🙏🏾 AMEN HALELUYA
Hahahah gaidi analia na wanaolia wapuuzi wasiojua UTAWALA wa sheriaHii kesi inaichafua Tanzania, Africa na wasomi wote waliopo ndani ya Bara la Africa,Rais aifute kesi hii na aombe msamaha!
Ata Kama Ni wewe ungetabasamu unajua huna hatia, na kukufunga hawatakufungaHii body language ya Mbowe anaonekana kuwa stronger than ever, tabasamu... ile misamaha ya kulazimishana kisiasa hata sioni maana yake.
Maskini mnajipa moyo na gaidi wenu
USSR
Hahahah gaidi analia na wanaolia wapuuzi wasiojua UTAWALA wa sheria
Vidonda vya tumbo vyauma?Maskini mnajipa moyo na gaidi wenu
USSR
Nina uhakika within five days utamfuata Jiwe, làbda ufute upuuzi wako huo. Mungu hamfichi mnafikiMaskini mnajipa moyo na gaidi wenu
USSR
Ni nani huyo aliyemtembelea Mwamba? Ufafanuzi tafadhali.