Kesi ya Mbowe: Namba A5340 kwanini imekuwa issue kubwa?

Kesi ya Mbowe: Namba A5340 kwanini imekuwa issue kubwa?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Yasemekana mshitakiwa #2 alikamatwa na bastola ambalo anakanusha.

Kwamba alikamatwa na bastola au hakukamatwa na bastola, hayo ni mambo mengine.

Kukamatwa na bunduki kinyume cha sheria mbona bado ni msala usio kuwa na kifani?

Kwanini upande wa mashtaka wameshupalia zaidi namba kuliko hata kuwa mshitakiwa anatuhumiwa kukutwa na silaha kinyume cha sheria?

Kwanini pia upande wa utetezi wanasikika kuongea CZ 100 kwenye bastola na kuwa si A5340, badala ya kukomaa tu kuwa Adamoo hakukutwa na bastola?

Kwanini kumekuwa na marumbano haya kuhusiana namba A5340?

Ni kitu gani mahsusi kinatafutwa kwenye namba hii pendwa?
 
Hayo ni mambo ya technical sana kwenye sheria tulia mpira bado haujaisha,japokua hadi sasa naona upande wa serikikali umeelemewa upande wa kiungo na beki zimekatika.
Wewe jibu hivi 'hata mimi nashangaa na sijui kwa nini ngoja wajuzi waje' humu JF hakuna cha technical sana wala nini maana huu uwanja una wajuzi wa fani zotee...
 
Hayo ni mambo ya technical sana kwenye sheria tulia mpira bado haujaisha,japokua hadi sasa naona upande wa serikikali umeelemewa upande wa kiungo na beki zimekatika.

Huo upande una wachezaji hadi refa naye anacheza upande huo.

Mengine anasikia yeye tu.

Labda ipo namna anapata japo kwa minong'ono:

IMG_20211105_210512_659.jpg
 
Yasemekana mshitakiwa #2 alikamatwa na bastola ambalo anakanusha.

Kwamba alikamatwa na bastola au hakukamatwa na bastola, hayo ni mambo mengine.

Kukamatwa na bunduki kinyume cha sheria mbona bado ni msala usio kuwa na kifani?

Kwanini upande wa mashtaka wameshupalia zaidi namba kuliko hata kuwa mshitakiwa anatuhumiwa kukuwa na silaha kinyume cha sheria?

Kwanini pia upande wa utetezi wanasikika kuongea CZ 100 kwenye bastola na kuwa si A5340, badala ya kukomaa tu kuwa Adamoo hakukutwa na bastola?

Kwanini kumekuwa na marumbano haya kuhusiana namba A5340?

Ni kitu gani mahsusi kinatafutwa kwenye namba hii pendwa?
Suala kudaiwa kukutwa na hiyo bastola ni jambo moja, lakini kuihakikishia mahakama pasipo chembe yoyote ya shaka kupitia "finger prints" za mshtakiwa ni jambo lingine muhimu pia.
 
Upande wa utetezi utakuwa una kusudi la kuonyesha jinsi gani ushaidi una mkanganyiko ili utupiliwe mbali

Kwanini upande wa utetezi nao wanazungumzia CZ 100?
 
Naanza kuhisi ushahidi wa hovyo unaotolewa na mashahidi wa upande wa jamhuri hawa mashahidi wameamua kwa makusudi kujiepusha na laana ya kikombe cha dhuluma kinachowanyemelea.

Huku sisi tukiwaona wajinga kwa ushahidi wa hovyo wanaotoa kumbe wao wanafanya hivyo makusudi ilimradi kuwaridhisha mabosi wao waliowatuma kwa kutoa ushahidi mradi watimize wajibu wao wa kwenda mahakamani.
 
Yasemekana mshitakiwa #2 alikamatwa na bastola ambalo anakanusha.

Kwamba alikamatwa na bastola au hakukamatwa na bastola, hayo ni mambo mengine.

Kukamatwa na bunduki kinyume cha sheria mbona bado ni msala usio kuwa na kifani?

Kwanini upande wa mashtaka wameshupalia zaidi namba kuliko hata kuwa mshitakiwa anatuhumiwa kukuwa na silaha kinyume cha sheria?

Kwanini pia upande wa utetezi wanasikika kuongea CZ 100 kwenye bastola na kuwa si A5340, badala ya kukomaa tu kuwa Adamoo hakukutwa na bastola?

Kwanini kumekuwa na marumbano haya kuhusiana namba A5340?

Ni kitu gani mahsusi kinatafutwa kwenye namba hii pendwa?
Maana yake namba za usajili zilibadilishwa kukidhi nia ya kutenda uharifu bila ya kujulikana mmiliki halali ni yupi.

Serikali ndio msimamizi mkuu wa usajili wa silaha yoyote ya moto nchini Tanzania hivyo wanafahamu silaha ipi ilisajili lini wapi na mmilikishwaji ni nani kwahiyo hapo kuna mlengwa hatajwi tu kwa majina ila wanabishania utofauti wa namba kunusu au kusaidia ushahidi kumtia mtu mmowapo hatia kwamba aliruhusu silaha yake kutaka kutumika kinyume na sheria.
 
Hatukisikia namba za bastola ya Hamza.

