Kesi ya Mbowe na wenzake inaanika hadi 'mambo ya siri za nchi'. DPP hujachelewa kuifuta

Mzee Tupa Tupa Acha inyeshe ili tujue panapovuja! all in all Kingai, Afande anayeitwa Goodluck na Mahita.. Hawa watu wanatakiwa wawekwe chini ya Ulinzi haraka!
 
Mfalme Nebukadineza wa Babel alipomkosea Mungu kama mtawala Mungu alimpeleka porini ambako aliishi Kwa Kula nyasi na kutembea kama ng`ombe. Hivyo Mungu huwaadhibu watawala wasiotenda haki kwa wakati wake.
Alimfanya akaishi Kondeni kama Hayawani.

Mungu ni mkali wa kuadhibu kama alivyofanya Tar 17 machi
 
Hiyo kesi iendelee kwa sababu imegeuka kuwa darasa kubwa la Elimu ya Uraia na haki za Binadamu; imeweka bayana maovu ya jeshi la polisi! Kesi iendelee ili watawala wajue kwamba hawajui! Walichodhamiria kummaliza Mbowe na CDM sasa kimezua aibu kubwa kwa serikali ya JMT, kesi iendelee, kama wanajeshi wataamua kuweka mambo sawa, basi naiwe hivyo tu! Hali hii haiwezi kuruhusiwa kuendelea bila kikomo! Kesi iendelee! Pumzika kwa Amani William Ole Nasha. #MboweSioGaidi #FreeChrisCyrilo
 
Acha kesi isikilizwe kumbe nchi hii yetu ina mambo yakikatili sana kiasi hicho nimesikitika sana
 
nimewahi kusema humu only in Tanzania unaona Komandoo anafukuzwa kazi tena mtu anauzoefu mkubwa wa vita ,then anajitafutia ajira binafsi anakamatwa na kuteswa na polisi.ukiangalia kilichomfukuzisha kazi ni mausuala ya kisaikolojia kutokana na kazi yake .
 
Polisi ni mtu anae aminiwa kuleta amani katika jamii. Mtaani mkiishi na polisi hawezi kwenda dukani, watoto wote wana fahari ya kutumwa dukani na polisi.

Sasa unapoona au kusikia baba/kaka yako anarudi nyumbani anachechemea baada ya kuchukuliwa na polisi. Vijana watapoteza mapenzi na jeshi la polisi.
 
Siro an aushaushshidi. Mbowe sio malaika. As per Siro
 
Huyo gaidi anatupotezea muda afungwe haraka miaka 50
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…