UVIKO
JF-Expert Member
- Jun 14, 2021
- 294
- 362
Kwa hyo model ya silaha zote ni namba na pia zinakuwa na namba zikionyesha usajili au ni pistol tuu?Kipi sio sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hyo model ya silaha zote ni namba na pia zinakuwa na namba zikionyesha usajili au ni pistol tuu?Kipi sio sawa?
Chukulia AK 47 yenye namba za usajili CH 8876Kwa hyo model ya silaha zote ni namba na pia zinakuwa na namba zikionyesha usajili au ni pistol tuu?
Nitakufata pm ( technical security)Chukulia AK 47 yenye namba za usajili CH 8876
Kila silaha ina Model yake si lazima iwe namba. Mfano AKM ni mojawapo ya model za AK_47, na kila silaha ina Serial number ya kuitofautisha na silaha nyingine, usajili ni kitu kingine.Kwa hyo model ya silaha zote ni namba na pia zinakuwa na namba zikionyesha usajili au ni pistol tuu?
Silaya ya Lile Jambazi Lililokuwa DH HaiMaana yake namba za usajili zilibadilishwa kukidhi nia ya kutenda uharifu bila ya kujulikana mmiliki halali ni yupi.
Serikali ndio msimamizi mkuu wa usajili wa silaha yoyote ya moto nchini Tanzania hivyo wanafahamu silaha ipi ilisajili lini wapi na mmilikishwaji ni nani kwahiyo hapo kuna mlengwa hatajwi tu kwa majina ila wanabishania utofauti wa namba kunusu au kusaidia ushahidi kumtia mtu mmowapo hatia kwamba aliruhusu silaha yake kutaka kutumika kinyume na sheria.
Imekuwa issue kubwa kwa sababu mtuhimiwa wa ujambazi ndio anakuwa Shahidi🤣🤣Yasemekana mshitakiwa #2 alikamatwa na bastola ambalo anakanusha.
Kwamba alikamatwa na bastola au hakukamatwa na bastola, hayo ni mambo mengine.
Kukamatwa na bunduki kinyume cha sheria mbona bado ni msala usio kuwa na kifani?
Kwanini upande wa mashtaka wameshupalia zaidi namba kuliko hata kuwa mshitakiwa anatuhumiwa kukutwa na silaha kinyume cha sheria?
Kwanini pia upande wa utetezi wanasikika kuongea CZ 100 kwenye bastola na kuwa si A5340, badala ya kukomaa tu kuwa Adamoo hakukutwa na bastola?
Kwanini kumekuwa na marumbano haya kuhusiana namba A5340?
Ni kitu gani mahsusi kinatafutwa kwenye namba hii pendwa?
Mzee wa kuchakaza mpaka uchakae?Kuna limjaa flan lilikuwa mkoa mmoja una samaki wa maji barid lkn wakubwa! Alikuwa kila akiitisha press kupitia gesh ra porish anakuwa na mabunduki meng meng akidai yalikamatwa wakat wa mapambano na magambaz alikuwa anayaonyesha huku akiwa na glove nyeupe! Ingawa kwa sasa tupo nae pale kwa mkapa kila mech ya ligi! Labda kipind kile aliwah kuitaja hyo namba a ngap ngap cjui! Sasa labda utetez wanajua hyo binduk iliwah kuonyeshwa kwenyd press! Huwez jua
Jaji amekuwa kama Wilson mahera wakati ea uchaguzi akawa anampigia kampeni Magufuli🤣Ila sasa kuna upande unaotia mashaka makubwa zaidi. Huu ni ule uliotakiwa kuzingatia mwelekeo wa mihimili mingine kwenye utendaji kazi wao. Kumbuka hukumu za mapingamizi yote tokea:
1. hati ya mashtaka kukosewa na mahakama ya uhujumu uchumi kutokuwa mahali pake.
2. maelezo ya mshitakiwa kutopokelewa kama ungamo halali.
3. maelezo ya shahidi wa sita kutokuwemo kwenye furushi la committal.
4. Refa anasikia kutoka upande wa mashtaka gata ambayo upande huo hawakusema.
Hapo kupambana na refa mbona ni kazi zaidi basi kuliko hata kupambana timu pinzani?
Wanatoa ushahudi wa kuzuga bora liende wameshakula advanceNaanza kuhisi ushahidi wa hovyo unaotolewa na mashahidi wa upande wa jamhuri mashahidi wameamua kwa makusudi kujiepusha na laana ya kikombe cha dhuluma kinachowanyemelea.
Huku sisi tukiwaona wajinga kwa ushahidi wa hovyo wanaotoa kumbe wao wanafanya hivyo makusudi ilimradi kuwaridhisha mabosi wao waliowatuma kwa kutoa ushahidi mradi watimize wajibu wao wa kwenda mahakamani.
Dah! safi Sana ,Na wamekwisha chemsha. Handling ya vidhibiti ilikuwa ya hovyo. Finger prints zingethibitisha kama mshitakiwa aliwahi kuishika na hata hizo kete alizifunga au alizihesabu! Sio rahisi sana kukuta muuza madawa ya kulevya sio mtumiaji pia, je kun maabara imethibitisha kuwa yale ni madawa ya kulevya? Inashangaza kila shahidi aliyekuwa kwenye upekuzi anasema “kete za madawa ya kulevya” walipaswa angalau kusema “kete zinazodhaniwa ni madawa ya kulevya”. Hawajui wakihojiwa kama kuna ripoti ya maabara na ikawa haipo basi hakuna uthibitisho ni madawa ya kulevya!? Polisi wanachukua risasi tatu kama kidhibiti lakini wanaleta moja eti mbili wamezitumia. Vipi kama mtuhumiwa angedaiwa kuwa na bastola tu - wapimaji wangeshindwa kuthibitisha kama ni nzima au la?? Polisi na kitengo chao wanakosaje risasi za 9mm kwa ajili ya majaribio??!! Ugaidi gani ww kulipua vituo vya mafuta mikoa minne kwa risasi 3 na bastola??
