Hata walete mashahidi 1000 kama ni wa kuunga unga itakuwa hamna kitu.Takribani mashahidi wanne hadi sasa wameshatoa ushahidi wao lkn kati ya hao wote sijaona ushahidi wenye nguvu ya kuwatia hatiani watuhumiwa wa ugaidi.
Shahidi badala ya kuthibitisha uhusiano wa silaha iliyokamatwa na mtuhumiwa anakuja kutuambia silaha zilizokamatwa ni nzima kwani silaha kuwa