Kesi ya Mbowe: Jaji hana mamlaka na document yenye wrong citation. Court of Appeal ilishaonya mara nyingi

Kesi ya Mbowe: Jaji hana mamlaka na document yenye wrong citation. Court of Appeal ilishaonya mara nyingi

Tatizo ni kwamba, anachokiamia Leo...siku chache zijazo, kitatumikia kuamua kesi ya MTU mwingine

Nandio maana watu wengi wamefungwa kwa sababu kuna makosa ambayo yalifanywa na majaji wapenda matumbo kama hawa!
Jamani nataka kujua kama jaji atakubali kutopokea ushaidi huu what will next.
 
Huyu jaji ameanza kuonyesha anapokea maelekezo toka nje ya uwanja, wiki hii tumependekeza iwe ya mawakili kujitoa kwani tayari hakuna imani na mahakama. Iwapo huyo jaji atazingua hiyo kesho aambiwe waziwazi kuwa anaagizwa kupendelea ushahidi wa kutunga. Na hapo mawakili wajitoe na wamruhusu achukue hatua alizoagizwa na serikali fullstop.
 
Leo (Nov 8. 2021) umetokea ubishi mahakamani kwamba akina Kibatala wamekataa document ya kumkamata mshitakiwa (seizure).

Hoja ni kwamba sheria kwenyw document hiyo haipo hapo nchini.

Kosa hilo kisheria linaitwa "wrong citation of the law".

Mawakili wa Serikali wamejenga hoja kwamba hili kosa ni dogo, siyo fatal, yaani mahakama inaweza kulifumbia macho.

Kina Kibatala wanasema ni kosa kubwa, yaani hakuna sheria hiyo waliyotumia.

Jaji kaomba siku nzima kuchambua hoja zote.

Je, ni nini kiko sahihihi?

Je, msimamo wa sheria zetu ukoje kwa kosa hili la wrong citation?

Msimamo uko wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilovumilika. Mahakama haina mamlaka na kesi yako kama umefanya kosa la wrong citation.

Msimamo huu Majaji wote Tanzania wameusimamia.

Msimamo huu ni wa Mahakama ya Rufani kwenye kesi zake nyingi. Moja ya kesi hizo ni ile ya "Chama Cha Walimu Tanzania v. The Attorney General, Civil Application No. 151 of 2008, (Unreported) ".

Katika kesi hii Court of Appeal olitamka wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilosameheka.

Hivyo Mahakama Kuu haina uwezo wa kukiuka maagizi ya Mahakama ya Rufani kama Mawakili wa Serikali wanavyojaribu kuishawishi.

Jaji wa kesi ya Mbowe hana mamlaka ya kwenda kinyume na Mahakama ya Rufani.

Jailing.

Wazee wa PGO watasema hiyo ni curable
 
Huyu jaji ameanza kuonyesha anapokea maelekezo toka nje ya uwanja, wiki hii tumependekeza iwe ya mawakili kujitoa kwani tayari hakuna imani na mahakama. Iwapo huyo jaji atazingua hiyo kesho aambiwe waziwazi kuwa anaagizwa kupendelea ushahidi wa kutunga. Na hapo mawakili wajitoe na wamruhusu achukue hatua alizoagizwa na serikali fullstop.
Walianzia kwenye ile kesi ndogo maamuzi yalikua ya ajabu kweli sioni kama haki ipo kwenye hii kesi maana ushahidi unaotolewa ingekua sehemu ingine ingeshafutiliwa mbali hapa Rais ndio kwanza anaongelea kesi ambayo hata haikusomwa kwa hiyo majaji lazima waende na matakwa ya wakubwa wao...bila katiba kuondoa hizi mambo ya kuteuliwa vizazi vijavyo vitaendelea kuona haya maigizo...
 
Huyu jaji ameanza kuonyesha anapokea maelekezo toka nje ya uwanja, wiki hii tumependekeza iwe ya mawakili kujitoa kwani tayari hakuna imani na mahakama. Iwapo huyo jaji atazingua hiyo kesho aambiwe waziwazi kuwa anaagizwa kupendelea ushahidi wa kutunga. Na hapo mawakili wajitoe na wamruhusu achukue hatua alizoagizwa na serikali fullstop.
Mkuu sina uelewa wa mambo haya, Mawakili wakijitoa si kesi itakuwa inatajwa mahakamani na kuhahirishwa, bila hukumu KWA muda mrefu mpaka uchaguzi ujao upite??
 
Leo (Nov 8. 2021) umetokea ubishi mahakamani kwamba akina Kibatala wamekataa document ya kumkamata mshitakiwa (seizure).

Hoja ni kwamba sheria kwenyw document hiyo haipo hapo nchini.

Kosa hilo kisheria linaitwa "wrong citation of the law".

Mawakili wa Serikali wamejenga hoja kwamba hili kosa ni dogo, siyo fatal, yaani mahakama inaweza kulifumbia macho.

Kina Kibatala wanasema ni kosa kubwa, yaani hakuna sheria hiyo waliyotumia.

Jaji kaomba siku nzima kuchambua hoja zote.

Je, ni nini kiko sahihihi?

Je, msimamo wa sheria zetu ukoje kwa kosa hili la wrong citation?

Msimamo uko wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilovumilika. Mahakama haina mamlaka na kesi yako kama umefanya kosa la wrong citation.

Msimamo huu Majaji wote Tanzania wameusimamia.

Msimamo huu ni wa Mahakama ya Rufani kwenye kesi zake nyingi. Moja ya kesi hizo ni ile ya "Chama Cha Walimu Tanzania v. The Attorney General, Civil Application No. 151 of 2008, (Unreported) ".

Katika kesi hii Court of Appeal olitamka wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilosameheka.

Hivyo Mahakama Kuu haina uwezo wa kukiuka maagizi ya Mahakama ya Rufani kama Mawakili wa Serikali wanavyojaribu kuishawishi.

Jaji wa kesi ya Mbowe hana mamlaka ya kwenda kinyume na Mahakama ya Rufani.

Jailing.
Jaji baada ya kuona Kaushindwa Mchezo Uwanjani, kaamua kuweka Mpira kwapani kwenda kupata Maagizo kutoka Kwa Hangaya
 
Maelezo mengine ni kama mnaingilia sana mahakama,nadhani tungeacha tuone maamuzi ya mh jaji.
 
Mimi mwenyewe nashangaa... pamoja na ungumbalu wangu kwenye sheria najua mara zote ukikosea tu vifungu, hata kesi inatupwa kule. Ngoja tuone; jaji asipokuwa makini, mawakili wa Mbowe watatumia huu uzembe kushinda rufaa mapema kabisa.
 
Back
Top Bottom