Lema amekwa spika wa Spesiiii na wanaharakati njaaa.Ubaya ya kuwa na chama ambacho mwenyekiti ndio one man band. Yaani ndio master minder, mpanga mikakati na hata mhamasishaji.
Kesi imevuruga mipango ya chama chetu kabisa. Uongozi umeyumba kabisa na inaonekana hakuna mikakati kabisa ya kujikwamua. Zimebaki ngonjera tu spacin huko Twita.
Bavicha ndio webaki kuzurura tu huku Mnyika akiwa hana hata mkakati wa kisiasa kujikwamua. Leo hii Mwenyekiti na watuhiwa wake wanalilia Chakula.
Kiukweli na kutoka moyoni mnapenda isambaratike au iimarike. Kama furaha kwa cdm kusambaratika kusheherekea je?Lema amekwa spika wa Spesiiii na wanaharakati njaaa.
Impact yake kichama? Na matatizo yetu?
nani anae mfatilia huko mtandaoni? hapa ndipo chadema inapoferi kila siku, mambo ya msingi mnatolea ufafanuzi mtandaoni...mtaishia kulalamika tu
Nina uchungu na chama.
Punguza porojo au njoziUbaya ya kuwa na chama ambacho mwenyekiti ndio one man band. Yaani ndio master minder, mpanga mikakati na hata mhamasishaji.
Kesi imevuruga mipango ya chama chetu kabisa. Uongozi umeyumba kabisa na inaonekana hakuna mikakati kabisa ya kujikwamua. Zimebaki ngonjera tu spacin huko Twita.
Bavicha ndio webaki kuzurura tu huku Mnyika akiwa hana hata mkakati wa kisiasa kujikwamua. Leo hii Mwenyekiti na watuhumiwa wenzake wake wanalilia Chakula.
Akili yako haina akili. CHADEMA hatuna mavi za Lumumba kama wewe.Lipi nisilolijua?
Mpumbavu anakuelekeza ufanye uamuzi wa kipumbavu na wewe mwelevu ukaufanya, aliekuelekeza atakuona wewe ni mpumbavu maradufu.....jiangalieni mliotumika kwenye upumbavu wa kesi hiiUbaya ya kuwa na chama ambacho mwenyekiti ndio one man band. Yaani ndio master minder, mpanga mikakati na hata mhamasishaji.
Kesi imevuruga mipango ya chama chetu kabisa. Uongozi umeyumba kabisa na inaonekana hakuna mikakati kabisa ya kujikwamua. Zimebaki ngonjera tu spacin huko Twita.
Bavicha ndio webaki kuzurura tu huku Mnyika akiwa hana hata mkakati wa kisiasa kujikwamua. Leo hii Mwenyekiti na watuhumiwa wenzake wake wanalilia Chakula.
Kamanda aliyechokaLipi nisilolijua?
Usichelewe, wahi seat ya mbele kwenye kuunga juhudi. Jiwe aliiharibu nchi hiidah kweli imetuvunja sana moyo yan hatupo hatupo yaani.
nakaribia kusimama na kuunga mkono juhud