesi ya jinai ya Makonda dhidi ya uvamizi wa Clouds media.
Nasema hakuna kesi yoyote hapo kwasababu kuathirika na uvamizi huo, Clouds hajalalamika popote, hivyo who is Kubenea?. What has uvamizi wa Makonda Clouds Media got to do with Kubenea?. Hili ombi la Kubenea, limekosa kitu cha kisheria kinachoitwa "locus stand".
Kubenea angeonekana wa maana, na wengi wangemuunga mkono kama angeomba kuendesha kesi ya shambulio la Lissu.
Hapa kwa Makonda, Kube is just wasting his time, money and resources, ila kwa vile lengo lake halisi la sio kumshitaki Makonda, bali ni attention seeking, hii ataipata.
P
Spot onKubenea angeonekana wa maana, na wengi wangemuunga mkono kama angeomba kuendesha kesi ya shambulio la Lissu.
Hapa kwa Makonda, Kube is just wasting his time, money and resources, ila kwa vile lengo lake halisi la sio kumshitaki Makonda, bali ni attention seeking, hii ataipata.
P
It's a shame kwa gazeti linaloongozwa na a renowned lawyer, Jenerali Ulimwengu!.Spot on
Raia Mwema nao wapuuzi sana. Wiki mbili mfulululizo wanaandika utumbo tu. Heading kuuuubwa ila content haina la maana. Sijui nini kimewapata hawa watu
Ya Sabaya ni tofauti kidogo na hii. Yeye (Sabaya) kashitakiwa na Jamhuri (serikali). Makonda anashitakiwa na mtu binafsi.Ya sabaya imefanikiwa juzi tu