Nenda tweeter mtafute mtu anaitwa MI MARTINYaani natafuta kweli taarifa ya hiyo kesi ndogo. Ukipata nitag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda tweeter mtafute mtu anaitwa MI MARTINYaani natafuta kweli taarifa ya hiyo kesi ndogo. Ukipata nitag
ukisikia intelijensia ndio hiyo mkuu.
mnaandamana nao
mnapanga nao
mnaiba nao
mnawanga nao
mnakula nao
mkiagana wanakwenda polisi.
mahakama inawajua,na wana kinga maalumu,jinchanganye kuwafuata.a
Sina passport ya kuingia nchi ya Tweeta tusaidieni mlete huku.Nenda tweeter mtafute mtu anaitwa MI MARTIN
Kinachoshangaza watu ni raia kumpigia polisi simu na kumwambia amtafutie mabaunsa, makomandoo wakati anajua anajipeleka polisi mwenyewe.Kwani Lowasa alikuwaje mshauri wa Chadema na baadaye kuwa mgombea Chadema wakati ni akiwa CCM?
Mama yako alivyokuwa anamchiti baba yako alienda kuomba msamaha au ? Unajua ya wenzako yako huyajui tunajua hata mimba yako ilipatikana kwenye matuta ya mihogoMwambieni Mbowe aombe msamaha kwa mke wake. Miaka yote anamcheat mkewe na wanawake wa viti maalum mpaka kuzaa nao. Mungu hafurahi. Ndo maana anapatwa na haya. Walau Lilian ana uhakika mmewe alipo (Jela).Mbowe hapa hachomoki.
Mbona simple tu hiiHuyu jamaa akichomoa hii kesi anapaswa kwenda kutambika!
Kibatala: statement yako wanashitakiwa kwa maelezo uliyowaonya? Wakili wa Serikali: OBJECTION. Mh. jaji wakili anatoa speech sanaThis is terrible...!
Hebu msikilize shahidi Afande Ramadhani Kingai akijaribu kuuthibitisha ugaidi mahakamani wa Mbowe na wenzake:
SHAHIDI AFANDE KINGAI: Vitendo hivi (nadhani vya kigaidi) vilikuwa vimepangwa kufanyika Moshi, Arusha, Mbeya, DSM na Mwanza
Note: Nadhani Kingai ana maana ya Mbowe na wenzake kulipua miji au mikoa hiyo yote kwa mabomu ya atomic na nyuklia na pia kutumia bastola yenye risasi 3...!!!!
Shahidi afande Kingai akaulizwa swali na akaendelea kusema:
SHAHIDI AFANDE KINGAI: Lakini vitendo vya kukata miti na kuzuia magari yasipite ilikuwa imekusudiwa barabara ya Morogoro kuelekea Iringa..!!
Thia is absolutely a joke from TanPol!!
Yaani mahakama inakubali kuchezewa na watu hawa...!!??
This is absurd and unforgivable...!!
Na bd ataomba akanye kbs!Kibatala: statement yako wanashitakiwa kwa maelezo uliyowaonya? Wakili wa Serikali: OBJECTION. Mh. jaji wakili anatoa speech sana
Jaji :Jamani tumpatie shahidi hata Dakika 2 Jamani, pale Kizimbani Si Mchezo
Shahidi: Kweli naomba niende HAJA NDOGO
Na bd ataomba akanye kbs!I
Isidingo safi... maswali hadi mtu analowana, siku nyingine waingie na pampers 🙂Na bd ataomba akanye kbs!
Huyu Judge anamkingia sana kifua huyu Shahidi, ndio mwanzo wa biase kuonekana, mara aah musimulize maswali ya kisheria, mara aah dakika mbili, mara ahh anede chooni, wapatieni pampers kazi iendelee... so ndio habaro ya mjini au ?Kibatala anamfuata usoni kwake shahidi Kwa Kumkazia macho anamuuliza, Je unafahamau Kuwa mshtakiwa Adamoo anashtakiwa makosa matano na moja la kula njama za ugaidi?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Mimi siye ninaye andaa Mashtaka, Wanaoandaa ni Ofisi ya Mwendesha Mashitaka, mheshimiwa
Kibatala: statement yako wanashitakiwa kwa maelezo uliyowaonya?
Wakili wa Serikali: OBJECTION. Mh. jaji wakili anatoa speech sana
Jaji :Jamani tumpatie shahidi hata Dakika 2 Jamani, pale Kizimbani Si Mchezo
Shahidi: Kweli naomba niende HAJA NDOGO
Jaji: uende lakini urudi
Mahakama yote inacheka
Shahidi: Kweli naomba niende HAJA NDOGO[emoji23]Kibatala anamfuata usoni kwake shahidi Kwa Kumkazia macho anamuuliza, Je unafahamau Kuwa mshtakiwa Adamoo anashtakiwa makosa matano na moja la kula njama za ugaidi?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Mimi siye ninaye andaa Mashtaka, Wanaoandaa ni Ofisi ya Mwendesha Mashitaka, mheshimiwa
Kibatala: statement yako wanashitakiwa kwa maelezo uliyowaonya?
Wakili wa Serikali: OBJECTION. Mh. jaji wakili anatoa speech sana
Jaji :Jamani tumpatie shahidi hata Dakika 2 Jamani, pale Kizimbani Si Mchezo
Shahidi: Kweli naomba niende HAJA NDOGO
Jaji: uende lakini urudi
Mahakama yote inacheka
Kibatala anamfuata usoni kwake shahidi Kwa Kumkazia macho anamuuliza, Je unafahamau Kuwa mshtakiwa Adamoo anashtakiwa makosa matano na moja la kula njama za ugaidi?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Mimi siye ninaye andaa Mashtaka, Wanaoandaa ni Ofisi ya Mwendesha Mashitaka, mheshimiwa
Kibatala: statement yako wanashitakiwa kwa maelezo uliyowaonya?
Wakili wa Serikali: OBJECTION. Mh. jaji wakili anatoa speech sana
Jaji :Jamani tumpatie shahidi hata Dakika 2 Jamani, pale Kizimbani Si Mchezo
Shahidi: Kweli naomba niende HAJA NDOGO
Jaji: uende lakini urudi
Mahakama yote inacheka