Kesi ya Mbowe: "Mahakamani si kwa Mama zetu"

Wambie na wakumbushe kuwa vita ya wanawake wanaogombea mwanaume ina viwanja viwili tu- jikoni na Kitandani- nje ya hapo ni kupoteza mda tu. Waache washinde humu na post za kejeri na matamanio- mwisho wa siku Mbowe atafungwa maisha.
Aahahahahahaha! Na vipost uchwara vyao havitamsaidia chochote!
 
Umeona popote tunaongelea msaada kwa mshitakiwa yeyote?

Jifunze kutumia lugha stahiki kuwasiliana na watu usiowajua.

Ya vijiweni baki nayo huko huko!
Ahahahahahahaha! Kama imekuuma Dogo, acha kupost! Ahahahahahahahah!!!
 
Aisee kuna mahali nimesoma kwenye msaafu kwamba "waovu wote wanalaanika na vizazi vyao mpaka kizazi cha kumi". Ogopa sana kutenda maovu kwa kukusudia".

Mkuu au utakuwa umesoma hapa?

"Nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha hao wanichukiao."

Kutoka 20:1 -->

 
Mbona umeandika kwa unyonge sana nini tatizo?
 

Kwamba?

"Wengi wamemuelewa (isipokuwa Kibatala) na wameanza kuongea lugha moja na kesi imeongezeka mwendo."

πŸ˜‚πŸ˜‚

Hiiiiii bagosha!
 
Ahahahahahahaha! Kama imekuuma Dogo, acha kupost! Ahahahahahahahah!!!

Tuache kupost kwa sababu ya vidampa wa vijiweni?

Kwani ignore list Mod waliweka ya nini? Au unadhani hatuijui kazi yake?

😁😁

 
Matata yuko vizuri, kuna kisu kingine kinaitwa Mtobesya hii combination inawapa tabu jamhuri wanajuta.

Hii kesi haionekani kutoka hapa ilipo salama.

Haya ndiyo yale wanaita "mkwamo."

Hapa ni mpaka kieleweke.
 
Mahakama ni kwa kina Kingai na kesi za gushi, wao na team mawakili wa serikali na majaji Ccm. Ushenzi kabisa huu.
 
Mawakili wa serikali wako pumped to the top na motivated na dharau za Kina Kibatala wanaodhani wanaadvantage over them while they are not- BRAVO mawakili wa serikali
 
The court is not your mother
 
Mahakama ni kwa kina Kingai na kesi za gushi, wao na team mawakili wa serikali na majaji Ccm. Ushenzi kabisa huu.

Tulipo mbona sasa watajua kumbe hawakujua 😁😁?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…