Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi ACP Ramadhani Kingai afunguka upande wa Jamhuri

Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi ACP Ramadhani Kingai afunguka upande wa Jamhuri

Visivyo na tija vya hovyo ndivyo serikali ya ccm inavipenda ikitoka hapo inaenda kuomba msaada vya vyoo vya shule.
Nyerere ulibugi Sana kudai UHURU.
Mara utasikia DPP hana nia ya kuendelea na kesi.Mda wa kudili na mbowe kwa ushahidi wa kuokoteza si mngeutumia kuhamasisha kumaliza tatizo la vyoo mashuleni?
Well said
 
Hu

Hujui kuwa haraka haraka haina baraka. Waache wanaojua sheria wafanye kazi hii siyo ngoma ya kigodoro.

ndio haya mawazo ya “waachieni wataalam”
ikigundulika wamechemka “waacheni wapumzike”

mawazo ya kichina, kikomunisti, ki fashisti
 
Surely at the end of this marathon "case" we shall know if this court is actually independent or a mere kangaroo one owing to the fact that the regime has a lot at stake to win or lose in this "case".
 
..
Screenshot_20210917-125718~3.jpg
 
Back
Top Bottom