Kesi ya Mauaji ya George Sanga na wenzake yafutwa, waachiwa huru na kukamatwa tena

Sielewi hapo wameachiwa huru then wakakamatwa tena kesi ile ile ndo nini hicho?
 
Hiyo tafsiri ya Gaidi utaikuta ofisini kwa Kibatala πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯
Chizi wewe kwani kibatLa ndiyo mtunga sheria? Tatizo lilianzia palepale ulipokuwa mpiga kelele maarufu darasani. Ona sasa unavyoropoka. Hata ukikuta kuku wanajamiana wewe mbio jf?
Hovyo kabisa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…