Bahati mbaya Polisi wameshathibitisha finger prints hazikuchukuliwa. Ukiweka na huu mkanganganyiko wa Luvern, Luger na CZ 100 na mwenzake A50… unakuta jaji anapata shida!!
Shahidi anailizwa kama ana record za sauti za mratibu anasema hapana. Alitoa taarifa za uhalifu uliopangwa kwa walengwa, usalama wa taifa, kamati za ulinzi husika? Hapana!!
Kama sio uzembe basi walikuwa wanajua kabisa jambo zima halipo na hili ni rahisi kuonesha kuliko eti kulikuwa na uhalifu unaenda kutendeka!!
Hapo refa alitoa bokoHuo upande una wachezaji hadi refa naye anacheza upande huo.
Mengine anasikia yeye tu.
Labda ipo namna anapata japo kwa minong'ono:
View attachment 2000013
Kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya,Mkoa na taifa hazikutaarifiwa,wala time ya Uchaguzi hazikutaarifiwa na Mbowe akashiriki Uchaguzi na Ugaidi wake.Raisi alitaarifiwa; hapana
DG wa tiss alitaarifiwa; hapana
Igp alitaarifiwa; hapana
RPC dar, arusha, kilimanjaro, mmeanza, morogoro mbeya walitaarifiwa; hapana
RCO wa mikoa husika walitaarifiwa: hapana
Hii kesi ni siri ya kingai na mahita na jumanne na goodluck, ndo maana washitakiwa walitolewa central moshi- dar na kupeleka mbweni Ili kuficha uhuni wao
Na hii ndiyo chagizo la Majaji kujitoa...Pagumu mno..Upande wa utetezi utakuwa una kusudi la kuonyesha jinsi gani ushaidi una mkanganyiko ili utupiliwe mbali
Sio huyo.Mzee wa kuchakaza mpaka uchakae?
denooJ, hapa hakuna kesi...Hii kesi yote kwa ujumla wake ni maigizo matupu, nachosubiri sasa ni kuuona mwisho wake tu ambao hata hivyo nimeshahisi utakuwaje.
Kwenye ushahidi upande wa mashtaka na utetezi kila mmoja ukiona kuna tofauti kwenye maelezo inakuwa ni sehemu ya kujenga hoja kwamba huu ushahidi unaunganika vizuri au haunganiki. Baadhi ya mashahidi wanadai watuhumiwa walikutwa na hiyo bastola na hizo kete za madawa ya kulevya na hawa walishuhudia upekuzi ukifanyika.Yasemekana mshitakiwa #2 alikamatwa na bastola ambalo anakanusha.
Kwamba alikamatwa na bastola au hakukamatwa na bastola, hayo ni mambo mengine.
Kukamatwa na bunduki kinyume cha sheria mbona bado ni msala usio kuwa na kifani?
Kwanini upande wa mashtaka wameshupalia zaidi namba kuliko hata kuwa mshitakiwa anatuhumiwa kukutwa na silaha kinyume cha sheria?
Kwanini pia upande wa utetezi wanasikika kuongea CZ 100 kwenye bastola na kuwa si A5340, badala ya kukomaa tu kuwa Adamoo hakukutwa na bastola?
Kwanini kumekuwa na marumbano haya kuhusiana namba A5340?
Ni kitu gani mahsusi kinatafutwa kwenye namba hii pendwa?
Waje chap sasa.Wewe jibu hivi 'hata mimi nashangaa na sijui kwa nini ngoja wajuzi waje' humu JF hakuna cha technical sana wala nini maana huu uwanja una wajuzi wa fani zotee...
Kwenye ushahidi upande wa mashtaka na utetezi kila mmoja ukiona kuna tofauti kwenye maelezo inakuwa ni sehemu ya kujenga hoja kwamba huu ushahidi unaunganika vizuri au haunganiki.
Baadhi ya mashahidi wanadai watuhumiwa walikutwa na hiyo bastola na hizo kete za madawa ya kulevya na hawa walishuhudia upekuzi ukifanyika. Mashahidi wengine walioshuhudia wanadai walikamatwa pia na baadhi ya pes na laini za simu.
Baadhi ya mashahidi walioshuhudia walisema walikamatwa wakati wakisajili laini za simu. Wengine wanasema walikamatwa wakiwa wanatembea.
Nadhani tofauti hizi: 1) Walikamatwa wakifanya nini?
2) Walikuwa na nini?
3) Hiyo bastola ilikuwa na namba zinazosomekaje?
4) Ilikuwa namba moja tu au mbili au zaidi?
5) Je, ni aina gani ya silaha?
6) Ilikuwa na risadsi, ngapi?
7) Kitu kingine kilichokamatwa?
YES, ndivyo ilivyo. Lakini kwa huu, USHAHIDI wa MASHAHIDI wote haupatani asilani [kwa lugha yako - ni HAUUNGANI]...Maswali yote haya na majibu yake ndiyo yanayoweza kuonyesha ushahidi umeunganika (hauachi chembe ya shaka) au hauunganikia(unazua maswali mengi). Kwa hiyo, ukiona jambo linafanyiwa rejea mara kwa mara, ujue ni sehemu ile ya 'to pick holes from a person's evidence'.