Kesi ya Mbowe na wenzake inaanika hadi 'mambo ya siri za nchi'. DPP hujachelewa kuifuta

aliye - engineer haya yote ni Mzee wa kutoboa watu misumari chini na ulinzi wa mwendazake. hii nchi kuna watu wameumizwa saaaana.
 
Yaani vijana wa Sirro wanawashughulikia vijana wa Mabeyo?

Maisha yanaenda kwa kasi sana..

Enzi zetu tulishuhudia Polisi wakijishusha mbele ya JWTZ.

Kama haya yametokea kweli, sasa naamini kinachosemwa kwenye kuchelewesha taarifa za msiba wa Meko.... lazima kuna jambo lilikuwa linapangwa
 
Polisi wanaposhughulika na muhalifu hawaangalii wewe ni nani bali wanafuata sheria inavyoelekeza.

RIP Ole Nasha
You are very right...

Lakini, katika scenario hii, polisi wala hawashughulikii uhalifu bali wanawatengenezea watu makosa ili wawapake "mavi" ya uhalifu ili waonekane ni wahalifu na kisha wapewe hukumu isiyo haki...

Hiki ndicho kinachotokea sasa...
 
Kama ndipo ilipofikia na hatujui yajayo, itoshe kusema umetoa ushauri/maoni mazuri yanayohitaji kufanyiwa kazi na wahusika iwapo kama ni kesi isiyokuwa na mashiko na labda haikustahili kuwepo.
 
Tatizo polisi hawana accountability kwa mabaya wanayotenda,mpaka sasa ilitakiwa walalamikiwa wa utesaji huo wawe wamesimamishwa kazi pending uchunguzi wa tuhuma dhidi yao . Toka Magufuli alipochukua uongozi kumekua na malalamiko mengi ya raia dhidi ya polisi lakini hakuna hatua stahiki zimechukuliwa kurekebisha hili tatizo.
 
Kama ndipo ilipofikia na hatujui yajayo, itoshe kusema umetoa ushauri/maoni mazuri yanayohitaji kufanyiwa kazi na wahusika iwapo kama ni kesi isiyokuwa na mashiko na labda haikustahili kuwepo.
Wandaaji wote wa mpango huu wawajibishwe haraka iwezekanavyo. Tukianza na Kingai pamoja na Mahita. Vinginevyo kesi iendelee wazidi kuanikwa.
 
Jwtz imekuwa ya wachumba?
 
Acheni uoga mmezidi kutishia uhai viongozi wa nchi. Huyu au yule akifanya hivi mnamtishia kifo. Saiv mmetulizwa kimyaaaaa sijaona tena vitisho kwa ndungai wala mama Samia. MLIZIDI MKOME
 
Watu huku tunasubiri kwa hamu hukumu......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…