Kesi ya Mbowe: Hadi sasa sijaona ushahidi wowote unaoonesha kulikuwa na ugaidi

Kesi ya Mbowe: Hadi sasa sijaona ushahidi wowote unaoonesha kulikuwa na ugaidi

Takribani mashahidi wanne hadi sasa wameshatoa ushahidi wao lkn kati ya hao wote sijaona ushahidi wenye nguvu ya kuwatia hatiani watuhumiwa wa ugaidi.

Shahidi badala ya kuthibitisha uhusiano wa silaha iliyokamatwa na mtuhumiwa anakuja kutuambia silaha zilizokamatwa ni nzima kwani silaha kuwa
Hata walete mashahidi 1000 kama ni wa kuunga unga itakuwa hamna kitu.
 
Hadi sasa hakuna ushahidi wowote wa kigaidi dhidi ya Mbowe.
Wanachofanya serikali ni 'kutengeneza' mashihidi wasio na ushahidi
Kwa ufupi ni kesi inayowavua nguo 'washtaki' na kuwaacha uchi!
Pesa za walipa kodi zinapotea kwa mambo ya kipuuzi na ujinga mtupu
Hahahah mashahidi wasio na ushahidi🤣🤣🤣
 
Shahidi anasema saini zinatofautiana kwasababu zingine alisaini akiwa amesimama zingine akiwa amekaa.

Mwingine anasema hakumbuki rangi ya shati maana hakuvaa miwani lkn aliweza kuona rangi ya bastola na kusoma namba zake.[emoji23]
 
Takribani mashahidi wanne hadi sasa wameshatoa ushahidi wao lkn kati ya hao wote sijaona ushahidi wenye nguvu ya kuwatia hatiani watuhumiwa wa ugaidi.
Shahidi mwingine anasema watuhumiwa walipanga kulipua vituo vya mafuta, kukata miti, kupulizia viongozi sumu na kuua viongozi, walipoulizwa mliwakuta na vilipuzi hakuna, mapanga au shoka za kukatia miti hakuna, kuna vituo vya mafuta vilivyolipuliwa hakuna, kuna kiongozi kauawa hakuna.[emoji23]
[emoji23]
 
Mpaka leo bado sijaelewa lengo mahsusi la yale mahojiano kati Salim Kikeke na huyu Mama! Na wakati huo huo mchakato wa kesi ukiwa unaendelea mahakamani.

The way alivyokuwa anajieleza mbele ya camera siku ile! Namna alivyo elezea kwa kujiamini!, na ukija kwenye uhalisia! unaona kabisa aina ya Mtawala tuliye naye.
Huyu mama tunaheshimu utu wake na mamlaka aliyopewa lakini kupwaya ni kukubwa.
 
Mpaka leo bado sijaelewa lengo mahsusi la yale mahojiano kati Salim Kikeke na huyu Mama! Na wakati huo huo mchakato wa kesi ukiwa unaendelea mahakamani.

The way alivyokuwa anajieleza mbele ya camera siku ile! Namna alivyo elezea kwa kujiamini!, na ukija kwenye uhalisia! unaona kabisa aina ya Mtawala tuliye naye.
mama yuko under blackmail. Sio yeye
 
Kipi cha ziada kilicholetwa.
Duuu!?

download (1).jpg
 
Takribani mashahidi wanne hadi sasa wameshatoa ushahidi wao lkn kati ya hao wote sijaona ushahidi wenye nguvu ya kuwatia hatiani watuhumiwa wa ugaidi.
Alafu shahidi wa tano anatoa siri za mteja bila ya kuambiwa kosa.
 
Back
Top Bottom