Hata walete mashahidi 1000 kama ni wa kuunga unga itakuwa hamna kitu.Takribani mashahidi wanne hadi sasa wameshatoa ushahidi wao lkn kati ya hao wote sijaona ushahidi wenye nguvu ya kuwatia hatiani watuhumiwa wa ugaidi.
Shahidi badala ya kuthibitisha uhusiano wa silaha iliyokamatwa na mtuhumiwa anakuja kutuambia silaha zilizokamatwa ni nzima kwani silaha kuwa
Leo nimemtumia mtu milioni moja kwenye simu. Kwa hiyo mi ni Gaidi?Hizo pesa alizotuma hachomoki, technology ni kitu nyingine.
Hahahah mashahidi wasio na ushahidi🤣🤣🤣Hadi sasa hakuna ushahidi wowote wa kigaidi dhidi ya Mbowe.
Wanachofanya serikali ni 'kutengeneza' mashihidi wasio na ushahidi
Kwa ufupi ni kesi inayowavua nguo 'washtaki' na kuwaacha uchi!
Pesa za walipa kodi zinapotea kwa mambo ya kipuuzi na ujinga mtupu
Wengine wanssema Usipuanika utautwanga mbichiWahenga tunasemaga.... Ikiwaka mulika na ikizima papasa
Pesa tunatuma kila siku na leo nimetuma milioni 1 huko mikoani.Kivipi?kwani kutuma pesa ni jambo la ajabu sana?
Legal officer wa Tigo anasema alimtambua Mbowe kupitia NIDA.We ni mavi, zilikuwa za Nini? Alizituma Nani wakati unasema Mbowe hamjui? Aliyemsajili Mbowe hajulikani, namba Mbowe aliipataje? Alijisajili? We ni mavi
Shahidi mwingine anasema watuhumiwa walipanga kulipua vituo vya mafuta, kukata miti, kupulizia viongozi sumu na kuua viongozi, walipoulizwa mliwakuta na vilipuzi hakuna, mapanga au shoka za kukatia miti hakuna, kuna vituo vya mafuta vilivyolipuliwa hakuna, kuna kiongozi kauawa hakuna.[emoji23]Takribani mashahidi wanne hadi sasa wameshatoa ushahidi wao lkn kati ya hao wote sijaona ushahidi wenye nguvu ya kuwatia hatiani watuhumiwa wa ugaidi.
Mashahidi wasio na ushahidi. Tena Fred Kapala anasema hamjui Mbowe🤣🤣🤣Shahidi anasema alikutana na Mbowe January 2020 akiwa na gari la KUB wakati Mbowe alinyang’anywa gari tangu 2019 na January 2020 alikuwa mahabusu.[emoji23]
Huyu mama tunaheshimu utu wake na mamlaka aliyopewa lakini kupwaya ni kukubwa.Mpaka leo bado sijaelewa lengo mahsusi la yale mahojiano kati Salim Kikeke na huyu Mama! Na wakati huo huo mchakato wa kesi ukiwa unaendelea mahakamani.
The way alivyokuwa anajieleza mbele ya camera siku ile! Namna alivyo elezea kwa kujiamini!, na ukija kwenye uhalisia! unaona kabisa aina ya Mtawala tuliye naye.
Hahaha [emoji23] yani haya mambo hayaMashahidi wasio na ushahidi. Tena Fred Kapala anasema hamjui Mbowe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawana namna kama wamelazimishwa. Lakini Ukweli umejianikaTigo wameamua kushirikiana na madhalimu
Hahhaha[emoji23]Legal officer wa Tigo anasema alimtambua Mbowe kupitia NIDA.
mama yuko under blackmail. Sio yeyeMpaka leo bado sijaelewa lengo mahsusi la yale mahojiano kati Salim Kikeke na huyu Mama! Na wakati huo huo mchakato wa kesi ukiwa unaendelea mahakamani.
The way alivyokuwa anajieleza mbele ya camera siku ile! Namna alivyo elezea kwa kujiamini!, na ukija kwenye uhalisia! unaona kabisa aina ya Mtawala tuliye naye.
Mwanasheria wa Tanzania hamjui Mbowe? Kweli?Legal officer wa Tigo anasema alimtambua Mbowe kupitia NIDA.
Hata Jaji alimshangaaMwanasheria wa Tanzania hamjui Mbowe? Kweli?
Alafu shahidi wa tano anatoa siri za mteja bila ya kuambiwa kosa.Takribani mashahidi wanne hadi sasa wameshatoa ushahidi wao lkn kati ya hao wote sijaona ushahidi wenye nguvu ya kuwatia hatiani watuhumiwa wa ugaidi.
Nilitaka nimtumie mtu pesa, nimeghairi. Ngoja nipande gari tu nikampe maana kutuma hela ni ugaidi.Hizo pesa alizotuma hachomoki, technology ni kitu nyingine.