Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi yaahirishwa. Kuendelea Jumatatu ya tarehe 27/09/2021

Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi yaahirishwa. Kuendelea Jumatatu ya tarehe 27/09/2021

Kama Mtanzania mwenye Moyo nimeumizwa sana na yale niliyoyasikia Mahakamani leo.

Kwa yanayoendelea kwenye kesi ya Mbowe na
wenzake itoshe tu kusema Wanzania tuwe makini sana na Polisi wetu.

1. Kuna kuwekewa madawa ya kulevya

2. Kupewa kesi ya UGAIDI

3. Kuchukuliwa pesa zako mfukoni.

4. Mateso ya KINYAMA.

5. Kushinda na NJAA hali ya kuwa mahabusu.

Polisi sio watu tena wa kulinda RAIA NA MALI ZAO BALI NI KUTESA RAIA NA KUCHUKUA MALI ZAO.

SIASA SIASANI...
Tumeshasema ukiingia ndani ya 18 za polisi lazma uage kwenu Mana uhakika wa kurudi unakuwa mdogo
 
Jamaniii
Yaani hawa polisi sio wanadamu kabisa... Its touching kumfanya mwenzako kama mnyama. Ndio maana Kingai kamwambia Mh Mbowe nakupa kesi ya ugaidi?? Maana alisha iandaa.. Mungu amlaani Kingai na kizazi chake hadi cha kumi. Mbwa kabisa huyu
Kingai ni JAMBAZI kabisa yule, akiwa kwenye sare rasmi za serikali ya CCM.
 
Leo kesi ya Mbowe iliendelea mahakama ya uhujumu uchumi.

Shahidi namba 4 wa serikali ameingia mitini na jamuhuli wameondoa huo ushahidi.

Gafra ndo akasimamishwa Mtuhumiwa, ambae alikuwa mlinzi wa Mbowe, Ni komando aliyehudumu kwenye operation uko DRC, kwenye kuondoa waasi wa MaiMai.

Jamaa kaelezewa alivyoteswa na Kingai na Ispecta Mahita, yaani alipigwa Sana, alichomwa bisibisi matakoni na kwenye Mbavu, alifungwa na kuninginia Kama mnyama.

Sasa huyo jamaa alivyo komando akiachiwa si hatari kwa waliomtesa kina Kingai,Mahita na Familia zao.

Jamani tutende wema
 
K
Leo kesi ya Mbowe iliendelea mahakama ya uhujumu uchumi.

Shahidi namba 4 wa serikali ameingia mitini na jamuhuli wameondoa huo ushahidi.

Gafra ndo akasimamishwa Mtuhumiwa, ambae alikuwa mlinzi wa Mbowe, Ni komando aliyehudumu kwenye operation uko DRC, kwenye kuondoa waasi wa MaiMai.

Jamaa kaelezewa alivyoteswa na Kingai na Ispecta Mahita, yaani alipigwa Sana, alichomwa bisibisi matakoni na kwenye Mbavu, alifungwa na kuninginia Kama mnyama.

Sasa huyo jamaa alivyo komando akiachiwa si hatari kwa waliomtesa kina Kingai,Mahita na Familia zao.

Jamani tutende wema
Kwa hiyo unataka kusemaje?
 
Leo kesi ya Mbowe iliendelea mahakama ya uhujumu uchumi.

Shahidi namba 4 wa serikali ameingia mitini na jamuhuli wameondoa huo ushahidi.

Gafra ndo akasimamishwa Mtuhumiwa, ambae alikuwa mlinzi wa Mbowe, Ni komando aliyehudumu kwenye operation uko DRC, kwenye kuondoa waasi wa MaiMai.

Jamaa kaelezewa alivyoteswa na Kingai na Ispecta Mahita, yaani alipigwa Sana, alichomwa bisibisi matakoni na kwenye Mbavu, alifungwa na kuninginia Kama mnyama.

Sasa huyo jamaa alivyo komando akiachiwa si hatari kwa waliomtesa kina Kingai,Mahita na Familia zao.

Jamani tutende wema
Kwani hao waliomtesa siyo makomandoo?
 
Nimependa sana huyo shahidi mtuhumiwa alivyotoa ushahidi wake bila maandalizi yoyote, amesimamishwa ghafla tu, lakini kwa sababu anachosema ni kweli tupu hajajichanganya popote, ametoa ushahidi wake very straight forward.
 
Nimependa sana huyo shahidi mtuhumiwa alivyotoa ushahidi wake bila maandalizi yoyote, amesimamishwa ghafla tu, lakini kwa sababu anachosema ni kweli tupu hajajichanganya popote, ametoa ushahidi wake very straight forward.
Tunatofautiana uelewa..binafsi naona jamaa kajichanganya sana.ndio maana wakili wa serikali amepata muda wa kumuuliza maswali mengi sana.
 
Back
Top Bottom