Kesi ya Mbowe imetufanya kuparaganyika. Lissu amebakia kulalama Twitter, Bavicha wanazurura kwenye vijiwe vya kahawa. Hakuna dira kabisa

Kesi ya Mbowe imetufanya kuparaganyika. Lissu amebakia kulalama Twitter, Bavicha wanazurura kwenye vijiwe vya kahawa. Hakuna dira kabisa

Ubaya ya kuwa na chama ambacho mwenyekiti ndio one man band. Yaani ndio master minder, mpanga mikakati na hata mhamasishaji.

Kesi imevuruga mipango ya chama chetu kabisa. Uongozi umeyumba kabisa na inaonekana hakuna mikakati kabisa ya kujikwamua. Zimebaki ngonjera tu spacin huko Twita.

Bavicha ndio webaki kuzurura tu huku Mnyika akiwa hana hata mkakati wa kisiasa kujikwamua. Leo hii Mwenyekiti na watuhiwa wake wanalilia Chakula.
Lema amekwa spika wa Spesiiii na wanaharakati njaaa.
 
Lema amekwa spika wa Spesiiii na wanaharakati njaaa.
Kiukweli na kutoka moyoni mnapenda isambaratike au iimarike. Kama furaha kwa cdm kusambaratika kusheherekea je?
 
Impact yake kichama? Na matatizo yetu?

..usipende matokeo ya papo kwa papo.

..au mafanikio bila kufanya kazi.

..bavicha unaodai wanazurura wanafanya kazi za chama pamoja na resources ndogo walizonazo.

..tuache kuwabeza bavicha, badala yake tuwashauri ktk kuboresha ujumbe wanaoupeleka maeneo mbalinbali.
 
nani anae mfatilia huko mtandaoni? hapa ndipo chadema inapoferi kila siku, mambo ya msingi mnatolea ufafanuzi mtandaoni...mtaishia kulalamika tu

..hiyo ni platform mpya ya kufanya siasa.

..hakuna anayefahamu itadumu kwa muda gani , lakini ni muhimu Cdm kuchangamkia fursa zote za kufanya siasa.

..advantage ya mitandao ni kiwango cha uwazi na demokrasia ktk mijadala inayoendelea.
 
Mwenyekiti wako Bi hangaya, wamemprove huku mahakamani kama mtu Muongo, mfitini, mlopolopo, msema uongo, msema maneno bila kujua anasema nn, mwenye IQ ndogo km ya kuku.
Dah hangaya uko alipo ni aibuuuu kubwa hasa kisogon mwake
Nina uchungu na chama.
 
[emoji23][emoji1787]
Screenshot_2022-02-15-21-22-13-05.jpg
 
Ubaya ya kuwa na chama ambacho mwenyekiti ndio one man band. Yaani ndio master minder, mpanga mikakati na hata mhamasishaji.

Kesi imevuruga mipango ya chama chetu kabisa. Uongozi umeyumba kabisa na inaonekana hakuna mikakati kabisa ya kujikwamua. Zimebaki ngonjera tu spacin huko Twita.

Bavicha ndio webaki kuzurura tu huku Mnyika akiwa hana hata mkakati wa kisiasa kujikwamua. Leo hii Mwenyekiti na watuhumiwa wenzake wake wanalilia Chakula.
Punguza porojo au njozi
 
Ubaya ya kuwa na chama ambacho mwenyekiti ndio one man band. Yaani ndio master minder, mpanga mikakati na hata mhamasishaji.

Kesi imevuruga mipango ya chama chetu kabisa. Uongozi umeyumba kabisa na inaonekana hakuna mikakati kabisa ya kujikwamua. Zimebaki ngonjera tu spacin huko Twita.

Bavicha ndio webaki kuzurura tu huku Mnyika akiwa hana hata mkakati wa kisiasa kujikwamua. Leo hii Mwenyekiti na watuhumiwa wenzake wake wanalilia Chakula.
Mpumbavu anakuelekeza ufanye uamuzi wa kipumbavu na wewe mwelevu ukaufanya, aliekuelekeza atakuona wewe ni mpumbavu maradufu.....jiangalieni mliotumika kwenye upumbavu wa kesi hii
 
Back
Top Bottom