Ni hisia zako tu.Ukifuatilia hao makomandoo wanatoka mikoa ya kusini ambako tuliona ugaidi ukiwa umepamba moto na Chadema kupitia Mbowe waliunga mkono sana harakati zile bungeni na press conference zao hata kuaga askari kibao waliouawa na magaidi hawakutokea kuaga
Mabalozi waweza anza ku connect dots. pia hao commando ni waislamu kama wale waliosumbua mikoa ya kusini na msumbiji
Mimi ninasema laana ndo imesababisha hii kesi impate. Tunaongelea Mbowe. Mimi naingiaje hapa ?Kuna kitu hakipo sawa kichwani kwako
Una tatizo kubwa la saikolojia sana sana, Kama ndoa yako haipo sawa usipanic, Kama ulilelewa na mzazi mmoja kosa sio lako Tulia,
Wewe sio wa kwanza kwenye mahusiano au malezi pungufu
Ukiendelea kuyafikiria hayo mambo utazidi kuchanganyikiwa, Dalili moja wapo ndio hii unayoonyesha hapa JF
uzi ni wa kesi, Wewe unaongelea mambo ya mke, Ni hatari sana
Pole kwa matatizo, Jitahidi kulala na kupumzika
Mungu yupi unayemjua wewe? Usimuingize Mungu katika kutetea hoja Yako ya kijinga! Ungekuwa mke wa Mbowe uliyemtaja hapa ungejisikiaje? Mmefanikiwa kumtenga Mme wake na familia na Bado unamfanyia psychological torture bila aibu! Unafaidikaje na hiyo torture unayomfanyia? Acha kabisa huo uduwanzi wako!Hiyo ni pigo kutoka kwa
Mungu.
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Hii kesi ipo kumharibia Hangaya tu,na sijui kama mwenyewe ameshaistukia.
Tulia wewe mama. Kesi bado inaendeleaUmeanza kuleta taarifa za kipuuzi kiasi hiki? Yaani kukojoa ni jambo la kujadiliwa Jukwaa la siasa JF? Stop this nonsense!
Hawajifunzi tu kwa mwendazake?Mungu yupi unayemjua wewe? Usimuingize Mungu katika kutetea hoja Yako ya kijinga! Ungekuwa mke wa Mbowe uliyemtaja hapa ungejisikiaje? Mmefanikiwa kumtenga Mme wake na familia na Bado unamfanyia psychological torture bila aibu! Unafaidikaje na hiyo torture unayomfanyia? Acha kabisa huo uduwanzi wako!
Unamzungumzia mungu yupi? Yule wa Trump au jiwe?Mwambieni Mbowe aombe msamaha kwa mke wake. Miaka yote anamcheat mkewe na wanawake wa viti maalum mpaka kuzaa nao. Mungu hafurahi. Ndo maana anapatwa na haya. Walau Lilian ana uhakika mmewe alipo (Jela).Mbowe hapa hachomoki.
ccm imejaa mashetaniNa kule upande wa pili Hangaya anahubiri demokrasia kwa wanawake wa shiishiiemuu, Only in Tanzania. Baadaye balozi zikifunga ofisi mnalalamika wakati hao ndio wanawapa hadi hela za ARV na Condoms, shame
Hatujifika kiwango cha Korea ya Kiduku, kaa kwa kutulia na kitulize.Ili kuokoa muda na gharama wampige maisha tu tuishi kwa amani, mbona yule mwingine walimrip dasta tu? Hakuna kubembeleza hawa watu fyekelea mbali
Were you there with them? Yaani una ng'ong'o mbaya wewe mwanamke! Hujitambui na huna ulijualo kumhusu Mbowe na huyo Mukya zaidi ya kusikia Kwa wambeya wenzako wanaokulisha matangopori! Bora usome comments za wenzako wanaojitambua kwani huna utakachopoteza! Kwa ufupi wewe ni shetani anayewatoa watu wa Mungu waliozama kuijadili kesi ya Mbowe kwenye mjadala wa kesi hiyo Kwa manufaa ya wanaokulisha!Kwa sababu Mbowe alisingizia kashambuliwa na wasiojulikana,kumbe ukweli ni alianguka kwenye ngazi akiwa kalewa akitokea kwa mchepuko wake unaoitwa Joyce mukya.
Mbona hayakumpata jiwe?But yote hayo yanampata kutokana na alichomfanyia mkewe.
Acha kuwanga na kudanga humu? Yale yaliyokukuta wewe kuachiwa katikati ya vikao vya harusi yaliyotokana na Nini?Biblia inasema usimwache mke wa ujana wako. Ona sasa yanayomkuta.
Naanza na mama yakoEndelea kunyonya mshedede dada...
Dada mbona unawivu Sana na Mbowe au alikupitiaga na weweKwa sababu Mbowe alisingizia kashambuliwa na wasiojulikana,kumbe ukweli ni alianguka kwenye ngazi akiwa kalewa akitokea kwa mchepuko wake unaoitwa Joyce mukya.
Ingekuwa ni Kenya, kesi hii ongekuwa live kwa radio na television. Ila kwa Bongo!!!!Waandishi wa habari na wanaJamiiForums, kesi hii ina manufaa mapana kwa umma na wadau wa Maendeleo. Tuendelee kuifuatilia kwa umakini.
did you got a chance to see the inside of a classroom pls?kweli tz ujinga umejaaAwamu hii kwakua mh.rais Yuko nao wazungu bega kwa bega na chanjo zao amepokea,kesi ya mbowe Wala haina hata mashiko.Yale ma NGO yote yaliyokua yanapiga kelele kipindi Cha mwendazake saivi yote kimya,vile vijarida uchwara vilivyokua vinakemea uvunjwaji wa haki za binadamu kipindi Cha mwendazake vyote kimya.
Wapinzani na wao wenyewe kimya.Sasa mbowe ameachwa peke ake,amakweli ukijua kula na wazungu raia hata wateseke vipi hakuna ata anaejari
Unesomea ualimu Tandabui teachers college unajua nini kuhusu sheria? Wewe fundisha watoto 'what is goegraphy'! Shenzi!Huyu jamaa akichomoa hii kesi anapaswa kwenda kutambika!
Huyu Dada amezidi Sana, hebu tudadavulie ya kwake maana anaweza kudhani dunia yote ni yake na yeye ni mmoja wa malaikaAcha kuwanga na kudanga humu? Yale yaliyokukuta wewe kuachiwa katikati ya vikao vya harusi yaliyotokana na Nini?
Msameheni jamaniHuyu Dada amezidi Sana, hebu tudadavulie ya kwake maana anaweza kudhani dunia yote ni yake na yeye ni mmoja wa malaika