Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Kwenye hati ya mashitaka bunduki inasomeka kama Luvern.Maana yake namba za usajili zilibadilishwa kukidhi nia ya kutenda uharifu bila ya kujulikana mmiliki halali ni yupi.
Serikali ndio msimamizi mkuu wa usajili wa silaha yoyote ya moto nchini Tanzania hivyo wanafahamu silaha ipi ilisajili lini wapi na mmilikishwaji ni nani kwahiyo hapo kuna mlengwa hatajwi tu kwa majina ila wanabishania utofauti wa namba kunusu au kusaidia ushahidi kumtia mtu mmowapo hatia kwamba aliruhusu silaha yake kutaka kutumika kinyume na sheria.
Shahidi wa 3 yule wa Forensic alisema ni Luger. Ila kwenye statement yake alisema ni CZ100.
Shahidi Madembwe alisema ni Ruger.
Unaweza kuona huo mkanganyiko.