Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi ACP Ramadhani Kingai afunguka upande wa Jamhuri

Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi ACP Ramadhani Kingai afunguka upande wa Jamhuri

Umeanza kuleta taarifa za kipuuzi kiasi hiki? Yaani kukojoa ni jambo la kujadiliwa Jukwaa la siasa JF? Stop this nonsense!
Watu wanataka habari rojorojo, vipi tena ndugu yangu- Isidingo lazima iendelee... au hutaki ?
 
Aliomba akakojowe kwanza wakati anaulizwa na kibatala maswali
Na aliombaje kwenda kukojoa wakati mahakama ilikuwa kwenye mapumziko wakati wa lunch , au wakati huo afande yeye hayo maliwato hakuyajua?
 
Most people who seek power are lunatics by nature...hawafikirii kabisa kwa sababu hawana ubongo wa kufikiria makubwa kwa wengine ndio maana wanajaribubsana kumshusha huyu mama zaidi ya kuwaza ya kwao, how to win, how to conquer, how to steal, how to kill, how to jail sb, without knowing how to cover up...useless selfish dh. Its so sad this issue is still dragged up, kuna watu ambao wanaapia kabisa kumuharibia mama katika uongozi wake kwa sababu ya hila zao wapate madaraka
 
Pure civilian Kama wewe utajua nn mambo ya kupambana na ugaidi zaidi ya kuwaza tozo tu

USSR
Mikogo ya kitoto sana. Kwa zamani ingeweza kufaa hasa kwa wale walio chekechea. Jaribu tena
 
Jaji anahukumu kutokana na yale aliyoyasikia mahakamani na vielelezo vilivyotolewa. Naona kama upande wa serikali unaushahidi mzuri wakati upande wa utetezi unaegemea kwenye kamati ya ufundi zaidi- TAFUTENI MGANGA MZURI AU MWENDE KWA MZEE MPILI
Umekosea...

Mahakama inahukumu kwa ushahidi thabiti na USIO ACHA CHEMBE YA SHAKA LOLOTE...

Sasa kama huyu shahidi namba moja Wa upande wa mashitaka ambaye dakika ya kwanza tu ya mchezo anabanwa mavi na mkojo, unadhani itakuwaje kuanzia dakika ya 10 na kuendelea...?
 
Jaji anahukumu kutokana na yale aliyoyasikia mahakamani na vielelezo vilivyotolewa. Naona kama upande wa serikali unaushahidi mzuri wakati upande wa utetezi unaegemea kwenye kamati ya ufundi zaidi- TAFUTENI MGANGA MZURI AU MWENDE KWA MZEE MPILI
Upande wa Mashitaka/Jamuhuri wakiishamaliza kuwaongoza mashahidi wao kutoa maelezo yao huwa sio mwisho wa kesi, ni hatua ya kwanza. Sasa itakuja zamu ya Mawakili wa utetezi, kuwahoji hao mashahidi. Jitahidi kuwa na subira.
 
Mh..
Screenshot_20210915-225315~2.jpg
 
Fcuking utopolo huu..
Na ulitengenezwa na yule mfu wa chato(#siomkoa), na hii kesi ilipangwa zamani kijingajinga bila ya kichwa wala miguu na yule ngozi ya makende 7ya waliomtoa kafara ya kiini macho.....
 
Back
Top Bottom