Bukheri wa afyaMwamba yuko Healthy.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bukheri wa afyaMwamba yuko Healthy.
akina KingaiHawa watu waiiomshitaki Mbowe kwa kwa kesi ya ajabu kama hii naomba kuwafahmu ni kina nani na cv zao ninaomba nizijue
Hawa akina Mbowe kweli wako Mahabusu au Hotel? Mbona wanang'aa sanaKwamba Laigwanan, Aboubakar Mbowe kapokea ugeni mzito huu mahakamani:
View attachment 2051515
Kwa hakika mtenda mema hajifichi.
Tunayo mengi ya kujifunza kutoka kwa mja wake mola huyu.
Eeh mola wetu umpishilie mbali mabalaa yote mtumishi wako huyu.
Hata tutakopoonana naye tena - ndugu yetu huyu katika mapambano, akiwa huru na buheri wa afya.
Atakapotoka utageuka kituko kama MusibaMaskini mnajipa moyo na gaidi wenu
USSR
Wapumbavu ni wengi saana hii Dunia. Upumbavu hauna ghalama.
Au waweza kumwita Mtemi Isike
Kwamba Laigwanan, Aboubakar Mbowe kapokea ugeni mzito huu mahakamani:
View attachment 2051515
Kwa hakika mtenda mema hajifichi.
Tunayo mengi ya kujifunza kutoka kwa mja wake mola huyu.
Eeh mola wetu umpishilie mbali mabalaa yote mtumishi wako huyu.
Hata tutakopoonana naye tena - ndugu yetu huyu katika mapambano, akiwa huru na buheri wa afya
Safi sana,Kwamba Laigwanan, Aboubakar Mbowe kapokea ugeni mzito huu mahakamani:
View attachment 2051515
Kwa hakika mtenda mema hajifichi.
Tunayo mengi ya kujifunza kutoka kwa mja wake mola huyu.
Eeh mola wetu umpishilie mbali mabalaa yote mtumishi wako huyu.
Hata tutakopoonana naye tena - ndugu yetu huyu katika mapambano, akiwa huru na buheri wa afya.
Yule mbibi ana roho mbaya zaidi ya mwendazake, mbaya zaidi madaraka yameshamlevya sasa tunamuachia Mungu tuone kama nae atamaliza muda wake
Nchi
Safi sana,
Mimi huwa najiuliza nchi hii ina wazee waliowahi kuwa viongozi wakubwa tu serikalini tangu enzi za Mwalimu,
Butiku,Walioba na wengine,kwanini Hawa wazee hawatoki na kusema ukweli kwamba hii kesi ni mchongo na ni ya kubambikwa?hawa wazee na familia zao,wananufaika sana na nchi hii,ni wansfiki wakubwa,wanaona kabisa madhila yanayofanywa na huu utawala,lakini hawasemi kitu.
Uzuri raise wenu akija kukirir na kuomba radhi nanyi mtahamia hukohukoHahahah gaidi analia na wanaolia wapuuzi wasiojua UTAWALA wa sheria
Hawa akina Mbowe kweli wako Mahabusu au Hotel? Mbona wanang'aa sana
Uzuri raise wenu akija kukirir na kuomba radhi nanyi mtahamia hukohuko
Analia yule rais wa kulazimisha misamaha!Hahahah gaidi analia na wanaolia wapuuzi wasiojua UTAWALA wa sheria
Hii dhambi inayofanywa na ccm kwa watu wanaoishinda kwa hoja ni mbaya sana na laana kwao na familia zao!
Ukatili huu hadi katili shetani mmempita! Mnajua kuna kifo? Mnajua kuna hukumu kwa huu uchafu na ukatili wenu?
Hapo sasa,hakuna kulionea haya gaidi hiloMaskini mnajipa moyo na gaidi wenu
USSR
Hapo sasa,hakuna kulionea haya gaidi hilo
Mwanachadema kindakindaki Sana huyu bwana. Mtu makini sana kuliko maccm 1000Ni nani huyo aliyemtembelea Mwamba? Ufafanuzi tafadhali.