Kesi ya Mbowe: Haki Haikuonekana Kutendeka

Kesi ya Mbowe: Haki Haikuonekana Kutendeka

brazaj ndiyo maana mwanzoni niliuliza je, kuna any procedural law or substantive law inayompa Jaji discretionary power to investigate issue ya Lijenje au Kpt. Urio? Tunaweza kuwa tunamlaumu Jaji kumbe tunachokitaka hakimo ndani ya sheria yoyote. Na ieleweke kuwa Judges decide cases according to the law. Na ndiyo maana husemwa kwamba haki kwa mujibu wa sheria. Mnaweza kuwa na sheria mbaya, lakini hizo sheria mbaya ndiyo zinazotumika mahakamani. Jaji hawezi kujitungia sheria yake.
Mimi natamani tu kujifunza, labda kuna any provision ambayo inampa Jaji uhuru wa kusema nataka Lijenje au Kpt. Urio aletwe mahakamani for further scrutiny of the facts so raised before the court

Kwani mkuu wewe umeelewa:

1. kwanini jaji ametupilia mbali pingamizi kuwa maelezo ya mshitakiwa yalitolewa nje ya muda?

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?

2. Kwanini jaji ametulipia mbali pingamizi kuwa mshitakiwa aliteswa?

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?

Kwani kuna hata haja ya ku beat around the bush?

"Wacha maneno, weka Muziki."
 
Zinaumiza vipi mteja wako kama haki ya mteja wako imewekwa njia panda na kuna uwezekano maamuzi ya mwisho yakaathiriwa na haki ya mteja wako kupindishwa toka mwanzo?

Zaidi, maamuzi ya shauri kama la jana bado yangeruhusu kesi ya msingi kuendelea kusikilizwa, hayakuwa ndio final, lakini maamuzi yale yalikuwa na direct impact kuu favour upande mmoja wapo siku ya hukumu ya mwisho, huwezi kudharau uwepo wa technicalities kwa hali hii.
Let's agree this to be our point of departure to alternatively arriving at the common end
Lijenje alikuwa subject wa kesi na alitakiwa kuwepo mahakamani, kwa maana hiyo jaji alitakiwa kuuliza Lijenje yuko wapi? mwisho wa kumtafuta uliishia wapi?
Lijenje alikuwa subject wa kesi na alitakiwa kuwepo mahakamani, kwa maana hiyo jaji alitakiwa kuuliza Lijenje yuko wapi? mwisho wa kumtafuta uliishia wapi?
Mkuu, kama ulifanikiwa kusoma hukumu ya High Court kesi ya Zombe, hili swali lako linajibika mle kuhusu issue ya yule Koplo Saad who is "still at large". Mimi hakuna ninapojaribu kumtetea Jaji Siyani kwa namna yoyote ile. Ndiyo maana toka mwanzo nimesema najaribu kujifunza kitu kipya. Nimesema practice of law is an unending learning profession. Ila ukiwa tayari na upande, unaweza kujikuta unaacha mambo ya msingi sana ambayo yanaweza kufungua zaidi uwanja wa kujifunza
 
😂😂😂😂

Jaji hana ushahidi kwa hoja yoyote wala kifungu cha sheria, lakini katoa hukumu.

Wewe huoni kuwa huyu angetumia kisingizio chochote kufikia uamuzi huu huu katika hali yoyote?

Hapa chini ni factual. Make no mistakes:

IMG_20211021_190628_385.jpg


Kucheza na haki za watu kuna mwisho.
 
Jaji hana ushahidi kwa hoja yoyote wala kifungu cha sheria, lakini katoa hukumu.

Wewe huoni kuwa huyu angetumia kisingizio chochote kufikia uamuzi huu huu katika hali yoyote?

Hapa chini ni factual. Make no mistakes:

View attachment 1982214

Kucheza na haki za watu kuna mwisho.
Samahani mkuu, naomba nikusumbue usome Part III ya Evidence Act yote tu kama ilivyo. Naamini kuna kitu cha tofauti utakiona kuhusu hili jambo.
 
Samahani mkuu, naomba nikusumbue usome Part III ya Evidence Act yote tu kama ilivyo. Naamini kuna kitu cha tofauti utakiona kuhusu hili jambo.

Kwanini ni magumu kwako haya:

----------
1. kwanini jaji ametupilia mbali pingamizi kuwa maelezo ya mshitakiwa yalitolewa nje ya muda?

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?

2. Kwanini jaji ametulipia mbali pingamizi kuwa mshitakiwa aliteswa?

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?
----------

Hudhani hapo ndipo palikuwa pa kuanzia?
 
That’s how you hedge. If CHADEMA followers truly believed in this, they wouldn’t be bringing hundreds of civil lawsuits to our courthouses every now and then!

That's our belief. I repeat: "you can take that to the bank."

The rest is for public consumption. For every Tom, Dick and Harry to see:



We are not at all enthusiastic for any outcome.
 
