Mambo mengi kwa sasa hayako sawa...sijui kwa nini!
Mh. Mama Samia sio dhaifu bali huenda kuna wahuni wanamhujumu kiaina.
Takribani kwa masaa kadhaa kwa siku mbili napita ubungo junction mataa hayafanyi kazi na hakuna askari/traffic wa kuongoza magari. Yaani kila mtu anajieendea tu atakavyo.
Nawaza mbona mbona kama traffic lights nyingi zina back up ya solar system? Kulikoni kwenye vivuko vingi kwa sasa?
Watanzania tusihujumiane tafadhali
Eti nina wasi wasi shahidi anafundishwa majibu
Hapo ndio nikajua kua hata ishu ya mawakili wa jamhuri kutokuja na shahidi wakati utetezi walijiandaa kukutana na shahidi inaonesha wazi hilo lilikuwa planned pamoja na jaji
Wakidhani wangewapa taarifa mapema kina kibatala wangejipanga kuja na hoja nzito ambazo zingempa wakati mgumu jaji
Jaji lazima ataikubali iingieNa Jaji akaongeza kwa upole, "mbona mnanipa wakati mgumu"
Inaonyesha hii barua imewashtua Jaji na mawakili wa serikali.
Hii vita tutashinda tu. Mungu ni Mungu wa wenye Haki. Kamwe Hatoshindwa.
Wakafie mbali tu ata kwa ajali. Kuaibika hakutosh
Wambie na wakumbushe kuwa vita ya wanawake wanaogombea mwanaume ina viwanja viwili tu- jikoni na Kitandani- nje ya hapo ni kupoteza mda tu. Waache washinde humu na post za kejeri na matamanio- mwisho wa siku Mbowe atafungwa maisha.Dogo, maneno yenu na post zenu haziwasaidii chochote washtakiwa. Kama wana hatia au wakitiwa hatiani watautumia mtondoo tu!
Wacha waambuke mbele za wakwe sisi zetu duwa mdogo mdogo hoja zao zinawaumbua mbele ya kadamnasi.
Na Jaji akaongeza kwa upole, "mbona mnanipa wakati mgumu"
Inaonyesha hii barua imewashtua Jaji na mawakili wa serikali.
Wambie na wakumbushe kuwa vita ya wanawake wanaogombea mwanaume ina viwanja viwili tu- jikoni na Kitandani- nje ya hapo ni kupoteza mda tu. Waache washinde humu na post za kejeri na matamanio- mwisho wa siku Mbowe atafungwa maisha.
Dogo, maneno yenu na post zenu haziwasaidii chochote washtakiwa. Kama wana hatia au wakitiwa hatiani watautumia mtondoo tu!
It's your wish. Wewe nenda kapiganishwe Vita kitandani, JF hutufai.Wambie na wakumbushe kuwa vita ya wanawake wanaogombea mwanaume ina viwanja viwili tu- jikoni na Kitandani- nje ya hapo ni kupoteza mda tu. Waache washinde humu na post za kejeri na matamanio- mwisho wa siku Mbowe atafungwa maisha.
Sisi tunachoona ni kwamba Chavula yupo provoked. Amepanick, ameishiwa, ameona heri aharibu kesi kuliko kuendelea kubebeshwa aibu. Mungu ni mwema kila wakati.Wakili mwandamizi wa Jamhuri ya Tanzania, Mh. Chavula alichofanya ni kuwarejesha mawakili wa Mbowe kwenye methali maarufu na chungu inayohusu the principle of impartiality of the court'. Methali hii ya kizungu inasema: 'The court is not your mother to grant what is not pleaded or asked for!'
Na akaendelea kuwakumbusha mawakili hao wa Mbowe ambao wamegawanyika kwa sababu za kimasilahi, kwamba mahakama inayosikiliza kesi hiyo ni mahakama ya Jamhuri ya Tanzania na yeye ni wakili mwandamizi wa Jamhuri hiyo.
Akaendelea kuionesha mahakama kwamba mawakili wa Mbowe wameleta takataka wakiomba mahakama ipokee takataka hiyo kama kielelezo cha shaidi wao Ling'wenya. Yaani wanataka kuigeuza mahakama hiyo kuwa dampo la matakataka.
Congradulations sana Mr Chavula kwa kuleta hoja za kisomi mahakamani zenye mvuto badala ya blablaa na kelele za wale wa upande mwingine.
Hii nchi inahitajika katiba mpya haraka sanaMkuu wangu katika mazingira ya kawaida tusieelewane vipi? Mbona tunaelewana sote na si katika kesi ya Mbowe tu?
Hivi kweli, tunaweza tusielewane na nani au vipi kwenye kumnanga awaye yote kama huyu?
View attachment 2024897
Aisee kuna mahali nimesoma kwenye msaafu kwamba "waovu wote wanalaanika na vizazi vyao mpaka kizazi cha kumi". Ogopa sana kutenda maovu kwa kukusudia".Wapate ajali, gari iungue moto, waungue wabakie majivu, mvua kubwa inyeshe isombe majivu kusikojulikana, mateja waje waibe screpa za gari wakauze mbali, screpa ziyeyushwe zitengeneze visu, watoto wao na ndugu zao wanunue, kisha wafarakane wakatane na bisu hizo wakafie mbali
Haja panick bali amechoshwa na blablaa na makele ya akina Kibatala yasiyo ya kisomi cha sheria bali lenye lengo la kuchelewesha kesi ili waendelee kuvuta mpunga toka chadema. Hata Jaji inaelekea naye kawachoka na ameaanza kumdhibiti Kibatala na kelele zake. Mr Chavula kaamua kuanza kuwapa kisomo cha sheria. Wengi wamemuelewa (isipokuwa Kibatala) na wameanza kuongea lugha moja na kesi imeongezeka mwendo.Sisi tunachoona ni kwamba Chavula yupo provoked. Amepanick, ameishiwa, ameona heri aharibu kesi kuliko kuendelea kubebeshwa aibu. Mungu ni mwema kila wakati.
Hayo ni maomi yako.Haja panick bali amechoshwa na blablaa na makele ya akina Kibatala yasiyo ya kisomi cha sheria bali lenye lengo la kuchelewesha kesi ili waendelee kuvuta mpunga toka chadema. Hata Jaji inaelekea naye kawachoka na ameaanza kumdhibiti Kibatala na kelele zake. Mr Chavula kaamua kuanza kuwapa kisomo cha sheria. Wengi wamemuelewa (isipokuwa Kibatala) na wameanza kuongea lugha moja na kesi imeongezeka mwendo.
Wakili mwandamizi wa Jamhuri ya Tanzania, Mh. Chavula alichofanya ni kuwarejesha mawakili wa Mbowe kwenye methali maarufu na chungu inayohusu the principle of impartiality of the court'. Methali hii ya kizungu inasema: 'The court is not your mother to grant what is not pleaded or asked for!'
Na akaendelea kuwakumbusha mawakili hao wa Mbowe ambao wamegawanyika kwa sababu za kimasilahi, kwamba mahakama inayosikiliza kesi hiyo ni mahakama ya Jamhuri ya Tanzania na yeye ni wakili mwandamizi wa Jamhuri hiyo.
Akaendelea kuionesha mahakama kwamba mawakili wa Mbowe wameleta takataka wakiomba mahakama ipokee takataka hiyo kama kielelezo cha shaidi wao Ling'wenya. Yaani wanataka kuigeuza mahakama hiyo kuwa dampo la matakataka.
Congradulations sana Mr Chavula kwa kuleta hoja za kisomi mahakamani zenye mvuto badala ya blablaa na kelele za wale wa upande mwingine.