Kesi ya Mbowe dhidi ya IGP, DPP na Mwanasheria Mkuu wa Serikali yaanza kusikilizwa

Kesi ya Mbowe dhidi ya IGP, DPP na Mwanasheria Mkuu wa Serikali yaanza kusikilizwa

Tumeamua kwenda na dunia inavyo enda.

Hivi kuna balozi wa Tanzania anayeweza kuhudhuria kesi inayo husu mambo ya siasa za ndani za USA ,UK, Sweden nk habari hiyo ikandikwa kwenye karatasi hata ya chooni? Hapa malimbukeni yana furahia na kukanyagana.
Hizo nchi ulizotaja kama hayo mambo ya ndani yana kandamiza uhuru wa vyombo vya habari, haki za kibinadamu mabalozi wapo huru kusikiliza na kufanya maamuzi.
 
Kesi aliyoifungua Freeman Mbowe Mahakama kuu dhidi ya IGP, DPP na AG ya kupinga namna alivyokamatwa Mwanza na kupewa kesi ya uongo ya Ugaidi, imeendelea leo Mahakama Kuu na kuvuta lundo na wawakilishi wa Jumuiya ya Kimataifa, ama labda kuliko kesi yoyote ya namna hii iliyowahi kusikilizwa barani Africa.

Kama kuna aliyedhani haya mambo ni madogo basi anapaswa kufikiria upya.


Mungu ibariki Chadema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mabavicha yamedumaa kiakili!

Yakiona sura za mzungu kama hivyo yanakenua mimeno!

Nakumbuka mlisema Mahela wa NEC atakiona cha moto toka kwa mabeberu!

Mkawa mnasaini vipeperushi kupitia twitter eti ili Magu na NEC wapelekwe ICC

Yule jamaa yenu wa twiter aliewageuka na kuanza kuwaita inateramwe alikuwa anaawaminisha muda wowote drones za USA zinatua hapa nchi kuja kuingoa ccm na Magu[emoji23][emoji23][emoji23]

Hamza ni mtu na nusu, yani amejua kupigania haki yake bila msaada wa takataka yeyote na kafanikiwa kufikisha ujumbe!

Mabavicha yanasema yako milioni 5 ila yanaishia tu kukutana kwenye space ya Maria basi!

Poleni sana mibavicha.
 
... naona Mahakama imejaa "ngozi nyeupe" tupu! Mwamba ni international figure Kusini mwa Jangwa la Sahara kuliko kiongozi mwingine yeyote wa kisiasa kwa nyakati zetu hizi!
Ngozi nyeupe huwa inawazuzua sana bavicha
 
Safi sana Mabalozi.

This is an indication that the world is against CCM.

Ngoja tuone watawafanya nini.

Niwaambie tu, siku CCM ikitoka madarakani, misaada kutoka kwa Nchi Wahisani inaweza kuongezeka kwa asilimia 50 mpaka 100, na hata baadhi ya madeni tunaweza kusamehewa kabisa.

CCM wanaharibu sana hii nchi, na wanaligharimu sana Taifa hili na watu wake kwa kukosa busara,maarifa na hekima za kuongoza hii nchi.
Zambia Rais mpya Alipochaguliw a, bthamani ya pesa yao ikapanda...... Toka USD 1 = Kwacha 22 mpaka USD 1 = Kwacha 15.
 
Balozi mulamula Ni mzaliwa wa mkoani kagera wilaya ya muleba lakini katika maisha ya shule na kazi alichukua uraia wa nchi ya marekani hivyo mkwara wake hauna tija kwa mabalozi ,akiwasumbua wanamvua uraia wa nchi yao na kumpiga burn ya kuingia huko Kama walivyomfanya ALBERT BASHITE.Kama suala la ugaidi wa mbowe hiyo tuhuma Haina msingi kwake Ni upuuzi na matumizi mabovu ya rasimali za nchi kuendesha kesi ya kipumbavu kiasi hicho.mahakama zetu haziko huru kiasi hicho zimekuwa zikilazimishwa kutoa hukumu zenye utata,rejea moja ya kesi ya TUNDU LISSU,jaji alitoa hukumu ambayo ilitia Shaka taaluma yake ya SHERIA.MBOWE HAJAWAHI KUWA GAIDI.
 
Yaani uchizi umewazidi Chadema yaani hao wazungu watatu tu ndiyo unasema wamefika kwa wingi? Mmeishiwa pozi mnategemea wazungu gaidi lazima ale mvua tu
umeona ehh yaani ni machizi haswa, akili kiduchu
 
Sijui Samia na serikali yake wanaona fahari gani kuendelea na kesi za kipuuzi ambazo mwisho wa siku watashindwa kuzidhibitiha na kuangukia pua?

But again, lengo lao sio kushinda kesi bali ni kumkomoa mtu na "kumpa discipline", as far as they are concerned. Samia anapaswa kwenda kupata shule kutoka kwa Presidents smart kama huyu mpya wa Zambia tu hapo
 
Back
Top Bottom