ukisikia intelijensia ndio hiyo mkuu.Shahidi;Afande Boazi alimshauri Dennis Urio, aendelee kutoa ushirikiano na kushirki vitendo hivyo lakini aendelee kuripoti vitendo hivyo polisi
Duu japo mimi si mwanasheria mpaka hapo mbona gaidi ameshajulikana... hivi unaweza kuletewa taarifa ya uhalifu kupangwa kufanyika mahali na kiongozi akashauri fanyeni halafu ulete taarifa?
Huyo NDUGU anatakiwa kuhurumiwa.Kwakweli yani takataka la lumumba linajiona lina akili kuliko mabalozi matajiri wa huko Scandinavian countries ambao hata dawa zake za maukimwi wanatoa wao.
Mmh,magidi na kete za heroine??? Haya ngoja tuone!!
Kibatala lazima amko..jo..ze huyu KingayaiUkicheki mtiririko wa maelezo ya ushahidi wa huyu shahidi namba mbili, mtu aweza kugundua bila shaka yeyote kuwa hakukuwa na tukio hilo analolitolea ushahidi...!!
Maelezo yake yako shaghala baghala kuonesha kuwa ni tukio kutengenezwa kwa kusudi maalumu na kutupiwa waliomlenga. Na aliyelengwa ni Mbowe...
Kuthibitisha hili, subirini mtaona namna atakavyojichanganya ndani ya 18 ya cross examination ya ushahidi wake toka upande wa mawakili upande wa utetezi...!
Huyu atajuta vibaya sana ngoja ifike zamu ya Kibatala kumjambisha.Kibatala lazima amko..jo..ze huyu Kingayai
Alikugaidia mamayo na babayo ndio maana mpaka sasa hunalakusema vizuri.kwahiyo tanzania magaidi tuyaangalie tu kisa watafunga balozi zao? mbowe ni gaidi
Absolutely, atakojoa kwa sbb huyu lazima ashindwe kuutetea ushahidi wake..Kibatala lazima amko..jo..ze huyu Kingayai
Wanataka kujihakikishia mtuhumiwa anavuna alichokipanda!!Tutaelewana tuu
Kuna watu wanatumika vibaya kama dume kondom, atavuna aibu huku waliomtuma wanagonga wineHuyu atajuta vibaya sana ngoja ifike zamu ya Kibatala kumjambisha.
Hangaya ni hangaya tu lazima afedheheshwe na ujinga huuNacheka mie hiyo kesi ya ugaidi, I wish siku ya mahojiano na kikeke hangaya asingelizungumzia hili suala litamtia aibu
Hangaya alishasema hao wanehukumiwa, kumbe kesi hata badoNacheka mie hiyo kesi ya ugaidi, I wish siku ya mahojiano na kikeke hangaya asingelizungumzia hili suala litamtia aibu
Nilikuwa na Majukumu fulani ndani ya Mahakama hiyohiyo , asante kwa uzi makini
Bado najiuliza huyu hangaya yeye hana akili ya kujua kuwa hili baya au hili zuri?Hii kesi ipo kumharibia Hangaya tu,na sijui kama mwenyewe ameshaistukia.
Kwa Hangaya tumepigwa big timeBado najiuliza huyu hangaya yeye hana akili ya kujua kuwa hili baya au hili zuri?
Alipohojiwa siku ile BBC niliona wazi kuwa ni mweupe sana