Let's agree this to be our point of departure to alternatively arriving at the common end


Mkuu, kama ulifanikiwa kusoma hukumu ya High Court kesi ya Zombe, hili swali lako linajibika mle kuhusu issue ya yule Koplo Saad who is "still at large". Mimi hakuna ninapojaribu kumtetea Jaji Siyani kwa namna yoyote ile. Ndiyo maana toka mwanzo nimesema najaribu kujifunza kitu kipya. Nimesema practice of law is an unending learning profession. Ila ukiwa tayari na upande, unaweza kujikuta unaacha mambo ya msingi sana ambayo yanaweza kufungua zaidi uwanja wa kujifunza
It's not about taking sides here, it's all about what the law just say.

Kesi ya Zombe ilikuwa ya ugaidi? if not Jaji Siyani ataikataa pia.
 
Huwezi kufumbia macho ukiukwaji wa sheria unaofanywa kuanzia mwanzo ili kusubiri hukumu ya mwisho, kila jambo/hatua kuanzia kumkamata mtuhumiwa, kumfanyia upelelezi, mpaka kumfikisha mahakamani lina taratibu zake zilizoainishwa kisheria, kukiuka taratibu yoyote kati ya hizo kunaifanya kesi husika kuwa batili na kustahili kuondolewa mahakamani.

Ajabu, jaji ameamua kufumbia macho ukiukwaji huo kwa kuangalia "maoni yake" yanasema nini akijua fika sheria ingewabana rafiki zake wa jamhuri, nimemkumbuka na yule jaji mwingine alieamua kuwa mwalimu wa upande wa jamhuri badala ya kuwa refarii/neutral, ndipo Chadema wakasema hawana imani nae, kwenye mazingira haya hata kuongeza nguvu ni ujinga tu.
Mawazo/hoja yako hiyo siyo tu inasikitisha pia inatia huzuni kwamba unasukumwa na dhana ya kisiasa kulaumu chombo cha haki na hasa watumishi wake.

Kwako wewe, na wenye mawazo kama yako hayo, mnaamini kila mtumishi wa umma anayetekeleza wajibu wake ni mfuasi wa chama tawala au anajipendekeza kwa mamlaka ya uteuzi wake / mwajiri wake, na siyo taaluma.

Kwa nini nami nisiamini unajipendekeza kwa hao unaowatetea,?
 
Mawazo/hoja yako hiyo siyo tu inasikitisha pia inatia huzuni kwamba unasukumwa na dhana ya kisiasa kulaumu chombo cha haki na hasa watumishi wake.

Kwako wewe, na wenye mawazo kama yako hayo, mnaamini kila mtumishi wa umma anayetekeleza wajibu wake ni mfuasi wa chama tawala au anajipendekeza kwa mamlaka ya uteuzi wake / mwajiri wake, na siyo taaluma.

Kwa nini nami nisiamini unajipendekeza kwa hao unaowatetea,?

Mkuu labda wewe hukumu ulielewa.

1. Kwanini jaji ametupilia mbali pingamizi kuwa maelezo ya mshitakiwa yalitolewa nje ya muda:

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?

2. Kwanini jaji ametulipia mbali pingamizi kuwa mshitakiwa aliteswa:

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?

Maoni ya kujipendekeza kwake yanakuja kwa sababu ya kukosa majibu kwenye maswali hayo manne tu, basi.
 
Mkuu labda wewe hukumu ulielewa.

1. Kwanini jaji ametupilia mbali pingamizi kuwa maelezo ya mshitakiwa yalitolewa nje ya muda:

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?

2. Kwanini jaji ametulipia mbali pingamizi kuwa mshitakiwa aliteswa:

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?

Maoni ya kujipendekeza kwake yanakuja kwa sababu ya kukosa majibu kwenye maswali hayo manne tu, basi.

Mimi siyo mwanasheria. Iwapo wewe ni mwanasheria, kwa faida ya jukwaa na kuweka uzito kwenye lawama yako dhidi ya hukumu ya huyo Jaji, tufafanulie, kwa vifungu vya sheria, upungufu wake (hukumu imeambatanishwa)
View attachment 1982434
 
Mawazo/hoja yako hiyo siyo tu inasikitisha pia inatia huzuni kwamba unasukumwa na dhana ya kisiasa kulaumu chombo cha haki na hasa watumishi wake.

Kwako wewe, na wenye mawazo kama yako hayo, mnaamini kila mtumishi wa umma anayetekeleza wajibu wake ni mfuasi wa chama tawala au anajipendekeza kwa mamlaka ya uteuzi wake / mwajiri wake, na siyo taaluma.

Kwa nini nami nisiamini unajipendekeza kwa hao unaowatetea,?
Kile kitendo tu cha kumweka msajili wa mahakama ofisa wa TISS na kumpachika ujaji, Jaji mkuu kumfanya kuwa afisa wa TISS, na kuwateua TISS officers kadhaa kuwa majaji, na kesi kupangwa kusikilizwa na TISS officers waliopachikwa mahakamani, ni dhahiri mahakama haipo bali serikali ile ile inajibadili mara mahakama, mara Bunge, mara serikali.

