Kesi ya Mbowe na wenzake inaanika hadi 'mambo ya siri za nchi'. DPP hujachelewa kuifuta

Sheria zipi ambazo wanazifuata ikiwa PGO ambayo ndio msaafu wao mkuu hawajui hata unafafananaje? Polisi wengi wanafanya kwa mazoea. Aghalabu kesi hii itawaamusha na kupitia walau hata page 3 za PGO, ili yasiwakute yaliyomkuta Boss wao!!
Hii ndio faida kwao nadhani

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe polisi kuzuia watu wasiingie CHADEMA MKaona ni haki kuingia.haya sasa hakimu azuie tu raia wasiingie
 
Pamoja na kwamba kesi inavyozidi kuendelea, ndivyo Mbowe anaendelea kuteseka, lakini kwaajili ya kuwafanya wananchi tujue uovu wa polisi, ni aheri DPP asiifute hiki kesi, iachwe ifike mwisho. Hukumu ya kesi ifanywe na mahakama ili maharamia wote ndani ya jeshi la polisi, na ukweli kuwa polisi inafanya kazi kama kikundi cha kigaidi, vifahamike wazi.

Na baadaye wananchi tuendelee kupiga kelele ili wale wauaji wa ndani ya jeshi la polisi wafikishwe mahakamani.
 
Unadhani Kuna mwanajeshi atafukuzwa akwambie tatizo???
Hata kusikia walifukuzwa tumesikia hapo mahakamani.

Japo mpaka Sasa sijajua urio kaingiaje kwenye hii saga na kuwa mhalifu Tena,hii kesi inawezafunua mambo mazito,ambayo hakuna mtu alikuwa anayajua.

Acha tuongeze maji maharage.
 
Kama kuna jamba jema ambalo watanzania tunaomba litokee niJWTZ kuishughulikia polisi. Police have no manners at all. Limegeuka kuwa genge/idara ya chama tawala
 

Jana tarehe 27 September 2021
Inadhihirika kuna jambo zito lilipangwa, kesi hii ya kutunga ilipangwa kufunika jambo. Ndiyo maoni ya kijiwe chetu kuhusu yaliyojiri mahakamani tarehe 27 September 2021. πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

NINI KILIKUWA KINAENDELEA JESHINI?
Je ndani ya jeshi kulikuwa na fukuto kuhusu mustakabali wa nchi kuendelea kutawaliwa na CCM?

Hii kesi inaibua mengi mtambuka kuhusu wanajeshi kuwekwa mahabusu na kuteswa

Shahidi: Siku inayofuata nikiwa kwenye Cello siku inayofuata nikasikia Kilio, nikachungulia Kule Nyuma nikaona watu niliiokuwa nao Depo JKT , TPDF na 92KJ Komandoo (Wadepo wangu)

 
Kama kuna jamba jema ambalo watanzania tunaomba litokee niJWTZ kuishughulikia polisi. Police have no manners at all. Limegeuka kuwa genge/idara ya chama tawala
Si rahisi kama unavyofikiri,haya mambo yataishia kufurahisha watu jf kama ndoto tu.
 
Hii kesi ina mambo mengi. Afadhali tumepata kuyajua.
 
CCM mtaumbuka tu.
 
Mbowe hateseki. Yule ni Mwenye Haki anaishi kwa Matumaini kama Bwana Wa Majeshi Aishivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…