ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
DADA,Mwambieni Mbowe aombe msamaha kwa mke wake. Miaka yote anamcheat mkewe na wanawake wa viti maalum mpaka kuzaa nao. Mungu hafurahi. Ndo maana anapatwa na haya. Walau Lilian ana uhakika mmewe alipo (Jela).Mbowe hapa hachomoki.
Tulia wewe subiri najua kuna Mabalozi walikuwa kwenye huo mpango wanakuja mahakamani ku intimidate mashahidi na watuhumiwa wasije kuwataja wakamwaga hadharani kila kitu. MABALOZI HAO wamepanick ndio maana unawaona mbio mahakamani Hii kesi wana woga nayo kuwa Pandora box yaweza funguliwa ndio maana wanamtolea mimacho kila aongeaye mahakamani awe mtuhumiwa au mashahidi wako so desperateHawa mabalozi watatunyoa bila maji, Mama Samia wafukuze au muachie mbowe. Tunatafuta makubwa
Kule hazijipangi.Post ya mwisho ndiyo inakuwa ya kwanza.Ingia twitter kwa martin M.M
Mhu!Ukifuatilia hao makomandoo wanatoka mikoa ya kusini ambako tuliona ugaidi ukiwa umepamba moto na Chadema kupitia Mbowe waliunga mkono sana harakati zile bungeni na press conference zao hata kuaga askari kibao waliouawa na magaidi hawakutokea kuaga
Mabalozi waweza anza ku connect dots. pia hao commando ni waislamu kama wale waliosumbua mikoa ya kusini na msumbiji
huna akili.Sasa kizeee humu unatafuta nini?? Si ukavute ugoro au gozo??
Kahongwa hela nini? Hivi anajua kama kasema uongo mahakamani ni kosa? Hakuiona hiyo hati ya mashtaka kabla kupanda kutoa Ushahidi au? Kama Hakuiona kwa nini hakuiomba kabla ya kupanda kutoa Ushahidi?Kingai kama kingai ,ndio muone sasa kwanini hawatakagi hawa jamaa waendage shule, yaani jamaa kabeba manyota mabegani kumbe kichwani mweupeeee maskiniiii, Ogopa sana hawa jamaa wanaopanda vyeo kwa ndumba wakiwekwa peupe kama leo mbele ya mabeberu mabalozi wanaharisha tu, sipati picha kamanda Zirro nayeye akipanda pale atahara mpaka mambo ya hamza na wazazi wake ambayo hata hayapo na hayahusiki
... ukiwakuta kwenye masemina yao mgeni rasmi sijui mkuu wa nchi wamechafuka manyota ya kutosha mabegani na mayunifomu yao very smart utadhani hawa ndio watu! Kumbe looh! Vichwani ni weupe haswa! CCM wanawajulia haswa! Na wanawatumia wapendavyo!Kingai kama kingai ,ndio muone sasa kwanini hawatakagi hawa jamaa waendage shule, yaani jamaa kabeba manyota mabegani kumbe kichwani mweupeeee maskiniiii, Ogopa sana hawa jamaa wanaopanda vyeo kwa ndumba wakiwekwa peupe kama leo mbele ya mabeberu mabalozi wanaharisha tu, sipati picha kamanda Zirro nayeye akipanda pale atahara mpaka mambo ya hamza na wazazi wake ambayo hata hayapo na hayahusiki
.... ukiwakuta kwenye masemina yao mgeni rasmi sijui mkuu wa nchi wamechafuka manyota ya kutosha mabegani na mayunifomu yao very smart utadhani hawa ndio watu! Kumbe looh! Vichwani ni weupe haswa! CCM wanawajulia haswa! Na wanawatumia wapendavyo!
Na kituko haswa sasa anasema kuna drugs aliwakuta nazo hauoni hawa jamaa ni debe tupu. Hii kesi ingekuwa live na TV zetu watanzania wangejionea vituko vya polisi wetu na wanasheria wa serikali.Nimekumbuka Lissu, alisema huyo shahidi wa kwanza ni kituko...
"Weupe au weusi" wa mhojiwa ni suala la maono ya mhojaji na msikilizaji; kwa mantiki hiyo siwezi kukupinga au kukubali haya maono yako ambayo yanaweza kuwa yanasukumwa na mambo mengi ikiwa ni pamoja na political inclination na upbringing yako. Twendeni tu tutafika, tena SALAMA!Kwa Hangaya tumepigwa big time
Stress zimekujaa. Huwezi andika bila kutusi.Nipe number yako walau nikuwezeshe elfu 50 ukanunue pepsi hapo kwa muha.
Twasubiri kwa hamu sana kukuona nawe ukitoa huo ushahidi wako pamoja na vielelezo vyako.Lisu mwenyewe na Lema walitoroka baada ya kushirikisha akina mama mpango wa kulipua vituo vya mafuta nk akina mama wakasema no watakaoumia ni wanawake wenzetu na watoto wakaripoti kunakohusika. LEMA HANA HAMU NA Tanzania akakimbia akamwambia Lisu tumekwisha akina mama Chadema wamechoma mpango mzima vyombo Vya dola tumekwisha. LISU AKAKIMBILIA UBALOZINI NA MBIO ULAYA
HONGERENI AKINA MAMA BAWACHA CHADEMA KWA KAZI KUBWA MLIFANYA
Nchi hii magaidi hayana nafasi yawe CCM au Chadema au popote
Aiyeshitakiwa Mbowe wewe unaiingizaje Chadema?Twasubiri kwa hamu sana kukuona nawe ukitoa huo ushahidi wako pamoja na vielelezo vyako.
Kinyume chake mtahangaika sana bila mafanikio 'kummaliza' Mbowe na CHADEMA, na mtaishia tu kwenye staili zenu za kulazimisha kama wa aina yenu Makaburu SA na RWANDA ya Kagame.
wakuu fuatilieni hii kesi ndogo baada ya ile ya msingi kusimama kwa muda - ni tamu balaa!! njia ya mwongo huwa haifiki mbali.
Hapo mbowe ameniacha hoi eti home boy ,alitakiwa atafute mtu anayemfaham Sana , makomandoo wasio waadilifu wapo wengi Sana , DK Lilian amsamehe yaisheOna alivyoingia king kizembe. Nini kilimtuma kumwamini yule mwanajeshi hata kama ni home boy. Ona sasa alivyomuuza too sad. Hope huyo Denis alikuwa anamrecord. Hapo ndo Mbowe kwisha habari yake.
Hayo yanawezekana tafuta kitabu cha kesi ya Hans pope na wenzake walivyotaka kumpindua Nyerere utagundua kituShahidi;Afande Boazi alimshauri Dennis Urio, aendelee kutoa ushirikiano na kushirki vitendo hivyo lakini aendelee kuripoti vitendo hivyo polisi
Duu japo mimi si mwanasheria mpaka hapo mbona gaidi ameshajulikana... hivi unaweza kuletewa taarifa ya uhalifu kupangwa kufanyika mahali na kiongozi akashauri fanyeni halafu ulete taarifa?