Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
It's not about taking sides here, it's all about what the law just say.
Kesi ya Zombe ilikuwa ya ugaidi? if not Jaji Siyani ataikataa pia.
Kwangu mimi hukumu imetimiza matakwa yote ya kisheria (ukarasa 10-13) kama umeweza kuifungua
It's not about taking sides here, it's all about what the law just say.
Kesi ya Zombe ilikuwa ya ugaidi? if not Jaji Siyani ataikataa pia.
"He who feeds you, will control you"
Hata hujanielewa, nimesema jaji anatakiwa kufuata sheria kwenye kufanya maamuzi yake na asiache any doubt kwa jamii.Mawazo/hoja yako hiyo siyo tu inasikitisha pia inatia huzuni kwamba unasukumwa na dhana ya kisiasa kulaumu chombo cha haki na hasa watumishi wake.
Kwako wewe, na wenye mawazo kama yako hayo, mnaamini kila mtumishi wa umma anayetekeleza wajibu wake ni mfuasi wa chama tawala au anajipendekeza kwa mamlaka ya uteuzi wake / mwajiri wake, na siyo taaluma.
Kwa nini nami nisiamini unajipendekeza kwa hao unaowatetea,?
Nimekuuliza hivyo nikijua fika kuna kesi jaji aliikataa kwenye hukumu yake toka kwa mawakili wa utetezi sababu haikuwa ya ugaidi, sasa kwasababu unamtetea yule jaji, muhimu hilo swali ukamuulize jaji.Mkuu, kwa nini tuna case laws? Nilipokutajia kesi ya Zombe nilidhani ungeniuliza material facts ambazo ni relevant kwenye kesi ya Mbowe! Sasa kuniuliza kuwa kama kesi ya Zombe ilikuwa ya ugaidi sijakuelewa kabisa.
Kama hamkuridhika fungua kesi ICC
Hata hujanielewa, nimesema jaji anatakiwa kufuata sheria kwenye kufanya maamuzi yake na asiache any doubt kwa jamii.
Unasema hayo maoni maoni yangu yanasukumwa na siasa ipi? kudai haki kwako ndio siasa?
Vipi yule jaji aliepandishwa cheo katikati ya kazi aliyokuwa akifanya, maamuzi yake hayakuja kama shukrani kwa mwanasiasa? na kwa muktadha huo nikisema hukumu yake ilikuwa ya kisiasa nitakuwa nakosea?
Think.
Mi sielewi, ina maana huyo shaidi alitoa statement ya kuwatia hatiani, ndo maana upande wa utetezi wanahaha kuweka pingamizi ili hiyo statement isitumike kwenye case,, kwani hawezi kuikana statement wakati case ikiendelea?, Kesi inadai mbowe gaidi,, swali alifanya ugaidi gani na wapi?,Mkuu, basing on facts you have; unadhani ruling iliyotolewa kwenye hii trial withi a trial ilitakiwa kuwaje?
If so, even hata kesi ya msingi ikiendelea, mshitakiwa anaweza kuikana statement su si hivyo?Based on facts:
"Testimony under duress cannot be used against anyone. This is natural."
Haihitaji shule kuliona hilo.
Mwambie kaselabantu au james mapalala tuone kama atakubaluana nàweNchi imetekwa nyara na kundi hili:
View attachment 1981409
Kina pole pole na kina bashiri wenye njaa sasa wanaliongelea kundi hili.
Mwalimu Nyerere aliipenda nchi siyo CCM
Tupendeni nchi si vyama. Ukombozi wa nchi hii utaletwa na wenye moyo:
[CHADEMA: Tanzania itakombolewa na wenye Moyo
Lakini inaachia loophole ya Rufaa ku succeed hapo baadae,, so this could be delaying tactics all the way.. [emoji847][emoji847]Hudhani jaji kutojihusisha kujua ukweli ni upi hakuwa na jema kwa waliokuwa wanalalamika kuteswa?
Huoni jaji kutojihusisha kujua ukweli inaacha ukakasi wa wazi kuwa bila shaka jaji alikuwa amedhamiria kutafuta kisingizio chochote, na kwa hakika kisingekosekana?
How come mawakili wa utetezi hawakuomba huyo lijenje na meja urio waletwe mbele ya mahakama?Lijenje alikuwa sehemu ya watuhumiwa unauliza vipi kama alikuwa subject of dispute? huoni uhusika wake kwenye kesi hapo?