Hii imekuwa namba. Utadhani Osama naye alikuwa na ya hivyo?
Kwa kadri nilivyofuatilia inaonekana akina Kibatala wamebaini kwamba hiyo bastola mashahidi wa serikali wamejichanganya, kuna waliosema kwenye ukamataji ni CZ 100 na wengine hiyo namba nyingine.

Mfano shahidi wa leo (Mahita) kama umefuatilia vizuri kuhusu pale Rau Madukani wametofautiana vibaya na yule shahidi muuza mbege, aliyesema walikuwa wanasajili laini, na pia kuna shahidi mwingine alisema walikuwa grocery wanakula...
 
Suala kudaiwa kukutwa na hiyo bastola ni jambo moja, lakini kuihakikishia mahakama pasipo chembe yoyote ya shaka kupitia "finger prints" za mshtakiwa ni jambo lingine muhimu pia.

Bastola haikuchukuliwa finger prints. Hata kama ingechukuliwa isingeweza kufungamanishwa na mshitakiwa yeyote.

Mzizi uko kwenye A5340 na CZ100.
 
Maana yake namba za usajili zilibadilishwa kukidhi nia ya kutenda uharifu bila ya kujulikana mmiliki halali ni yupi.

Serikali ndio msimamizi mkuu wa usajili wa silaha yoyote ya moto nchini Tanzania hivyo wanafahamu silaha ipi ilisajili lini wapi na mmilikishwaji ni nani kwahiyo hapo kuna mlengwa hatajwi tu kwa majina ila wanabishania utofauti wa namba kunusu au kusaidia ushahidi kumtia mtu mmowapo hatia kwamba aliruhusu silaha yake kutaka kutumika kinyume na sheria.

Hapa panaweza kueleza marumbano haya:

"..kuna mlengwa hatajwi tu kwa majina ila wanabishania utofauti wa namba.."
 
Kwa kadri nilivyofuatilia inaonekana akina Kibatala wamebaini kwamba hiyo bastola mashahidi wa serikali wamejichanganya, kuna waliosema kwenye ukamataji ni CZ 100 na wengine hiyo namba nyingine... Mfano shahidi wa leo (Mahita) kama umefuatilia vizuri kuhusu pale Rau Madukani wametofautiana vibaya na yule shahidi muuza mbege, aliyesema walikuwa wanasajili laini, na pia kuna shahidi mwingine alisema walikuwa grocery wanakula...
Nimechoka pale yule muuza mbege aliposema wakati wa tukio yeye alikuwa anafagia sasa leo mahita yule mama alijua anapika ina maana ule ufagio mahita alijua ni mwiko wa kupikia😃😃
 
Naanza kuhisi ushahidi wa hovyo unaotolewa na mashahidi wa upande wa jamhuri mashahidi wameamua kwa makusudi kujiepusha na laana ya kikombe cha dhuluma kinachowanyemelea.

Huku sisi tukiwaona wajinga kwa ushahidi wa hovyo wanaotoa kumbe wao wanafanya hivyo makusudi ilimradi kuwaridhisha mabosi wao waliowatuma kwa kutoa ushahidi mradi watimize wajibu wao wa kwenda mahakamani.

Ila sasa kuna upande unaotia mashaka makubwa zaidi. Huu ni ule uliotakiwa kuzingatia mwelekeo wa mihimili mingine kwenye utendaji kazi wao. Kumbuka hukumu za mapingamizi yote tokea:

1. hati ya mashtaka kukosewa na mahakama ya uhujumu uchumi kutokuwa mahali pake.

2. maelezo ya mshitakiwa kutopokelewa kama ungamo halali.

3. maelezo ya shahidi wa sita kutokuwemo kwenye furushi la committal.

4. Refa kusikia kutoka upande wa mashtaka hata ambayo upande huo hawakusema.

Hapo kupambana na refa mbona ni kazi zaidi basi kuliko hata kupambana timu pinzani?
 

Sentensi hiyo itakuwa mahsusi kule ambako haki, uhuru na usawa vinabeba maana yake.

Tungekuwa mazingira ya huko bila shaka hii kesi wala isingekuwapo.

Kama sentensi ingekuwa ya kutiliwa manani, shahidi yupi katika waliofika pale atakuwa alikuwa na lolote la kuiambia mahakama?

Atakuwa ni Mahita aliyekwenda kulikoroga kabisa kwenye re-examination?
 
Yasemekana mshitakiwa #2 alikamatwa na bastola ambalo anakanusha.

Kwamba alikamatwa na bastola au hakukamatwa na bastola, hayo ni mambo mengine.

Kukamatwa na bunduki kinyume cha sheria mbona bado ni msala usio kuwa na kifani?

Kwanini upande wa mashtaka wameshupalia zaidi namba kuliko hata kuwa mshitakiwa anatuhumiwa kukuwa na silaha kinyume cha sheria?

Kwanini pia upande wa utetezi wanasikika kuongea CZ 100 kwenye bastola na kuwa si A5340, badala ya kukomaa tu kuwa Adamoo hakukutwa na bastola?

Kwanini kumekuwa na marumbano haya kuhusiana namba A5340?

Ni kitu gani mahsusi kinatafutwa kwenye namba hii pendwa?
Namba ya mwenyekiti hiyo aligawa chumba watu wakapigia show. Ni ngumu kuelewa kwa sasa.
 
Back
Top Bottom