Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi ACP Ramadhani Kingai afunguka upande wa Jamhuri

Ni hisia zako tu.
 
Mimi ninasema laana ndo imesababisha hii kesi impate. Tunaongelea Mbowe. Mimi naingiaje hapa ?
 
Hiyo ni pigo kutoka kwa
Mungu.
Mungu yupi unayemjua wewe? Usimuingize Mungu katika kutetea hoja Yako ya kijinga! Ungekuwa mke wa Mbowe uliyemtaja hapa ungejisikiaje? Mmefanikiwa kumtenga Mme wake na familia na Bado unamfanyia psychological torture bila aibu! Unafaidikaje na hiyo torture unayomfanyia? Acha kabisa huo uduwanzi wako!
 
Hawajifunzi tu kwa mwendazake?
 
Mwambieni Mbowe aombe msamaha kwa mke wake. Miaka yote anamcheat mkewe na wanawake wa viti maalum mpaka kuzaa nao. Mungu hafurahi. Ndo maana anapatwa na haya. Walau Lilian ana uhakika mmewe alipo (Jela).Mbowe hapa hachomoki.
Unamzungumzia mungu yupi? Yule wa Trump au jiwe?
 
Ili kuokoa muda na gharama wampige maisha tu tuishi kwa amani, mbona yule mwingine walimrip dasta tu? Hakuna kubembeleza hawa watu fyekelea mbali
Hatujifika kiwango cha Korea ya Kiduku, kaa kwa kutulia na kitulize.
 
Kwa sababu Mbowe alisingizia kashambuliwa na wasiojulikana,kumbe ukweli ni alianguka kwenye ngazi akiwa kalewa akitokea kwa mchepuko wake unaoitwa Joyce mukya.
Were you there with them? Yaani una ng'ong'o mbaya wewe mwanamke! Hujitambui na huna ulijualo kumhusu Mbowe na huyo Mukya zaidi ya kusikia Kwa wambeya wenzako wanaokulisha matangopori! Bora usome comments za wenzako wanaojitambua kwani huna utakachopoteza! Kwa ufupi wewe ni shetani anayewatoa watu wa Mungu waliozama kuijadili kesi ya Mbowe kwenye mjadala wa kesi hiyo Kwa manufaa ya wanaokulisha!
Hutofanikiwa kutoa kwenye mjadala huu zaidi Sana utaaibika na waliokutuma!
 
did you got a chance to see the inside of a classroom pls?kweli tz ujinga umejaa
 
Acha kuwanga na kudanga humu? Yale yaliyokukuta wewe kuachiwa katikati ya vikao vya harusi yaliyotokana na Nini?
Huyu Dada amezidi Sana, hebu tudadavulie ya kwake maana anaweza kudhani dunia yote ni yake na yeye ni mmoja wa malaika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…