Hakuna utawala wa sheria, hakuna checks and balances, uongozi mzima unakuwa ni wa hadaa.
 
Mimi siyo mwanasheria. Iwapo wewe ni mwanasheria, kwa faida ya jukwaa na kuweka uzito kwenye lawama yako dhidi ya hukumu ya huyo Jaji, tufafanulie, kwa vifungu vya sheria, upungufu wake (hukumu imeambatanishwa)
View attachment 1982434

Hukumu inawajibika kutoa ushahidi wa wazi usiokuwa na shaka unaoonyesha sababu ya kuufikia uamuzi uliofikiwa ukifungamanishwa na sheria husika.

Katika hoja zote mbili:

Jaji Kiongozi Siyani, hana ushahidi kwa hoja yoyote wala kifungu cha sheria husika, lakini katoa hukumu.

Wewe huoni kuwa huyu angetumia kisingizio chochote ili mradi kufikia uamuzi huu huu katika hali yoyote ile?
 
Kile kitendo tu cha kumweka msajili wa mahakama ofisa wa TISS na kumpachika ujaji, Jaji mkuu kumfanya kuwa afisa wa TISS, na kuwateua TISS officers kadhaa kuwa majaji, na kesi kupangwa kusikilizwa na TISS officers waliopachikwa mahakamani, ni dhahiri mahakama haipo bali serikali ile ile inajibadili mara mahakama, mara Bunge, mara serikali.

Hakuna utawala wa sheria, hakuna checks and balances, uongozi mzima unakuwa ni wa hadaa.

Yaonekana una ujuzi/uelewa wa uteuzi na wajibu wa wateuliwa katika nafasi zao. Hivyo basi, kwa hoja yako hiyo (maandishi mekundu), naomba ufafanuzi kuhusu wateule hao na uhusika wao kuharibu mwenendo wa kesi inayojadiliwa.
 
Hukumu inawajibika kutoa ushahidi wa wazi usiokuwa na shaka unaoonyesha sababu ya kuufikia uamuzi uliofikiwa ukifungamanishwa na sheria husika.

Katika hoja zote mbili:

Jaji Kiongozi Siyani, hana ushahidi kwa hoja yoyote wala kifungu cha sheria husika, lakini katoa hukumu.

Wewe huoni kuwa huyu angetumia kisingizio chochote ili mradi kufikia uamuzi huu huu katika hali yoyote ile?
Niliambatanisha hiyo hukumu nikiamini utaipitia kuona mapungufu yake, kisheria, na hatimaye uipinge ipasavyo. Badala yake ulioyaandika ni hisia zaidi za kuthibitisha lawama dhidi yake Jaji
 
Niliambatanisha hiyo hukumu nikiamini utaipitia kuona mapungufu yake, kisheria, na hatimaye uipinge ipasavyo. Badala yake ulioyaandika ni hisia zaidi za kuthibitisha lawama dhidi yake Jaji

Rejea kuona hakuna ulichoambatanisha bali maneno matupu
 
Mawazo/hoja yako hiyo siyo tu inasikitisha pia inatia huzuni kwamba unasukumwa na dhana ya kisiasa kulaumu chombo cha haki na hasa watumishi wake.

Kwako wewe, na wenye mawazo kama yako hayo, mnaamini kila mtumishi wa umma anayetekeleza wajibu wake ni mfuasi wa chama tawala au anajipendekeza kwa mamlaka ya uteuzi wake / mwajiri wake, na siyo taaluma.

Kwa nini nami nisiamini unajipendekeza kwa hao unaowatetea,?
Suala ambalo liko wazi kabisa kiasi hiki unashupaza shingo na kuanza kulijengea vioja baada ya kukosa hoja? Hivi unadhani dhuluma huwa inatetewa kama unavyopoteza muda hapa?

Hata ungeandika kwa kikwenu hapa hueleweki na hautaeleweka. Hizi mahakama zetu na majaji wametekwa na teuzi.

Bisha, kataa, ama tunga hata uongo lkn huu ndiyo utabakia kuwa ukweli wa Mungu nafsi.
 
Suala ambalo liko wazi kabisa kiasi hiki unashupaza shingo na kuanza kulijengea vioja baada ya kukosa hoja? Hivi unadhani dhuluma huwa inatetewa kama unavyopoteza muda hapa?

Hata ungeandika kwa kikwenu hapa hueleweki na hautaeleweka. Hizi mahakama zetu na majaji wametekwa na teuzi.

Bisha, kataa, ama tunga hata uongo lkn huu ndiyo utabakia kuwa ukweli wa Mungu nafsi.

Kama umeisoma hukumu (niliiambatanisha awali), nitaheshimu hoja zako, pale utakapoirejea ukioanisha mapungufu yake, kisheria. La, wewe ndiye huna hoja Hata ungeandika kwa kikwenu hapa hueleweki na hautaeleweka!!!!![emoji848]
 
Back
Top Bottom