Lijenje alikuwa subject wa kesi na alitakiwa kuwepo mahakamani, kwa maana hiyo jaji alitakiwa kuuliza Lijenje yuko wapi? mwisho wa kumtafuta uliishia wapi?
Ukisema alikuwa "subject of dispute in the courtroom" simply na wewe unaleta tabia za jaji Siyani kukimbia hoja zinazombana ili awalinde jamhuri, wacha usanii.
Kama Lijenje hakuwa sehemu ya kesi kwanini jaji alikubali jamhuri walivyopoteza muda kwa ajili ya kumtafuta?
Sijajua una maarifa ya kiwango gani kwenye taaluma ya sheria. Lakini ni jambo la kawaida kuupinga ushahidi ambao ulipatikana kwa kutumia nguvu/ mateso. Lakini mimi hoja yangu ya msingi ni tofauti na unayotaka wewe kuileta. Hoja yangu us purely based on legal reasoning, ya kwako naiona inauelekeo wa kiitikadiMi sielewi, ina maana huyo shaidi alitoa statement ya kuwatia hatiani, ndo maana upande wa utetezi wanahaha kuweka pingamizi ili hiyo statement isitumike kwenye case,, kwani hawezi kuikana statement wakati case ikiendelea?, Kesi inadai mbowe gaidi,, swali alifanya ugaidi gani na wapi?,
Kama statement inadai alipanga kufanya,, endapo mshitakiwa atakana statement, mahakama itamla imisha? [emoji848][emoji848]
Hata mimi niliona kama ushahidi wa Jamhuri una nyufa kadhaa zinazoleta mashaka, lakini nilishangaa jaji kusema ushahidi unafungamana. Lakini kwa vile judge anatoa hukumu kulingana anavyokuwa 'persuaded' na wakati mwingine anaweza kuwa 'persuaded in the wrong way' ndiyo maana kuna kukata rufaa na huwa tunaona baadhi ya rufaa jaji wa mahakama ya rufaa anaweza kusema jaji aliyetoa ruling was wrong etc.Haki haijawahi kujificha.
Jaji Siyani kwa kujiridhisha kuwa:
1. Mshitakiwa wa pili alikamatwa akawasaidia polisi kumtafuta Mosses Lijenje Moshi, Boma Ng'ombe hadi Arusha,
2. Njiani wakapata mishikaki na Mo Energy,
3. Mshitakiwa wa pili akatoa maelezo kwa ridhaa yake ndani ya masaa 4 yaliyowekwa kwa mujibu wa sheria,
4. Kwamba madai ya kuteswa kwa washitakiwa yalikuwa ni porojo tu,
Kama ilivyo kwa misahafu kuweza kutumika kufikia hitimisho lolote, ama kwa hakika Jaji Siyani hakubakia nyuma:
1. Jaji hakutaka kujishughulisha kujua walikuwa wapi wahanga wengine wa yaliyosemekana mateso Moses Lijenje au Luteni Urio,
2. Jaji hakutaka kujishughulisha wala kuhitaji uthibitisho wa madaktari kujiridhisha madai ya kuteswa ya washitakiwa.
"Kwa hukumu hii Sirro, Kingai, Mahita na polisi kwa ujumla mmepewa leseni ya kuuwa nzi. Kuwa uweni nzi wote popote mtakapowaona. Jaji Kiongozi mpya kawapa ruksa hiyo."
Haki kuonekana hadharani ikiporwa ni pigo kwa utawala wa sheria.
Kwa hakika leo imekuwa ni siku mbaya kabisa kwa mahakama na utawala wa sheria hapa nchini.
Hata mimi niliona kama ushahidi wa Jamhuri una nyufa kadhaa zinazoleta mashaka, lakini nilishangaa jaji kusema ushahidi unafungamana. Lakini kwa vile judge anatoa hukumu kulingana anavyokuwa 'persuaded' na wakati mwingine anaweza kuwa 'persuaded in the wrong way' ndiyo maana kuna kukata rufaa na huwa tunaona baadhi ya rufaa jaji wa mahakama ya rufaa anaweza kusema jaji aliyetoa ruling was wrong etc.
Lakini inaachia loophole ya Rufaa ku succeed hapo baadae,, so this could be delaying tactics all the way.. [emoji847][emoji847]