Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Siku zote marehemu hua ana hatiaNni anatuhakishishia Kanumba alikuwa kalewa jamani!
Halafu mimtu inasema alikuwa na akili za kitoto!
Part gani?Sijui kwa nini hua nahisi kuna part fulani haisemwi
Hata mimi huwa nahisi kuna mtu wa tatu mahali hatajwi.Part gani?
Myb atatajwa mbeleni, ngoja tusubiriHata mimi huwa nahisi kuna mtu wa tatu mahali hatajwi.
presha ilipanda nilivyoskiaElimu nayo nadhani inachangia kujichanganya mara nyingi japo ata mwenye elimu pia anaweza kujichanganya ila mara chache.
Mi namuombea sana kwa MUNGU amuepushe na kifungo, kufungwa jela sio kitu kizuri kumuombea mtu. Naimani MUNGU atamsaidia na atakuja uraini kuendelea kutupa burudani kupitia kazi yake ya sanaa.
Maimartha wa jesse ndio nani?Hivi joanah wewe upo kwenye, namaanisha age ya Lulu au Maimartha wa jesse?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Ni yule mbibi juzi kati akaonesha cheti eti ndio kwanza ana miaka 29, wakati kimwonekano ni age go! 40+ au over 40[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Maimartha wa jesse ndio nani?
Ni yule mbibi juzi kati akaonesha cheti eti ndio kwanza ana miaka 29, wakati kimwonekano ni age go! 40+ au over 40[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
unambakaje mtu ambaye una uhusiano naye kwa muda wa miezi minne then muulize lulu bikra alitolewa na naniHakuna kinacho fichwa hapo, jamaa alikuwa anataka kumcharanga mapanga Lulu, na yeye Lulu kajihami pengine angembaka utatembeaje na watoto wa miaka chini ya 18?
Hii kesi ifutwe sioni kama ina umuhimu......
alikua yuko na ali kiba na kanumba alilijua hilo ndio mana akamuwashia motoMtoto anajipeleka out usiku peke yake!! Jaman,Mie wanaomlaumu kanumba wananishangaza sana.
akitoka hapo trafiki wanamletea pilaIshakuwa traffic case tena.
kesi juu ya kesi.
alikua yuko na ali kiba na kanumba alilijua hilo ndio mana akamuwashia moto
Siijui ila nahis tu maana explanation za huyu binti km zna walakin hv..Part gani?
jamaa walianza kukatafuna na chumviUyo mtoto kwa umri aliokua nao kipindi kile kanumba alikua ana mbaka na kumtumia vibaya kisa kawe kastaa nahisi kuna vitu kali kubali bila ridhaa yake yani hayakua mapenzi baina ya mtu mzima na mtoto marehemu huko aliko kama anaona nadhani anamhurumia lulu, pia mtu akilewa pombe kupepesuka na kuanguka ni kama karatasi vile ok tuiachie mahakama iamue pia MUNGU awe nawe lulu.