Kesi ya Mbowe: Faraja iliyoje kupokea ugeni Mzito

Kesi ya Mbowe: Faraja iliyoje kupokea ugeni Mzito

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kwamba Laigwanan, Aboubakar Mbowe kapokea ugeni mzito huu mahakamani:

IMG_20211220_173636_769.jpg


Kwa hakika mtenda mema hajifichi.

Tunayo mengi ya kujifunza kutoka kwa mja wake mola huyu.

Eeh mola wetu umpishilie mbali mabalaa yote mtumishi wako huyu.

Hata tutakopoonana naye tena - ndugu yetu huyu katika mapambano, akiwa huru na buheri wa afya.
 
Hii kesi inaichafua Tanzania, Africa na wasomi wote waliopo ndani ya Bara la Africa,Rais aifute kesi hii na aombe msamaha!
Hahahah gaidi analia na wanaolia wapuuzi wasiojua UTAWALA wa sheria
 
Back
Top Bottom